Hili janga lililopiga Valencia utaona sisi Mungu anatuepusha na mengi sana

Hili janga lililopiga Valencia utaona sisi Mungu anatuepusha na mengi sana

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.

Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
 
Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.

Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Video?
 
Nyoosha maelezo mkuu

Unavyooielezea hiyo Valencia kana kwamba kila mtu anapajua

Huko Valencia ni wapi ?na nini kimetokea huko?
Citizen Journalism mapungufu ya taarifa hutokea
Valencia ni Spain
Kumetokea mafuriko makubwa sana ambayo yameua watu zaidi ya 200 na kuharibu makazi
Hali hii imepelekea hata michezo mikubwa kama Madrid vs Valencia kuahirishwa
Watu wameingia mtaani na Kila zana kufanya usafi wa mji
Watu hao waume kwa wake wameshirikiana vizuri
 
Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.

Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Ameshindwa kuwaepusha na ujinga na umasikini uliokithiri pumbavu kabisa.
 
Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.

Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Kuelezea jambo na kueleweka kumbe ni mtihani hivi!! Nani kamuelewa jamani na mimi anieleweshe
 
Kuelezea jambo na kueleweka kumbe ni mtihani hivi!! Nani kamuelewa jamani na mimi anieleweshe
Rejea post hapo juu utaelewa
Nimefafanua kwa undani sana
Zaidi tembelea Al Jazeera news utaona
 
Back
Top Bottom