Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengi hawaangalii taarifa za habari wala kinachoendelea duniani, hivyo basi kama habari inaandikwa iandikwe kwa ukamilifu ili kila mmoja aeleweHakuna anaetaka kuwa mwandishi ila Kila mmoja angependa kuhabarisha kinachotokea
Hapo chacha! Kwanini kila likitokea janga kwa wenzetu utasikia sisi Mungu anatupenda! Sisi hivi au vile, mara Mungu anawaadhibu!Mafuriko ya matope Manyara yaliua watu wangapi?
Wakati mwingine ukamilifu hutokea katika kujadiliana maana muandishi huchagua angle ambayo ameielewa katika kuchangia ndio habari hukamilika ni kuvumilia na kuzuia hisia kwa kuuliza maswali mbona yanajibika sema mitandaoni jazba na ujuaji huwa mbele sanaKuna wengi hawaangalii taarifa za habari wala kinachoendelea duniani, hivyo basi kama habari inaandikwa iandikwe kwa ukamilifu ili kila mmoja aelewe
Upo sahihi mkuu Mungu huzingiziwa mengi. Ni ulofa kusema Mungu kapeleka mafuriko hapa au paleMpumbavu ndie huandika kuwa Mungu huchagua wapi wa kuwaepusha na mafuriko na wapi wa kutowaepusha.
Huna akili takataka
Nimekuelewa vizuri, pia nisamehe kama nimekukwazaWakati mwingine ukamilifu hutokea katika kujadiliana maana muandishi huchagua angle ambayo ameielewa katika kuchangia ndio habari hukamilika ni kuvumilia na kuzuia hisia kwa kuuliza maswali mbona yanajibika sema mitandaoni jazba na ujuaji huwa mbele sana
Mfano mwingine huleta habari ya kiingereza na watu watataka tafsiri na mwingine huleta habari nzima na watu watataka summary ili mradi tu
Pamoja sanaKawaida mkuu hakuna mahali umekosea
Video?Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.
Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Swali zuriMafuriko ya matope Manyara yaliua watu wangapi?
🤣🤣🤣🤣 Ndio maana nikamwambia maelezo yake yamejitosheleza sio picha zakeYajitosheleze wapi mkuu? Wewe umeona picha??