Ukiwaambia hivyo Chinga pale Mtaa wa Kongo wanakugonga stone fasta tu. Niamini. Ijapokuwa unaweza kuwa na logic lkn wao hawanyanyaswi na mgambo wa jiji.Vitambulisho vya umachinga ni kero na fedha inayokusanywa haina mpango maalum wa matumizi! Wizi mtupu!
Sureonly stupid peoples will vote for Lissu
Marekani inaongoza kwa kukopa duniani.Kumbe mnajua bado tunakopa kwa mabeberu? Si tunaambiwa tunajiendesha kwa kodi zetu? na hii ya kitambulisho ni kukurupuka kwa mtukufu anavyopenda breaking news, wazo la TRA wala halikuwa hivyo yeye na masifa yake na kurukia mambo ili aonekane ni wazo lake...
Mnawakati mgumu sana kumnadi Lissu. Poleni!Mimi Lissu hata akisema atafuta Talaka bado kura yangu anayo tu
Hizo pesa zinaenda kwenye mfuko wa Rais ,TRA wanatambua kwamba hakuna sheria ya kuzikusanya hizo pesa. hicho ndicho mara kwa mara nimekuwa nakisema kuongoza kwa sera ambazo hazitabiliki ambazo hazidumu 'policy uncertanity'Mh Lisu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi.
Hivi vitambulisho vimewasaifia kuondokana na misako ya maofisa wa TRA na mgambo wa jiji. Kumbuka wengi wa wenye hivi vitambulisho Ni wenye vibanda vidogo mtaji wao haufiki 5m, wauza screpa wauza chupi, vibanda vya mpesa, wachoma chips, mamalishe..
Mnamkosesha kura lisu hapa aisguse manake binafs kimenifaa sanaJaribu kuwa mwelewa, kinachotakiwa kumlinda mmachinga sio kitambulisho, bali kuwepo na kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.
Ziibiwe ziweje haituhusu Ila sisi vinatusaidia mnoVitambulisho vya umachinga ni kero na fedha inayokusanywa haina mpango maalum wa matumizi! Wizi mtupu!
Huyu Lissu ni wakumuonea huruma tu. Kwani hamjui jamaa ni "DEBE TUPU........."Mh Lisu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi...
Lissu anajinadi sisi tunaonyesha MahabaMnawakati mgumu sana kumnadi Lissu. Poleni!
Ha ha ha aaa ! haya ya kweni ni mahaba 'kitanzi', Ha ha haaa !....sisi tunaonyesha Mahaba
Lissu hajajipanga na wenye chama wananuangalia tu wakijua ataaibika mwenyewe. Hana jipya na ninarudia tena hapa. Lissu hata kura millioni hapati. Sana sana laki 5.Lilikuwapo la
1. Covid 19
2. Machinga vitambulisho
3...
MATAGA mmepoteana vibaya mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mh Lisu katika pitapita yake kasema atafuta vitambulisho vya machinga. Hapa amechemka mwambieni Bora aseme ataboresha usimamizi..
Asa kitambulisho sio ishara ya utaratibu?? Kwani sheria ama katiba si likitabu tu? Yaani a physical thing representing?? Akili za kuambiwaJaribu kuwa mwelewa, kinachotakiwa kumlinda mmachinga sio kitambulisho, bali kuwepo na kanuni zinazotambua haki za machinga kisheria.
Hakuna machinga anayefata mzigo china Ni nyie wenye leseni huwauzia bidhaa na wao kuzitandaza chini Ni mwaka Sasa hamna aliyefunga biashara kwa kuzibiwa njia na machingaMfano wa inchi inayofata Utawala wa Sheria ni pamoja na raia wake wafate Sheria kanuni na taratibu tulizojiwekea kama Taifa, Machinga anapanga bidhaa zake mbele ya Maduka ya wafanyabiashara wanaolipia Leseni,Kodi ya Pango,Kodi TRA,Usafi wa mazingira, Ulinzi halafu machinga halipii chochote mbele ya Bishara za hao wanaolipa msururu wa kodi Useme ni Sheria? Sheria gani hizo katika Nchi inayoeshimu utawala wa sheria?
Sijaona hata hoja moja ya maana inayotoa mbadala ya hivyo Vitambulisho.
Hao Maofisa walioorodheshwa hapo na Mleta Uzi ni kama Wanyonya damu, ni Wasumbufu hakuna mfano....nina uhakika mnaopinga wengi wala hamhusiki kutoa hizo pesa zaidi ya kulalamika kuwa pesa ni mradi wa Watu.
Badala ya kuangaliSijaona hata hoja moja ya maana inayotoa mbadala ya hivyo Vitambulisho.
Hao Maofisa walioorodheshwa hapo na Mleta Uzi ni kama Wanyonya damu, ni Wasumbufu hakuna mfano....nina uhakika mnaopinga wengi wala hamhusiki kutoa hizo pesa zaidi ya kulalamika kuwa pesa ni mradi wa Watu.
Eti Nini? Nilikuambia sijui jinsia yangu?Wewe shosti ni pimbi hujielewi...
Mgambo wa jiji wanafanya unyama huo kwa maelekezo ya utawala ulioko madarakani. Serikali hii imeshindwa kuja na suluhisho bora zaidi la kupata ushuru kutoka kwa machinga badala yake imetafuta njia za kuiba fedha!Ukiwaambia hivyo Chinga pale Mtaa wa Kongo wanakugonga stone fasta tu.
Niamini. Ijapokuwa unaweza kuwa na logic lkn wao hawanyanyaswi na mgambo wa jiji.
Wametoa 20K wanaishi salama.
Kila sehemu lazima kujua hitaji na suluhisho. Ukiwaambia ni sera mbovu wakati walikuwa wanapoteza mali zao utakosa kaka
Kwa mawazo uliyo nayo hata kama wangekusanya ushuru kwa njia tofauti ungesema wanaiba.Mgambo wa jiji wanafanya unyama huo kwa maelekezo ya utawala ulioko madarakani. Serikali hii imeshindwa kuja na suluhisho bora zaidi la kupata ushuru kutoka kwa machinga badala yake imetafuta njia za kuiba fedha!
Kuna taratibu rasmi za kiserikali za kukusanya ushuru na fedha inajulikana inakwenda wapi. Fedha za vitambulisho anakusanya Jiwe hazijulikani anapeleka wapi na kwa kazi gani!Kwa mawazo uliyo nayo hata kama wangekusanya ushuru kwa njia tofauti ungesema wanaiba.
Labda ungepewa kutunza hiyo fedha wewe