Hili la mbunge baraza la wawakilishi kuwadharau samaki aina ya Kambale na Sato wa ziwa Victoria lisipite pasipo mjadala. Linatoa picha mbaya

Ubaguzi aliofanya muwakilishi ni kuwabagua sato na kambale, amewafanyia discrimination. Lazima hawajisikii vizuri huko Victoria

Sema, baraza la wawakilishi mjengo wao upo simple na standard
 
Ndiyo ni wa ajabu ajabu,sasa kama hatuwez kuwala na hawana ladha tueaiteje sheikh?? Kuleni wenyewe
 
Wazenji wanazarau sana,hata mapishi yetu ya bara wanayaona ni ya hovyo hovyo Kama vile tunachemsha tu nakula,lakini wao hawachemshi bali wao ndiyo wanapika chakula Safi!!!
Siyo dharau ndo ukweli,bara na mapishi wapi na wapi
 

You can imagine, huyo ndio chair au sijui speaker, cheka yake tu, unajua huyo ni kihiyo of all kind, lowest IQ of its kind.
 
Huu muungano fake uvunjwe haraka sn
 
You can imagine, huyo ndio chair au sijui speaker, cheka yake tu, unajua huyo ni kihiyo of all kind, lowest IQ of its kind.
Hajitambui kabisa na haya ndiyo matatizo ya ccm
 
Hawa jamaa kamwe ubaguzi hawawezi kuwacha.
Utaona na CDF atatoka Zanzibar, tuvumilie tu hakuna namna wamekamata kotekote, Zanzibar inakopa bara tunalipa madeni yao, jamaa umeme kwao ni 27,000 na wakati unatoka TANESCO bara sisi 300,000+ mambo ya hovyo kabisa
 
Siyo kila kinacholiwa na watu kinaeleweka mbona majongoo wanayokula wachina unawaita wadudu?? Kwani siyo watu wale??
Kwa hiyo watanganyika ndiyo wachina?

Tofautisha tamaduni za wachina na watanzania.
 
Tumia akili wewe , tangu lini chakula anachokula ndugu yako ukakiita cha HOVYO HOVYO?
 
Najua wewe unamtetea huyo aliyesema hayo kisa ni mdini mwenzako.
 
Wazenji wanazarau sana,hata mapishi yetu ya bara wanayaona ni ya hovyo hovyo Kama vile tunachemsha tu nakula,lakini wao hawachemshi bali wao ndiyo wanapika chakula Safi!!!
Sijui kwanini tuna wang!ang!ania.
Tungewaacha waishi kivyao tu
 

Ubaguzi gani sasa, mbona kaongea kitu cha kweli kabisa.
 
Amewaita kuwa ni SAMAKI WA AJABU AJABU ina maana watanzania bara wanakula vyakula vya ajabu?
Kitu cha ajabu ni kile kitu ambacho hakijazoeleka machoni mwa wenyeji,
Bila shaka mkuu kwa tafsiri yako umetafsiri kua ni kama kashfa,

Hatuwezi kuhukumu moja kwa moja,labda muhusika atoe tafsiri yake ya neno Ajabu ajabu.
 
Kitu cha ajabu ni kile kitu ambacho hakijazoeleka machoni mwa wenyeji,
Bila shaka mkuu kwa tafsiri yako umetafsiri kua ni kama kashfa,

Hatuwezi kuhukumu moja kwa moja,labda muhusika atoe tafsiri yake ya neno Ajabu ajabu.
Mtazamo wako unaheshimiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…