joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
wazanzibar wanaonewa na wakina nani wakati rais wa jamhuri ya muungano ni mzanzibarZanzibar ni nchi ndio maana wazalendo tunapambana ipewe mamlaka kamili, maana wanaonewa sana chini ya mwamvuli wa muungano
Acha unyumbu wako!, athari ni kubwa!, hujui tu, hujui zanzibar ni mpaka hata sitaji, lakini hii dar uliyopo ni zanzibar!, unadhani mwalimu alikuwa mjinga!Zanzibar ni nchi ndio maana wazalendo tunapambana ipewe mamlaka kamili, maana wanaonewa sana chini ya mwamvuli wa muungano
Washauri, Washauri, Washauri!Huyo chura kiziwi wenu ataiacha hii nchi vipande vipande
Nchi ndani ya nchi hewaZanzibar ni Nchi usisahau hilo
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Upatikanaji wa Katiba Mpya iliyo nzuri kwa sasa ni jambo lisiloepukika hapa Tanzania.Picha hii hapa
Unachokisema ni sawa na ngamia amefaulu kupita kwenye Tundu la sindano.ni muda sasa tanganyika tuvunje huu muungano hakuna maana hapo
Mkuu hivi munangoja nini? Uungwana ni vitendo sio blahblahni muda sasa tanganyika tuvunje huu muungano hakuna maana hapo
Tanzania sio Kenya, take care,! Unavunjwa tu ubavu!, Tupo million 60+,kupoteza watu wajinga 50-200 kwa usalama wa watu 60+,sio issue!Mkuu hivi munangoja nini? Uungwana ni vitendo sio blahblah
tunangoja samia hatoke madarakanii iwe kivyovyote vile then tunahitaji rais mtanganyika mwenye uchungu na tanganyika yake ndio tunazishe hiyo agenda ya kuvunja huo muungano....tutaona nani huwa anamtegemea mwenzakeMkuu hivi munangoja nini? Uungwana ni vitendo sio blahblah
kila kitu huwa na mudaUnachokisema ni sawa na ngamia kupita kwenye Tundu la sindano.
Siku hizi unasema tu Mkuu. ππZanzibar ni Nchi usisahau hilo
Kujitutumua tu! Hilo guberi lenu linahangaika tu lakini huyu siyo kiongozi kabisa!Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Kwani hukuelewa pale Mzanzibari alipouza Bandari zenu za Tanganyika( iliyojivika koti la Tanzania) kwa wajomba zake wa DP World na zile za Zenji zikabaki!? Maana yake ni kuwa "Zanzibar ni Taifa huru kimaTaifa"Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Tanzania ni mwamvuli wa muungano πTanzania ni nini ? Na Tanganyika ipo wap sasa?
Wanaonewa na Machoggo πΌwazanzibar wanaonewa na wakina nani wakati rais wa jamhuri ya muungano ni mzanzibar
Mpaka uko Kibaha πππAcha unyumbu wako!, athari ni kubwa!, hujui tu, hujui zanzibar ni mpaka hata sitaji, lakini hii dar uliyopo ni zanzibar!, unadhani mwalimu alikuwa mjinga!
Tuimarishe muungano wetu.