Hili neno kumsundi, ukitoa KU, ukiacha Msundi, maana yake mi siwezi kutamka[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kigoma kibondo kumsundi, kasulu mkundusi,
why not mangulwa !Hii rombo hii. Daah haya bana
kasiramimba je ?Kigoma kibondo kumsundi, kasulu mkundusi,
Kuna kijiji kinaitwa MKAZAMBO kipo Kilwa mkoa wa LindiKuna watu wana majina magumu ila kuna sehemu pia kuna majina ni magumu aiseee, last weeek nilikua Tabora, kuna Wilaya moja kuna sehemu inaitwa "Shamba la Nyege", sasa mimi ndio nilikua Facilitator, wakati wanajitambulisha si ndio Mshiriki mmoja akasema anatoka Shamba la Nyege?? Duh nilichoka aiseeeee, mwezi uliopita nikafika Bukoba pia sehemu inaitwa Katerero, aaagh nikachoka, sidhani kama kuna sehemu nyingine zenye majina magumu zaidi ya haya.
Mfereji iwa WimaNa haya majina mwembe Zenji ndio hatari[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1. Mwembe beni
2. Mwemne mimba
3. Mwembe tayari
4. Mwembe hatari
5. Mwembe ladu
6. Mwembe mchomeke
7. Mwembe makumbi
8. Mwembe madema
9. Mwembe ki.papuchi
10. Mwembe togwa
11. Mwembe mdogo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimefika hapo napoWilaya Chunya kuna Kata inaitwa 'Udinde'
Chimbaunye
Mfereji maringo unapajua weye[emoji38] [emoji38] [emoji23]Mfereji iwa Wima
Hahahahah napafahamu Kijito Upele, pale nimekaa sanaMfereji maringo unapajua weye[emoji38] [emoji38] [emoji23]
No google maps needed, thanks.
Hahahhaa Kwa Ali NatoNo google maps needed, thanks.
Nimekaa sana zenji.
Kisima majongoo
Kwahani
Kwaalamsha
Miembeni
Kwaalinato - niliwahi jiuliza huyu jamaa ndio muasisi wa NATO au[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwanini Mpwa??lugha adhimu sometym inazingua[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Maneno makali sanaKwanini Mpwa??