Uchaguzi 2020 Hili la kuondoa vitambulisho vya machinga umebugi stepu

Uchaguzi 2020 Hili la kuondoa vitambulisho vya machinga umebugi stepu

Vitambulisho vya umachinga ni kero na fedha inayokusanywa haina mpango maalum wa matumizi! Wizi mtupu!
Ukiwaambia hivyo Chinga pale Mtaa wa Kongo wanakugonga stone fasta tu. Niamini. Ijapokuwa unaweza kuwa na logic lkn wao hawanyanyaswi na mgambo wa jiji.

Wametoa 20K wanaishi salama.

Kila sehemu lazima kujua hitaji na suluhisho. Ukiwaambia ni sera mbovu wakati walikuwa wanapoteza mali zao utakosa kaka
 
Kumbe mnajua bado tunakopa kwa mabeberu? Si tunaambiwa tunajiendesha kwa kodi zetu? na hii ya kitambulisho ni kukurupuka kwa mtukufu anavyopenda breaking news, wazo la TRA wala halikuwa hivyo yeye na masifa yake na kurukia mambo ili aonekane ni wazo lake...
Marekani inaongoza kwa kukopa duniani.

Kujijenga kiuchumi haimaanishi tuache kukopa.

Tunachokikataa ni mikopo yenye kitanzi. Tunataka miikopo yenye tija kwetu

Mwisho. Tunakopa kwa sababu walioshikilia uchumi wa dunia wameharibu mifumo yetu ya kujitegemea haswa kwa kupandikiza watu aina ya mbeligiji Loketo na wewe
 
Mimi Lissu hata akisema atafuta Talaka bado kura yangu anayo tu
 
Mh Lisu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi.

Hivi vitambulisho vimewasaifia kuondokana na misako ya maofisa wa TRA na mgambo wa jiji. Kumbuka wengi wa wenye hivi vitambulisho Ni wenye vibanda vidogo mtaji wao haufiki 5m, wauza screpa wauza chupi, vibanda vya mpesa, wachoma chips, mamalishe..
Hizo pesa zinaenda kwenye mfuko wa Rais ,TRA wanatambua kwamba hakuna sheria ya kuzikusanya hizo pesa. hicho ndicho mara kwa mara nimekuwa nakisema kuongoza kwa sera ambazo hazitabiliki ambazo hazidumu 'policy uncertanity'
 
Jaribu kuwa mwelewa, kinachotakiwa kumlinda mmachinga sio kitambulisho, bali kuwepo na kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.
Mnamkosesha kura lisu hapa aisguse manake binafs kimenifaa sana
 
Mh Lisu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi...
Huyu Lissu ni wakumuonea huruma tu. Kwani hamjui jamaa ni "DEBE TUPU........."
 
Lilikuwapo la
1. Covid 19
2. Machinga vitambulisho
3...
Lissu hajajipanga na wenye chama wananuangalia tu wakijua ataaibika mwenyewe. Hana jipya na ninarudia tena hapa. Lissu hata kura millioni hapati. Sana sana laki 5.
 
Lissu kila siku anatoa maboko,kampeni za mwaka huu zitakua nyepesi sana
 
Mh Lisu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi..
MATAGA mmepoteana vibaya mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaribu kuwa mwelewa, kinachotakiwa kumlinda mmachinga sio kitambulisho, bali kuwepo na kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.
Asa kitambulisho sio ishara ya utaratibu?? Kwani sheria ama katiba si likitabu tu? Yaani a physical thing representing?? Akili za kuambiwa
 
Mfano wa inchi inayofata Utawala wa Sheria ni pamoja na raia wake wafate Sheria kanuni na taratibu tulizojiwekea kama Taifa, Machinga anapanga bidhaa zake mbele ya Maduka ya wafanyabiashara wanaolipia Leseni,Kodi ya Pango,Kodi TRA,Usafi wa mazingira, Ulinzi halafu machinga halipii chochote mbele ya Bishara za hao wanaolipa msururu wa kodi Useme ni Sheria? Sheria gani hizo katika Nchi inayoeshimu utawala wa sheria?
Hakuna machinga anayefata mzigo china Ni nyie wenye leseni huwauzia bidhaa na wao kuzitandaza chini Ni mwaka Sasa hamna aliyefunga biashara kwa kuzibiwa njia na machinga
Sijaona hata hoja moja ya maana inayotoa mbadala ya hivyo Vitambulisho.

Hao Maofisa walioorodheshwa hapo na Mleta Uzi ni kama Wanyonya damu, ni Wasumbufu hakuna mfano....nina uhakika mnaopinga wengi wala hamhusiki kutoa hizo pesa zaidi ya kulalamika kuwa pesa ni mradi wa Watu.
Sijaona hata hoja moja ya maana inayotoa mbadala ya hivyo Vitambulisho.

Hao Maofisa walioorodheshwa hapo na Mleta Uzi ni kama Wanyonya damu, ni Wasumbufu hakuna mfano....nina uhakika mnaopinga wengi wala hamhusiki kutoa hizo pesa zaidi ya kulalamika kuwa pesa ni mradi wa Watu.
Badala ya kuangali
Wewe shosti ni pimbi hujielewi...
Eti Nini? Nilikuambia sijui jinsia yangu?
 
Ukiwaambia hivyo Chinga pale Mtaa wa Kongo wanakugonga stone fasta tu.
Niamini. Ijapokuwa unaweza kuwa na logic lkn wao hawanyanyaswi na mgambo wa jiji.
Wametoa 20K wanaishi salama.

Kila sehemu lazima kujua hitaji na suluhisho. Ukiwaambia ni sera mbovu wakati walikuwa wanapoteza mali zao utakosa kaka
Mgambo wa jiji wanafanya unyama huo kwa maelekezo ya utawala ulioko madarakani. Serikali hii imeshindwa kuja na suluhisho bora zaidi la kupata ushuru kutoka kwa machinga badala yake imetafuta njia za kuiba fedha!
 
Mgambo wa jiji wanafanya unyama huo kwa maelekezo ya utawala ulioko madarakani. Serikali hii imeshindwa kuja na suluhisho bora zaidi la kupata ushuru kutoka kwa machinga badala yake imetafuta njia za kuiba fedha!
Kwa mawazo uliyo nayo hata kama wangekusanya ushuru kwa njia tofauti ungesema wanaiba.
Labda ungepewa kutunza hiyo fedha wewe
 
Kwa mawazo uliyo nayo hata kama wangekusanya ushuru kwa njia tofauti ungesema wanaiba.
Labda ungepewa kutunza hiyo fedha wewe
Kuna taratibu rasmi za kiserikali za kukusanya ushuru na fedha inajulikana inakwenda wapi. Fedha za vitambulisho anakusanya Jiwe hazijulikani anapeleka wapi na kwa kazi gani!
 
Back
Top Bottom