Hili jambo linanigharimu sana

Hili jambo linanigharimu sana

Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.

Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Hii ni kweli.
Wanaume naturally huwa tunamheshimu mwanamke tuliyemkuta bikira.

Ila nyie viruka njia, huwa tunaweka mguu mmoja ndani mmoja nje. Hatuwezi muamini mwanamke aliyetumika.
 
Aisee eti ushapiga hapo sana mkuu aibu yako kwa hadhi gani?? Mwenyewe huli mchana eti anatumbo umbo kama la mchagga 🤣🤣🤣 vuta bangi tu . Ukizinduka utajua hujui so tulikutana wapi
Mimi mwenyew najilaumu kutembea na wewe maana umenitia Nuksi tu Mru mbaya kama nini..
Nilijitia Nuksi maana kutembea na msichana mbaya imenitia nuksi siku hizi biashara Zangu haziendi kabisa..
Nimeamua kushinda mererani tu
 
Mimi mwenyew najilaumu kutembea na wewe maana umenitia Nuksi tu Mru mbaya kama nini..
Nilijitia Nuksi maana kutembea na msichana mbaya imenitia nuksi siku hizi biashara Zangu haziendi kabisa..
Nimeamua kushinda mererani tu
Hebu mdefine huyu unique flower kuanzia juu mpaka chini ,mrefu au mfupi??
 
Nahamu nikufungulie siri zangu ili unielewe wanaume wanatumia wanawake kupatia utajiri namimi ni muhanga nikawaza what nisingetoa utamu leo kofuli lingekuwepo na maisha ningekuwa nayo.
Kwanini wanawake wa siku hizi huwa mnawaza kwamba wanaume wanawatumia kufikisha malengo yao.
 
Mambo ya kujirusha maghorofan hayaanziagi kwa wakati huo, yanaanziaga huku.

My dear sister (if its true), usijikatie tamaa wala. Kukosea ulishakosea, cha kufanya kwa sasa ni kurestructure maisha yako. Nikiwa mmoja ya wadau tunaopenda kucomment mambo haya, hakuna alie perfect hata aandike ushauri mzuri/mbaya kiasi gani. Kama umegundua haya, fanya maamuzi. Amua wewe kubadilika. Amua wewe kutulia na kutengeneza maisha yako. Haijalishi historia na mahali ulikopita, new life is possible. Toba, maisha mapya, focus...though sijui kama hata utanielewa, ila nimejaribu.
 
Back
Top Bottom