Uchaguzi 2020 Hili la kuondoa vitambulisho vya machinga umebugi stepu

Uchaguzi 2020 Hili la kuondoa vitambulisho vya machinga umebugi stepu

Marekani inaongoza kwa kukopa duniani.

Kujijenga kiuchumi haimaanishi tuache kukopa...

Jibu na swala la vitambulisho lililosababisha kuchafua mji vibanda mpaka kwenye service roads za wapita kwa miguu kisa wanalipa elfu20?
Tuliambiwa nchi ina uwezo wa kujiendesha yenyewe kwa kodi zetu mbona bado unaendelea kuongelea swala la mikopo ya bei nafuu? Kumbe mnajua nchi haijitoshelezi nilazima ikope?

kumbe mtukufu anavyosema tunajiendesha kwa fedha zetu kumbe ni uongo? Tunakopa?na nyie mnaolipwa vijisent ili mje kupiga kelele humu mnalijua hilo? yaan kuondoa wafanyakazi hewa, kutopandisha mishahara, kuto kutoa ajira na kukusanya kodi nyingi kuliko viongozi wote walopita lakini kumbe bado tunakopa!![emoji12]
 
Lakini unasema wewe, Lisu amesema atafuta vitambulisho bila ya kusema nini kinatafuata Kwa wamachinga ili waweze kwendelea kufanya biashara bila bughudha iliyokuwa ikiwatesa kipindi hicho

Jaribu kuwa mwelewa, kinachotakiwa kumlinda mmachinga sio kitambulisho, bali kuwepo na kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.
[/QUOTE
 
Wewe sio mfanyabiashara hujui adha ya hivi vitambulisho. Kwanza tunakosea sana kuviita vitambulusho. Hii ni kodi ya 20,000 ya kila mwaka kwa mfanyabiashara mdogo. Kitambulisho ni kama risiti tu kuwa umelipa 20,000. Kibaya zaidi hii pesa inaenda moja kwa moja kwenye office ya Rais na haiwi audited. Tungekuwa na bunge imara uhalali wa hii pesa kwenda office ya rais ingehojiwa.
Kama hataji nini atawaboreshea zaidi ya hapo, anajiundia bomu la nyukilia nakwambia
 
Uliza mbadala wa vitambulisho itakuwa nini kabla hujapingapinga
 
Mh Lissu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi.

Hivi vitambulisho vimewasaifia kuondokana na misako ya maofisa wa TRA na mgambo wa jiji. Kumbuka wengi wa wenye hivi vitambulisho Ni wenye vibanda vidogo mtaji wao haufiki 5m, wauza screpa wauza chupi, vibanda vya mpesa, wachoma chips, mamalishe.

Hawa ndio walikuwa chumaulete wa mabwana afya, afisa biashara, tra mgambo wa jiji, maafisa wa zimamoto, wenyeviti wa mitaa, watendaji kata, Hawa wote walikuwa wakipitisha msako na kuchuma fedha.

Leo hii kijana anauza madela kaweka kitambulisho Cha machinga haguswi, ukivifuta manake waanze kusakwa Tena. Kwahili aliyekuambia useme changanya na za kwako.
Screenshot_20200823-164328.png
Asilimia kubwa thread zako wewe, ni kumponda Lissu tu!
 
Kwani kitambulisho sio sera?
Mbona wafanya biashara wakubwa pia wana leseni kulingana na biashara yake kwa hiyo hiyo sio sera?
Au umekurupuka
Wajasiriamali duniani kote hulindwa na sera bora sio kitambulisho!
 
Kwani kitambulisho sio sera?
Mbona wafanya biashara wakubwa pia wana leseni kulingana na biashara yake kwa hiyo hiyo sio sera?
Au umekurupuka
Kitambulisho ni sera! Nmekurupuka mjuzi.
 
Matumizi ya hivi vitambulisho vya wamachinga si sawa, vinatumika vibaya kwani kuna wafanyabiashara wenye mtaji mkubwazaidi ya 20m wanavitumia.

Kinachohitajika ni sera na sheria nzuri ziwekwe ili kuwalinda na kuwainua hao wamachinga.

Hivi vitambulisho ni mradi wa watu fulani ndiyo maana wamekuwa anauwezo wa kuvitengeneza lakini vitambulisho vya Taifa vimewashinda.
Yaan tunasema Kipande system kwa
Njia mpya
 
Lilikuwapo la
1. Covid 19
2. Machinga vitambulisho
3......

Awe na watu wamsaidie aache hii
One man show
La sivyo tutajua hawajajipanga, hata hivyo sio rahisi kushinda hata kwa kura za kuhesabu mikono.

Humu mitandaoni tudanganyane tu.
Niko hapa Itope nakula usipa

hili la korona kabisa ndo mwiba wa cdm, yaani walibugi sana kwa kifupi mchakato wa kumfuta tu ukamilike na wale jamaa waliomkosa na risasi wamalize walipoishia
 
Mh Lissu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi.

Hivi vitambulisho vimewasaifia kuondokana na misako ya maofisa wa TRA na mgambo wa jiji. Kumbuka wengi wa wenye hivi vitambulisho Ni wenye vibanda vidogo mtaji wao haufiki 5m, wauza screpa wauza chupi, vibanda vya mpesa, wachoma chips, mamalishe.

Hawa ndio walikuwa chumaulete wa mabwana afya, afisa biashara, tra mgambo wa jiji, maafisa wa zimamoto, wenyeviti wa mitaa, watendaji kata, Hawa wote walikuwa wakipitisha msako na kuchuma fedha.

Leo hii kijana anauza madela kaweka kitambulisho Cha machinga haguswi, ukivifuta manake waanze kusakwa Tena. Kwahili aliyekuambia useme changanya na za kwako.
Hataondoa vitambulisho bali atawapa bure siyo kuwalipisha pesa acha upotoshaji wewe
 
Hataondoa vitambulisho bali atawapa bure siyo kuwalipisha pesa acha upotoshaji wewe
jamani chadema waongo, amesema kabisa ataondoa vitambulisho vya machinga, huyu ni adui wetu namba moja, anataka kufukarisha watanzania
 
Kumbuka ukiweka kanuni pia watalazimika kukaa maeneo maalum tofauti na sasa ambapo utawakuta hadi masaki.

Kwa hiyo bado watarudi kule kule walikotoka na wengi wao hawaamini kukaa sehemu moja.

Ninyi watu ni wa ajabu na wasahaulifu sana....

Kwanza dhana yenyewe tu ya "kitambulisho cha Machinga/mjasriamali mdogo" haieleweki...

Haieleweki pesa zinakusanywa na nani japo tunaambiwa ni TRA, lakini ukweli siyo huo...

Haieleweki pesa hizo zinakwenda wapi na kufanya mini...

Ambacho tunaamini ni kuwa, huo ni mpango wa M/kiti wa CCM (taifa) ambaye pia ni Rais na kwa kutumia vibaya mamlaka yake ya "URAIS" anakitafutia chama chake fedha kwa ajili ya kuendesha shughuli za chama ikiwemo kampeni za uchaguzi, kununua wanasiasa wa vyama pinzani nk...

Hili ni rahisi mno kulieleza kwa wananchi na kueleweka kuwa kumbe wanaibiwa tu, wanafisidiwa tu, hamna lolote....

Kwa hiyo, hii kitu inapaswa kukomeshwa mara moja kwa sababu kwa vipimo vyote huu ni WIZI mtupu....
 
Ninyi watu ni wa ajabu na wasahaulifu sana....

Kwanza dhana yenyewe tu ya "kitambulisho cha Machinga/mjasriamali mdogo" haieleweki...

Haieleweki pesa zinakusanywa na nani japo tunaambiwa ni TRA, lakini ukweli siyo huo...

Haieleweki pesa hizo zinakwenda wapi na kufanya mini...

Ambacho tunaamini ni kuwa, huo ni mpango wa M/kiti wa CCM (taifa) ambaye pia ni Rais na kwa kutumia vibaya mamlaka yake ya "URAIS" anakitafutia chama chake fedha kwa ajili ya kuendesha shughuli za chama ikiwemo kampeni za uchaguzi, kununua wanasiasa wa vyama pinzani nk...

Hili ni rahisi mno kulieleza kwa wananchi na kueleweka kuwa kumbe wanaibiwa tu, wanafisidiwa tu, hamna lolote....

Kwa hiyo, hii kitu inapaswa kukomeshwa mara moja kwa sababu kwa vipimo vyote huu ni WIZI mtupu....
Nyie kweli zumbukuku..kwani kodi na makusanyo mrngine zote unajua zinaenda kwa nani?

Punguzeni kujitia aibu.

Halafu ukisema dhana yenyewe kwani wamachinga hawafanyi biashara?? Kuna malalamiko yoyote toka waingie mkataba na serikali kupitia hicho kitambulisho kwamba wanasumbuliwa?

Ya wamachinga muwaachie wamachinga. Hayo ndio madhara ya kutokuwa na hoja..matokeo yake badala ya kutafuta kura unapoteza hata zile chache za huruma.
 
Nyie kweli zumbukuku..kwani kodi na makusanyo mrngine zote unajua zinaenda kwa nani?

Punguzeni kujitia aibu.

Halafu ukisema dhana yenyewe kwani wamachinga hawafanyi biashara?? Kuna malalamiko yoyote toka waingie mkataba na serikali kupitia hicho kitambulisho kwamba wanasumbuliwa?

Ya wamachinga muwaachie wamachinga. Hayo ndio madhara ya kutokuwa na hoja..matokeo yake badala ya kutafuta kura unapoteza hata zile chache za huruma.
Sheiza m, the Sukuma gang, mmefikwa na mabaya , poleni Sana machinga

Makusanyo yote ya pesa yanajulikana yanaenda wapi, zingine zinaenda halamashauri ya wilaya au mji, zingine ni za TRA vitambukisho vya machinga, magufuli pesa aliweka wapi?
Halafu mtu anauza vitumbua vimejaa ndoo vyenye thamani ya elfu 5.halafu unataka kabla hajafanya hivyo biashara akate kitambulisho elfu 20.Hapo si umemla mtaji?
Hata hivyo machinga wanatofautiana levo, wapo wanaouza hata elfu50 Kwa siku wengine hata elfu 2 kupata shida. Imagine mtu anauza vichori au mchicha.
 
Back
Top Bottom