nchi ni 1 inaitwa JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ina serikali mbili.......(upo sawa mkuu)
NAJAZIA...
hapo kwenye uwakilishi hiyo zanzibar imewakilishwa kama serikali
so bila kujali nia yao ni nini,hapo kuna uwakilishi wa serikali ya TANZANIA(kama kuna faida itagwana bara na visiswani)
pia kuna uwakilishi wa serikali MAPINDUZI ZANZIBAR(kama kuna faida itaenda visiwani)
sina hakika kama kuna kosa kisheria serikali ya mapinduzi ikiwakilishwa hapo au popote
ni kama wanavyoamua kwenda (IMF) au (WB) kukopa ni sawa tu
NB: uchambuzi huo kama una makosa naruhusu kukosolewa na kusahihishwa