KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Mara ya pili sasa nashauri tena hili jukwaa la mapishi libadilishwe title liitwe jukwaa la chakula na vinywaji!, Wahariri wa humu sijui hamulioni hili!, maana hapo linaitwa jukwaa la mapishi tu so vinywaji tunaviweka wapi ama mnataka kuwe na jukwaa la vinywaji pekee!..
Maxence Melo hebu liangalieni hili vyema.
Maxence Melo hebu liangalieni hili vyema.