Hili la Job Ndugai kutoonekana hadharani lazima liwekwe wazi yasije kutokea yaliyotokea mwaka jana

Hili la Job Ndugai kutoonekana hadharani lazima liwekwe wazi yasije kutokea yaliyotokea mwaka jana

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Mara mwisho ni pale alipoonekana akiwa amepiga picha na Rais Samia Suluhu Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.

Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.

image_search_1644595480204.jpg
 
..Job amepoteza kitu kikubwa Sana.
..Amejidhalilisha Sana.
..Anaficha uso wake kwa kutahayari aliyowafanyia wengine.
.. Leo nayeye akaombe muongozo ilihali yeye ndiye alikuwa mtoa muongozo?
... Leo akaelekezwe Cha kufanya wakati ndiye alikuwa muagizaji?
... Leo akakae kwenye kundi la commons wakati alishazoea kuketi meza ya Watawala.

Hapana aisee, Jamaa Yuko depressed. Mpeni nafasi atulie kwanza.
 
MTU akiniomba ushauri namwambia usije kuoa mgogo au kuolewa na mgogo waache waoane wenyewe

Hakuna watu wenye hasira kama hilo kabila akichukia hadi anatetemeka na kutoka mijasho utafikiri ana malaria kali anashindwa hadi kuongea

Ukabila ruksa hasa kwa wagogo waachwe waoane wenyewe makabila mengine kaeni nao mbali
 
MTU akiniomba ushauri namwambia usije kuoa mgogo au kuolewa na mgogo waache waoane wenyewe

Hakuna watu wenye hasira kama hilo kabila akichukia hadi anatetemeka na kutoka mijasho utafikiri ana malaria kali anashindwa hadi kuongea

Ukabila ruksa hasa kwa wagogo waachwe waoane wenyewe makabila mengine kaeni nao mbali
Kwani mnamashaka katekwa na akina badluck &co au shida yenu mnaitamani pension yake🤔.
 
Back
Top Bottom