Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana we huwezi kuniambia unanipenda?Hiii mie siwezi kumtongoza meni kisa nini
Mie ni mwanadada nimtu na age yangu no hata akiwa mzunguInamaana we huwezi kuniambia unanipenda?
Ushimen?Sijawahi kumpa mtu humu zaidi ya kizee kimoja tu
Ahahahaaaa....! We mdada weweeeHapana hata nikilewa Ushimen simpi labda aniwekee limbwata . Natuishie hapa mtu kina rohi mbaya kilininyima kazi yenye maslahi mengi
Hebu jaribu kunitongoza nipime msimamo wanguMie ni mwanadada nimtu na age yangu no hata akiwa mzungu
Sema vyote bado hujamaliza toba hii.Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuomba Mungu stress za mapenzi zisinifikishe level hii....[emoji777]
Maweee!Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
Dada Maua- feminist kwenye ubora wakoSema vyote bado hujamaliza toba hii.
We si ulikuwa kwenye uzi wa couple pendwa 🤣🤣🤣🤣Bff mbona hujaniita lkn?? 😂😂😂😂😂😂
Nimecheka nipo kwenye kikao ujue, halafu wananiona nimerukwa na akili
Hupatikani whatsap siku iziSawa, me nipo 👊👊
Weeee yule mzee ndyo alitumia nyota yako??Nahamu nikufungulie siri zangu ili unielewe wanaume wanatumia wanawake kupatia utajiri namimi ni muhanga nikawaza what nisingetoa utamu leo kofuli lingekuwepo na maisha ningekuwa nayo.
Ni hilo tuSema vyote bado hujamaliza toba hii.
UlishanikubaliaHebu jaribu kunitongoza nipime msimamo wangu
Mmh jua tu watu wakiwa mapenzini wanachukuliana vitu ila wanaume ndio wachukuliaji kiasi kikubwaWeeee yule mzee ndyo alitumia nyota yako??
Ni kweriAhahahaaaa....! We mdada weweee