Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Angalau umedadavua kidogo! Yes, umeongea kitu. Ni lazima kuoa mke anayejitambua na siyo kuokoteza okoteza tu.

Kwa wanawake wengi(based on experience from people in JF and some of my relatives) wa kisasa, chao ni chao, na cha waume zao ni chao pia. Mostly women from poor background ndiyo huwa hivi(my experience)

So, hapo nakuunga mkono, hapo ulipogusia suala la mke kuwa decent, na kutookoteza okoteza wanawake na kuoa. Familia ni ya wote.
 

Naomba kujua chanzo Cha taarifa za huu mshahara wa 130M Kwa mwezi kiongozi.

Hata Megalodon nimeona aliileta hivyo hivyo, ila Sina uhakika na hizo namba. Hata UN SG halipwi huo mshahara Kwa mwezi.
 
Ndio mmoja wao tunaojua hilo
Sita shangaa wiki chache zijazo ukiwa unaelekea huko huko mwenyewe. Unapo patwa na janga huna raha ya kujisemeza kama unavyo jizungusha tu hapa.
Hapo Wizara ya Afya; pamoja na ubovu wao wa utendaji, usifikiri wana kubali tu kipuuzi puuzi ushauri wa kipuuzi toka kwa aina yako bila kujiridhisha na kujuwa wanacho fanya.

Sasa hapa unapoteza muda tu, kwa sababu nimekwisha kuonyesha jinsi ulivyo mjinga mnjinga tu katika unayo changia hapa. Huna lolote ulijualo.
 
Mjinga ni wewe wenyeji wanapakimbia wewe unapakimbilia pathetic
 
Daah, kama nchi tumepigwa pabaya sana. Hata mimi nilikua na uhakika Dr Faustine akiwa WHO, ningepata mchongo pale
 
Siwezi kwenda kwenye nchi takataka kama India niliyoyaona huko sina hamu
Kumbe ulikwenda huko. Kama nani, kuli au mfagizi wa ofisi?

Sasa wewe katika hali hiyo unge tegemea kuona wanako kwenda wakubwa? Wewe uiishia huko kwenye mitaa yenye vurugu, halafu unachukulia nchi nzima ipo hivyo kila mahali?
Bila shaka ulisafiri kwenye yale magari moshi yao, tena ukajipenyeza juu ya paa la behewa; halafu leo unakuja hapa kutueleza uliyo shuhudia wewe katika hali tofaui kabisa na wengine!
Toka mwanzo nilijuwa kuna jambo lililo kutokea, ndiyo maana ukawa na mtizamo huo; pamoja na kukosa upeo.
 
India ni takataka miji michafu, pollution, miundombinu mibovu, kunanuka

Kwa aliyefika atanielewa tofauti na wewe mjinga unayeandika usichokijua
 
India ni takataka miji michafu, pollution, miundombinu mibovu, kunanuka

Kwa aliyefika atanielewa tofauti na wewe mjinga unayeandika usichokijua
Katika hadhi uliyo kuwa nayo wakati unakwenda huko ni lazima uyaone mambo hayo. Nchi nyingi duniani, hata hizo zinazo julikana kuwa dunia ya kwanza, kuna maeneo ambayo hali inakuwa tofauti na maeneo mengine. Ulisha wahi fika Washington D.C.; au Los Angeles?

Sasa wewe unalila lia hapa na India, wakati wewe na familia yako yote mnawategemea hao hao India kwa dawa mnazo tumia. Ile mizigo unayo shushiwa palesokoni kila asubuhi imeletwa hapo na malori ya wahindi. Halafu unaingia humu JF na kujiapiza juu ya uduni wa India!
 
India wanaitegema China kwa APIs za hizo dawa

Huwezi fananisha L.A na takataka zilizoko India mwehu wewe

Unaongea upumbavu mno
 
Naomba kujua chanzo Cha taarifa za huu mshahara wa 130M Kwa mwezi kiongozi.

Hata Megalodon nimeona aliileta hivyo hivyo, ila Sina uhakika na hizo namba. Hata UN SG halipwi huo mshahara Kwa mwezi.
Hii ndiyo JF yenyewe, unakutana na taarifa za ajabu ajabu, na wanao zileta hata hawajisumbui kuweka vyanzo vya taarifa hizo. La muhimu kwao, ni kuonekana wanajuwa hayo maswala vyema kuliko wengine.
Hata katika uongo, kuna uongo ulio pitiliza kiasi. Mshahara wa takribani U.S. $50,000.00 kwa mwezi kwa ngazi hiyo; na huyo mkuu wa WHO yeye atakuwa anapata kiasi cha juu zaidi ya hapo!
 
India wanaitegema China kwa APIs za hizo dawa

Huwezi fananisha L.A na takataka zilizoko India mwehu wewe

Unaongea upumbavu mno
Huko nako ulisha fika, au unaambiwa tu?
Hiyo habari ya APIs ninaifanyia kazi, usiwe na shaka. lakini najuwa huwezi kueleza chochote kuhusu India wapate APIs toka China; halafu ndio wauze dawa zilizo tengenezwa kwa wingi nje, na isiwe China wenyewe.
Hata hilo la APIs sijui ulilidakia wapi, na haraka haraka ukakimbilia ku-google, ili taarifa hiyo uilete hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…