Hili janga lililopiga Valencia utaona sisi Mungu anatuepusha na mengi sana

Hili janga lililopiga Valencia utaona sisi Mungu anatuepusha na mengi sana

Hilo janga limeonyesha kabisa Mungu hayupo 🤔
 
Kuna wengi hawaangalii taarifa za habari wala kinachoendelea duniani, hivyo basi kama habari inaandikwa iandikwe kwa ukamilifu ili kila mmoja aelewe
Wakati mwingine ukamilifu hutokea katika kujadiliana maana muandishi huchagua angle ambayo ameielewa katika kuchangia ndio habari hukamilika ni kuvumilia na kuzuia hisia kwa kuuliza maswali mbona yanajibika sema mitandaoni jazba na ujuaji huwa mbele sana
Mfano mwingine huleta habari ya kiingereza na watu watataka tafsiri na mwingine huleta habari nzima na watu watataka summary ili mradi tu
 
Mpumbavu ndie huandika kuwa Mungu huchagua wapi wa kuwaepusha na mafuriko na wapi wa kutowaepusha.

Huna akili takataka
Upo sahihi mkuu Mungu huzingiziwa mengi. Ni ulofa kusema Mungu kapeleka mafuriko hapa au pale
 
Wakati mwingine ukamilifu hutokea katika kujadiliana maana muandishi huchagua angle ambayo ameielewa katika kuchangia ndio habari hukamilika ni kuvumilia na kuzuia hisia kwa kuuliza maswali mbona yanajibika sema mitandaoni jazba na ujuaji huwa mbele sana
Mfano mwingine huleta habari ya kiingereza na watu watataka tafsiri na mwingine huleta habari nzima na watu watataka summary ili mradi tu
Nimekuelewa vizuri, pia nisamehe kama nimekukwaza
Najua watu tuko tofauti
 
Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.

Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Video?
 
Back
Top Bottom