NakaziaPicha iko wapi!
Video?Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.
Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Valencia ni hispania.Nyoosha maelezo mkuu
Unavyooielezea hiyo Valencia kana kwamba kila mtu anapajua
Huko Valencia ni wapi ?na nini kimetokea huko?
Hapo sawa mkuu maelezo yako yamejitosheleza😁Valencia ni hispania.
Kuna mafuriko yameupiga huo mji.
Mpaka sasa watu zaidi ya 200 wamefariki.
Citizen Journalism mapungufu ya taarifa hutokeaNyoosha maelezo mkuu
Unavyooielezea hiyo Valencia kana kwamba kila mtu anapajua
Huko Valencia ni wapi ?na nini kimetokea huko?
Ameshindwa kuwaepusha na ujinga na umasikini uliokithiri pumbavu kabisa.Nawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.
Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.
Yajitosheleze wapi mkuu? Wewe umeona picha??Hapo sawa mkuu maelezo yako yamejitosheleza😁
Kuelezea jambo na kueleweka kumbe ni mtihani hivi!! Nani kamuelewa jamani na mimi anielewesheNawaangalia wakazi wa Valencia namna wanashirikiana kusafisha mji wao hadi Raha maana bila kujali muonekano wala nini wote wanakula tope mwanzo mwisho tena wakiwa na staha sio Madera bila chupi Wala vifua wazi.
Sisi Mungu katuepusha na majanga makubwa kama haya ya asili sema kinachotuangusha ni uongozi nje ya hapo tungekuwa na matumizi mazuri ya fedha na rasilimali nchi ingekuwa mbali sana.