Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Sija andika popote humu nikisema bayana., kwamba India wana agiza malighafi kutoka Taiwani. Nenda kasome nilicho andika juu ya hili.
Wewe badala ya kuelewa lilivyo letwa, unabadili kulifanya unavyo fikiri wewe.
Hili ni tatizo kwako. Na sababu kubwa ni kutokana na ufinyu wa elimu ya kukuwezesha kuelewa maana ya unacho soma.
Wewe una ufinyu wa uelewa kwenye pharma ind ndio maana wadau wanajitokeza kukusaidia uelewe. Hujishtukii?
 
Uko sahihi mkuu. Wahindi ni wapumbavu sana wameendekeza sana ubaguzi

Wahindi wanajisikia halafu level walizo nazo bado sana. Bado wana safari ndefu sana ya kujifunza how to do business kutoka kwa Wachina

Huyu anayejiita Kalamu ndio namuelewesha hilo ila angalau mkija na wengine mumpe fact hajui chochote kuhusu pharma industry ila anajitutumua sana

Hili la kuagiza APIs kutoka China anasema atalifanyia utafiti, wakati wanaodeal na hizi mambo wanajua kuwa China ndio kabeba pharma ind ya India kwa 80% ya APIs wanaimport kutoka China

China ni miongoni mwa biggest exporters wa APIs na madawa yeye kakariri India kisa anaona madawa ya hapa Tz ni Made in India
kwenye Uagizaji wa hizo APIs still china inauza kwa nchi nyingi...

Kwa ufupi ni kwamba kama hujihusishi kwenye industry fulani Kuna vingi huvijui

Imagine vifungashio vya dawa zenyewe zinakuwa imported sembuse hizo ingredients?

Kuna kiwanda hapa Tz chenyewe vifungashio tuu hawawez tengeneza mpaka wa import kutoka china hapo

Akitaka kujua dawa zinaagizwa nje nyingi ajaribu kwenda TMDA, TBS, TRA CUSTOM, na ajaribu kuwa na ukaribu na clearing agents atajua .......

China is the best na ajiandae kuagiza mapema tunapoelekea china watakuwa na sikukuu zao plus kuliwa na baridi hawaendi job

wahindi washenzi mno basi tuu njaa na shida hizi ndo zinatufanya tuchangamane nao lakini wachina wana uhovyo lakini when comes to biznez aseeh hawarembi imla wako active.... Kongole bruh kwa kugusia hii issue ya pharm industry
 
Wewe una ufinyu wa uelewa kwenye pharma ind ndio maana wadau wanajitokeza kukusaidia uelewe. Hujishtukii?
Sioni chochote kinacho husiana na pharma industry alicho ongelea. Ni wewe unajazia tu unacho taka kuongeza.
bado swala ni lile lile la Hospitali za India, unakumbuka? Public sector ya huko ya huduma za hospitali, au umesahau?
 
kwenye Uagizaji wa hizo APIs still china inauza kwa nchi nyingi...

Kwa ufupi ni kwamba kama hujihusishi kwenye industry fulani Kuna vingi huvijui

Imagine vifungashio vya dawa zenyewe zinakuwa imported sembuse hizo ingredients?

Kuna kiwanda hapa Tz chenyewe vifungashio tuu hawawez tengeneza mpaka wa import kutoka china hapo

Akitaka kujua dawa zinaagizwa nje nyingi ajaribu kwenda TMDA, TBS, TRA CUSTOM, na ajaribu kuwa na ukaribu na clearing agents atajua .......

China is the best na ajiandae kuagiza mapema tunapoelekea china watakuwa na sikukuu zao plus kuliwa na baridi hawaendi job

wahindi washenzi mno basi tuu njaa na shida hizi ndo zinatufanya tuchangamane nao lakini wachina wana uhovyo lakini when comes to biznez aseeh hawarembi imla wako active.... Kongole bruh kwa kugusia hii issue ya pharm industry
Kalamu umeona fact hizi mwamba huyu hapa mshikilie sana upate uelewa wa hili game la global pharmaceutical na mchango wa China mwenye hii industry

Nakubaliana nawe mkuu Mchina yuko vizuri sana kwenye supply chain ya APIs

Mchina ni mfanyabiashara mahiri kuliko Mhindi
 
Kalamu umeona fact hizi mwamba huyu hapa mshikilie sana upate uelewa wa hili game la global pharmaceutical na mchango wa China mwenye hii industry

Nakubaliana nawe mkuu Mchina yuko vizuri sana kwenye supply chain ya APIs

Mchina ni mfanyabiashara mahiri kuliko Mhindi
Sijaona jipya lolote hapo.
Mjadala ni hospitali za India kama vile Appolo wanako kwenda viongozi wetu.
Mjadala wa hayo madawa ukitaka nitakufundisha toka A hadi Z, bila ya wasiwasi wowote.
 
Maybe yeye sijui anataka kumaanisha nini lakini

Wahindi wanaonekana kuipenda kazi yao hasa wamejichanganya na sisi watu weusi ndo maana tunawaona hivyo labda na nidhamu ya kazi kutuzidi

Kingine ile wanajua kumuandaa mwendelezaji wa biashara zao tofaut na sisi mpk mtu afe ugomvi uibuke labda ufananishe wahindi na waafrica

Lakini wahindi na wachina aseeh

Wachina watu wengi hasa nasema kwa kumaanisha

Tuliwahi kumwambia mchina by saa sita tunakuwa tumefanya payment for our new containers Ila kufika saa sita hatujalipa mtandao benk hausomi na hapo tushalipia kama nusu ya mzigo

Mzigo tumekuja kupata third consignment
Uone mchina alivyo chapu kwenye biashara....
Kalamu umeona fact hizi mwamba huyu hapa mshikilie sana upate uelewa wa hili game la global pharmaceutical na mchango wa China mwenye hii industry

Nakubaliana nawe mkuu Mchina yuko vizuri sana kwenye supply chain ya APIs

Mchina ni mfanyabiashara mahiri kuliko Mhindi
 
Una uhakika na usichokijua ndio maana wadau wanakukataa
Tunawaona wahindi ni Bora sijui kwa sababu kitu kidogo utasikia kafia India basi wabongo tunaona ni sifa kibao kumbe hamna kipya mbona sauzi Kuna hospital kibao tuu wanaenda watu na sio India ?

Kenya hapo wako vizuri tuu.... Tz siasa na ulimbukeni mwingi ndo kinachotuponza bruh,
 
Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Lymo nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi . kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully !

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania. Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure , those are not places to go . Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be , sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi watz wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sna ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sna, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana…….na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war …… tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine ….. worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly , international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, tumenyang’anywa tonge mdomoni.

PIA SOMA
- TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
Hua nawaambia my friends wenye vyeo serikalini, ukiumwa please usikubali kupelekwa India, bora uende hata china but not India[emoji34], unaenda kuuawa.

Yes, India kuna madaktari wazuri sana (best), ila rushwa iliopo kuua watu ni 75%. Yani mbaya wako akiamua kukumaliza, then akajua umeenda kutibiwa India, anajua mchezo kwisha, anatafta umeenda hoapital gani anamalizana na madr.

Very corrupted Country
 
Tunawaona wahindi ni Bora sijui kwa sababu kitu kidogo utasikia kafia India basi wabongo tunaona ni sifa kibao kumbe hamna kipya mbona sauzi Kuna hospital kibao tuu wanaenda watu na sio India ?

Kenya hapo wako vizuri tuu.... Tz siasa na ulimbukeni mwingi ndo kinachotuponza bruh,
India ni takataka

Kalamu
 
Back
Top Bottom