Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Hata Wale wa IRINGA waliokutwa na Bil.2 za Wizi Walisema hivyo hivyo kuwa SIO WENZETU
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Wale wa IRINGA waliokutwa na Bil.2 za Wizi Walisema hivyo hivyo kuwa SIO WENZETU
Kweli tufahamishwe alipo, Kama bungeni haionekani, Spika Tulia atangaze jimbo liko wazi, Kama yeye Ndugai alivyotangaza Jimbo la Mhe. Lissu huku akichekelea, na lake litangazwe kwa utoro bungeni.Mara mwisho ni pale alipoonekana IKulu akiwa amepiga picha na rais Samia Suluhu ikulu ya Chamwino Dodoma.
Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.
Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.
View attachment 2116339
Alisema yeye sio wamchezomchezo,akapigiwa makofi.
Yupo Kaperanaum kwenye jublei ya miaka 50 ya ndoa ya Jesus.Job bwanaKwani mnamtafutia Jobo Nini, anayemdai afanye kama anajikuna tumwone.
Swali la kijingaAlipokwenda India kwa matibabu mwaka juzi alituaga?
Pandisha la kijanja hapa chap kwa haraka🤔.Swali la kijinga
Kinadharia ni sawa, ila kihalisia wabunge wa Tanzani sio kundi la commons, ni lords kabisa...Job amepoteza kitu kikubwa Sana.
..Amejidhalilisha Sana.
..Anaficha uso wake kwa kutahayari aliyowafanyia wengine.
.. Leo nayeye akaombe muongozo ilihali yeye ndiye alikuwa mtoa muongozo?
... Leo akaelekezwe Cha kufanya wakati ndiye alikuwa muagizaji?
... Leo akakae kwenye kundi la commons wakati alishazoea kuketi meza ya Watawala.
Hapana aisee, Jamaa Yuko depressed. Mpeni nafasi atulie kwanza.
Mara mwisho ni pale alipoonekana IKulu akiwa amepiga picha na rais Samia Suluhu ikulu ya Chamwino Dodoma.
Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.
Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.
View attachment 2116339
What goes around comes around !! Kila MTU kwa nafasi yake anatakiwa kujua na kuzingatia hilo !! Kila MTU !!!Kwa siasa chafu alizoendesha chini ya dhalimu, anastahili kukutwa na mabaya ili ajue dunia ni duara.
Yuko zake Paris ameenda kula Bata.Mara mwisho ni pale alipoonekana IKulu akiwa amepiga picha na rais Samia Suluhu ikulu ya Chamwino Dodoma.
Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.
Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.
View attachment 2116339
..Job amepoteza kitu kikubwa Sana.
..Amejidhalilisha Sana.
..Anaficha uso wake kwa kutahayari aliyowafanyia wengine.
.. Leo nayeye akaombe muongozo ilihali yeye ndiye alikuwa mtoa muongozo?
... Leo akaelekezwe Cha kufanya wakati ndiye alikuwa muagizaji?
... Leo akakae kwenye kundi la commons wakati alishazoea kuketi meza ya Watawala.
Hapana aisee, Jamaa Yuko depressed. Mpeni nafasi atulie kwanza.
Ayubu yupo msijali
Ya Makonda walishamalizana nayeKwani makonda anaonekana
Wacha Mungu aitwe Mungu..Job amepoteza kitu kikubwa Sana.
..Amejidhalilisha Sana.
..Anaficha uso wake kwa kutahayari aliyowafanyia wengine.
.. Leo nayeye akaombe muongozo ilihali yeye ndiye alikuwa mtoa muongozo?
... Leo akaelekezwe Cha kufanya wakati ndiye alikuwa muagizaji?
... Leo akakae kwenye kundi la commons wakati alishazoea kuketi meza ya Watawala.
Hapana aisee, Jamaa Yuko depressed. Mpeni nafasi atulie kwanza.
Anashughulikia mafao yake shehe anakula kuku kwa mlija habari ya kuikosoa serikali ameona yanaweza kumtokea puani.! Ipo hivi kwa sasa ndugai akionekana na mbunge yeyote ambaye anavimelea vya group lile mama anaambiwa na chawa wake kuwa anatetwa , ndiyo maana sasa hivi ameamua kudhughulikia mafao yake watu wa kongwa hawana wa kuwasamea maana amezibwa mdomoMara mwisho ni pale alipoonekana IKulu akiwa amepiga picha na rais Samia Suluhu ikulu ya Chamwino Dodoma.
Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.
Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.
View attachment 2116339