Hili janga lililopiga Valencia utaona sisi Mungu anatuepusha na mengi sana

Hili janga lililopiga Valencia utaona sisi Mungu anatuepusha na mengi sana

Taswira iko wapi?
Screenshot_20241102_100009_Gallery~2.png
 
Mpumbavu ndie huandika kuwa Mungu huchagua wapi wa kuwaepusha na mafuriko na wapi wa kutowaepusha.

Huna akili takataka
Kazi kweli kweli 🖕🖕🖕🖕jipige dole mkuu muwasho utapungua
 
Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.

Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Umeona eeeeh.

Ungeambatanisha na picha/video ingependeza ...
 
Citizen Journalism mapungufu ya taarifa hutokea
Valencia ni Spain
Kumetokea mafuriko makubwa sana ambayo yameua watu zaidi ya 200 na kuharibu makazi
Hali hii imepelekea hata michezo mikubwa kama Madrid vs Valencia kuahirishwa
Watu wameingia mtaani na Kila zana kufanya usafi wa mji
Watu hao waume kwa wake wameshirikiana vizuri
Amani na ushirikiano ni TUNDA LA HAKI.
Popote watu wanapotimiziwa haki zao, huwa na moyo wa kujitoa kwa jambo lolote.
Ukiona mahala vitu hivyo hakuna, ujue HAKI imeminywa. Na mahala hapo watu hujaa chuki sana
 
Amani na ushirikiano ni TUNDA LA HAKI.
Popote watu wanapotimiziwa haki zao, huwa na moyo wa kujitoa kwa jambo lolote.
Ukiona mahala vitu hivyo hakuna, ujue HAKI imeminywa. Na mahala hapo watu hujaa chuki sana
Nakubali
Uzalendo kwa wenzetu ni mkubwa sana lakini lawama zimesikika miongoni mwao wakilaumu namna serikali ya Jimbo imechelewa kuchukua hatua
 
Unapaniki sana kijana sio afya kwa mwili na akili Yako😂just chill and relax
 
Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.

Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Hao wanaishi jinsi binaadamu wanatskiwa waishi, wao mtu akiuawa wanakwenda kuweka maua na kadi mahali palipotokea tukio, sisi ndiyo kwanza tunabeza na kupiga vijembe!
 
Back
Top Bottom