HISTAMINE
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 477
- 1,135
Hiyo ligi ni ya kichovu afu ya kawaida kabisa. Gari zinatoka saa 9 usiku zinafika Msamvu Moro saa 12 jioni ?! (Zaidi ya saa 12 njiani) zinakaa Bene hotel weee ndio zinatoka tena kwenda Dar zinafika saa 3usiku.. hii ni kuendana na ratiba ya Latra.
Hapo hamna ligi yoyote..maana unaeshindana nae anabanwa na ratiba.. wanachofanya ni kujitahidi tu kuwahi kufika kwa kuvizia nani anashusha njiani Misungwi, Usagara ili umpite..
Hapo hamna ligi yoyote..maana unaeshindana nae anabanwa na ratiba.. wanachofanya ni kujitahidi tu kuwahi kufika kwa kuvizia nani anashusha njiani Misungwi, Usagara ili umpite..