luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Allys Vs KataramaEnzi zangu shuleni tunaisikiliza najimuisa ipite kutoka mwz dar sijui sshv hyo Route kaishika Nani
Katarama na Ally's Star (ni Bundesliga) kwa mbaaali anafuata Happy Nation,, nimesikia Abood naye anataka kuunga tela,,Enzi zangu shuleni tunaisikiliza najimuisa ipite kutoka mwz dar sijui sshv hyo Route kaishika Nani
Kausha basi mwanangu unataka dar tuwe tunaingia saa 9 usikuIlivyo sasa kwa hii route ya Dar es Salaam na Mwanza ni kitu sio cha kukifumbia macho.
Vijana ku bet ushindani wa mabasi ni kitu kinacho shamiri mnoo usishangae kuina vijana wamejipanga kando ya barabara misili wanasubiri msafara wa Rais.
Huyu abood hamna kituKatarama na Ally's Star (ni Bundesliga) kwa mbaaali anafuata Happy Nation,, nimesikia Abood naye anataka kuunga tela,,
Mwendokasi mara nyingi sio factor sana kwenye ajali. Mtu akiendesha kwa kasi lkn kwa kufuata sheria za barabaran ngumu kutokea ajali. Na from my experience dreva akiwa mwendokasi focus yake inaongezekaNaona wivu unakusumbua tu, hizo gari shindana hazina ajali kwa mwaka sasa
Abood ya Tunduma inakimbia sana...Huyu abood hamna kitu
Nimesikia analeta mpya VIP choo ndani,, anaamka saa 10 usiku,, nauli Mwanza-Dar 80,000Huyu abood hamna kitu
Ili kuondoa uwezekano kabisa ni vyema barabara zikaongezwa upana na ziwe duo carriageMwendokasi mara nyingi sio factor sana kwenye ajali. Mtu akiendesha kwa kasi lkn kwa kufuata sheria za barabaran ngumu kutokea ajali. Na from my experience dreva akiwa mwendokasi focus yake inaongezeka
.....tupiganie katiba mpya...Achana na ligi za mabasi. Kuna ishu nyeti sana zaidi ya hiyo... Tupiganie Karina mpya, na tupate ujasiri wa kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya wajukuu wetu.... Kuna utumbo mwingi unaendelea ndani ya nchi kuliko hizo ligi za mabasi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ujenzi wa taifa unafanywa na waarabu wa DP weedAfu unaambiwa hao vijana ndo wanatakiwa walijenge taifa na mambo yenyewe ndo Kama hayo.
ZimeshaletwaNimesikia analeta mpya VIP choo ndani,, anaamka saa 10 usiku,, nauli Mwanza-Dar 80,000
Ridhiwan, Nape na Kipara wanatosha kujenga nchi sisi tuache tuendelee kushangilia nani anawahi kuingia mjini,,Afu unaambiwa hao vijana ndo wanatakiwa walijenge taifa na mambo yenyewe ndo Kama hayo.
AllysEnzi zangu shuleni tunaisikiliza najimuisa ipite kutoka mwz dar sijui sshv hyo Route kaishika Nani