Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitambulisho ni moja ya jitihada za kuelekea hukoJaribu kuwa mwelewa, kinachotakiwa kumlinda mmachinga sio kitambulisho, bali kuwepo na kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Wewe umeajiriwa una ofisi mwacheni machinga aweke biashara yake wateja walipo, wewe Kama unakereka na machinga kafanye shopping mlimani cityVitambulisho vya machinga ni biashara ya Ikulu na hii lazima lisitishwe! Hatuwezi kuwa na kiongozi asiefata taratibu za nchi, We uliona wapi watu wakifanya biashara barabarani? Maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya soko tameisha? Tusitetee Ujinga ambao hauna mantiki yoyote.Je sheria zinasemaje kuhusu machinga?
Kwa mujibu wa Sheria za kodi20000.za kitambulisho cha wamachinga zimewekwa kwa mujibu wa sheria gani?
ccm wamefeli kwenye sera.Mh Lisu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi...
Vilio wasaidia muwaache watumie na Kama hakikusaidii kakate leseni ya biasharaWenyewe wanadai havijawasaidia....ni kama wamepigwa changa la macho
Kuna haki ipi ingine itakayo kuwa bora Zaid ya hii chadema ujinga mwingi SanaJaribu kuwa mwelewa, kinachotakiwa kumlinda mmachinga sio kitambulisho, bali kuwepo na kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Wewe umeajiriwa una ofisi mwacheni machinga aweke biashara yake wateja walipo, wewe Kama unakereka na machinga kafanye shopping mlimani city
hakuna kitu hicho, wamejitungia wenyewe kichwani, hiyo tozo haikupitishwa bungeni wala kwenye halmashauri zozoteKwa mujibu wa Sheria za kodi
Asante sana, Mkuu!Term kitambulisho inawatoa akili mno.
Wewe uliwahi kuwaza kuwa wamachinga watachangia pato la Taifa lao?
Nyie ndo mnaopiga ramli nchi iendeshwe kwa mikopo na misaada ya kipuuzi kutoka nje.
Tutakopa mikopo yenye akili
Tutakusanya kodi
Tutaendesha nchi
Hakuna machinga anayefata mzigo china ni nyie wenye leseni huwauzia bidhaa na wao kuzitandaza chini ni mwaka Sasa hamna aliyefunga biashara kwa kuzibiwa njia na machinga.Mfano wa inchi inayofata Utawala wa Sheria ni pamoja na raia wake wafate Sheria kanuni na taratibu tulizojiwekea kama Taifa, Machinga anapanga bidhaa zake mbele ya Maduka ya wafanyabiashara wanaolipia Leseni,Kodi ya Pango,Kodi TRA,Usafi wa mazingira, Ulinzi halafu machinga halipii chochote mbele ya Bishara za hao wanaolipa msururu wa kodi Useme ni Sheria? Sheria gani hizo katika Nchi inayoeshimu utawala wa sheria?
Ndo mnashauriwa kuzitaja sasa (kama mnazo), raisi wenu wa vyuma kashindwa kuzitaja zaidi ya Magufuli na risasi. Angalau nyie wasaidizi wake mumsaidie, muache blah blah...kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.