Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Silaha za kijinga sana mnatumia hapo. Nimeona gofu la world war 2 hapo lenye migurudumu miwili.
Hakuna hata sisimizi anayejaribu kuingiza mguu katika ardhi yetu, ninyi huko Alshabab wamejenga Nyumba za kudumu huko Boni forest na kuweka vizuizi barabarani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna hata sisimizi anayejaribu kuingiza mguu katika ardhi yetu, ninyi huko Alshabab wamejenga Nyumba za kudumu huko Boni forest na kuweka vizuizi barabarani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unaongea kwa ujasiri bandia kwa sababu Al Shabab hawajawahi kuvamia Tanzania. Sio kwa sababu wanawaogopa bali kwa sababu mliogopa kutuma jeshi lenu Somalia. Waoga nyie, kazi yenu kuingiza mkia kati kati ya miguu. Hata DRC najua mtakataa kutuma jeshi lenu la EAC huko.
 
Unaongea kwa ujasiri bandia kwa sababu Al Shabab hawajawahi kuvamia Tanzania. Sio kwa sababu wanawaogopa bali kwa sababu mliogopa kutuma jeshi lenu Somalia. Waoga nyie, kazi yenu kuingiza mkia kati kati ya miguu. Hata DRC najua mtakataa kutuma jeshi lenu la EAC huko.
Mbona hao Alshababs wasishambulie Uganda au hata Ethiopia waliopo karibu nao kwasababu walipeleka majeshi Somalia?.

Tatizo hapa ni kwamba, Inawezekanaje adui wa nje ya nchi anaweza kuingia na kutoka katika nchi yenu Kama apendavyo, kazi ya jeshi ni ipi Kama sio kudhibiti mipaka ya nchi, au katika hili unakiri kwamba Alshababs wamelizidi ujanja jeshi lenu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unaongea kwa ujasiri bandia kwa sababu Al Shabab hawajawahi kuvamia Tanzania. Sio kwa sababu wanawaogopa bali kwa sababu mliogopa kutuma jeshi lenu Somalia. Waoga nyie, kazi yenu kuingiza mkia kati kati ya miguu. Hata DRC najua mtakataa kutuma jeshi lenu la EAC huko.
Wale waliokimbilia msumbiji kutokea tz wananguvu kuliko alshababu kwa sababu wamevamia nchi wasiyo na udugu nayo hata kidogo na kufanikiwa kufanya mapigano makubwa ..tofauti na alshababu wa somalia ambao wanatumia nguvu rahisi kwa sababu wapo wasomali wengi kenya
 
Nunieni silaha za kisasa. Wacheni kupoteza muda na vitu vya kipuuzi kama hivyo. Mkija vita na Kenya tutawanyorosha sawa sawa.

Cc joto la jiwe
Unajua kwanini wanajeshi wetu wa jwtz ukikutana nao ni vigumu kuwaona wameshika silaha wala uwezi kuwakuta wamebeba bunduki mitaani ...sijui kama unajua ni kwa nini ?
 
Unaongea kwa ujasiri bandia kwa sababu Al Shabab hawajawahi kuvamia Tanzania. Sio kwa sababu wanawaogopa bali kwa sababu mliogopa kutuma jeshi lenu Somalia. Waoga nyie, kazi yenu kuingiza mkia kati kati ya miguu. Hata DRC najua mtakataa kutuma jeshi lenu la EAC huko.

Kwa kauli hii, rasmi alshabab wataendelea kuipiga Kenya kwa kadiri watakavyo.
Sisi wanatujua ndiyo maana wametulia. Wewe unafikiri hawajawahi kututest, halafu wakachezeshwa kwata na jaramba.
 
Mmeshindwa kuwanyoosha al shabab wahuni mtaiweza Tanzania?

Umesahau alshabab walivyokushughulikieni westgate mall?

Jeshi la kenya ukiwa na maarifa unalichakaza balaa. Mbinu rahisi tu, ukitaka kuwanasa wee warushie maboflo. Wanatupa silaha wanaanza kugombaniana maboflo. Ndiyo maana pale westgate walihangaishwa sana, maana hakuna aliyekuwa anafikiria kudhibiti alshabab, bali walifikiria namna gani waibe mali supermarket na kula mikate.
😝 😁 😄🤣
 
KDF ipo kulinda magay wa Mombasa ambao ndio kivutio kikuu cha tourists
 
Jeshi la kenya ukiwa na maarifa unalichakaza balaa. Mbinu rahisi tu, ukitaka kuwanasa wee warushie maboflo. Wanatupa silaha wanaanza kugombaniana maboflo. Ndiyo maana pale westgate walihangaishwa sana, maana hakuna aliyekuwa anafikiria kudhibiti alshabab, bali walifikiria namna gani waibe mali supermarket na kula mikate.
😝 😁 😄🤣
Aaah aah.

Jeshi lenye kujielewa wanajeshi wake wanaanzaje kuiba biskuti na mkate?

Na watuulize TZ tunadili vipi na wahuni.
 
Kwa kauli hii, rasmi alshabab wataendelea kuipiga Kenya kwa kadiri watakavyo.
Sisi wanatujua ndiyo maana wametulia. Wewe unafikiri hawajawahi kututest, halafu wakachezeshwa kwata na jaramba.
Aaah aah huyo nyang'au awaulize wale jamaa wa kibiti kitaya na mapango ya amboni kilichowapata.

Kwa TZ kudhibiti watu hao ni misheni ya kimyakimya isiyokuwa na mwisho.
 
Back
Top Bottom