Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Abood naye aje kanda ya ziwa kwenye list tuongeze Yutong na New Force aje azilete Zhong Tong climberHuyu abood hamna kitu
Kilitokea nini mkuu?
Chuma ya Ally's iliungua moto hapoKilitokea nini mkuu?
Kwa sasa ni basi gani linatamba Dar Bariadi Lamadi mpaka Musoma?
Shame mwenyewe....itakuwa kwenye mgao wa mafisadi haumo.Nchi inauzwa,vijana wapo kwenye ligi ya mabus?nani zaidi power tools vs Jordan!!!!,shame
Kulikua kuna Hood nadhan ya Tunduma - Arusha sitakuja kuisahau ile gari...muda wote safarini unaomba Mungu.Gari ilikuwa inakimbia hadi turbo ikaungua.Abood ya Tunduma inakimbia sana...
Sasa ikishakuwa VIP haiwezi kuwa kwenye ligi hiyo , kwa wanao panda VIP watanielewa hapaNimesikia analeta mpya VIP choo ndani,, anaamka saa 10 usiku,, nauli Mwanza-Dar 80,000
Naji zilipendwa,katarama ndo jina kuu,anawakimbiza WachinaEnzi zangu shuleni tunaisikiliza najimuisa ipite kutoka mwz dar sijui sshv hyo Route kaishika Nani
Sio kwa barabara za TanzaniaMwendokasi mara nyingi sio factor sana kwenye ajali. Mtu akiendesha kwa kasi lkn kwa kufuata sheria za barabaran ngumu kutokea ajali. Na from my experience dreva akiwa mwendokasi focus yake inaongezeka
Sumry aliwahi kuingia Mwanza saa 12 jioni ikabidi dereva awekwe selo kwa muda pale Nyegezi stand. Siku hizi naona Katarama anaingia Mwanza saa 3 usikuEnzi zangu shuleni tunaisikiliza najimuisa ipite kutoka mwz dar sijui sshv hyo Route kaishika Nani
Katarama atawafanya watu wamwage engine.. (TATU KAMA MIA)Katarama na Ally's Star (ni Bundesliga) kwa mbaaali anafuata Happy Nation,, nimesikia Abood naye anataka kuunga tela,,
Hapo naona HAPPY NATION yupo vizuri kwa sasa, ndio anasumbua route hiyoKilitokea nini mkuu?
Kwa sasa ni basi gani linatamba Dar Bariadi Lamadi mpaka Musoma?
3 Kama 100Naji zilipendwa,katarama ndo jina kuu,anawakimbiza Wachina
Kuna Happy nation kaingilia katiAllys Vs Katarama
gar kua na choo et ishakua VIPNimesikia analeta mpya VIP choo ndani,, anaamka saa 10 usiku,, nauli Mwanza-Dar 80,000