Hili la mbunge baraza la wawakilishi kuwadharau samaki aina ya Kambale na Sato wa ziwa Victoria lisipite pasipo mjadala. Linatoa picha mbaya

" go do more research on this fish, we don't use it" 😁😁
 

Huu Si muungano ni uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar
 
No yuko sahihi japo lugha zake ni za kukosa heshima kwa watumiaji. Mimi mfano ukimiambia nile ngisi au konokono na majongoo bahari au kenge hata kwangu sikukaribishi maana nahisi we hata akili huna so amezungumza kwa mazingira ya Zanzibar. Kwakumsaidia tu Huku bara kunachinjwa punda lkn hatuli punda ila ni biashara wachina for export so hata kahambaleee ni kwa wabara na export
 
Haya wewe unayeijua nieleze iweje Kisiwa kilichozungwa na Bahari wale Kambale wa mtoni kwenye maji machafu au tu waletewe samaki wa kwenye mabwawa maji baridi ?
Huenda hujui ulichoandika; sikulaumu. Wakati mwingine tulia na ufikiri kwanza.
 
Sasa ubaguzi wao uko wapi. Au ndio sijaelewa, wao Zanzibar ni nchi kwa mujibu wa karibu yao na uhalisia wa maisha yao na anaongea mambo ya nchini kwao sato na kambale sio samaki wa asili kwao na kifupi hawatakuwa na wapenz kwann serikali itumie pesa vibaya? Hao kambale na sato kambale kuleni ninyi watanganyika. Kwao ni samaki wa ajabu ajabu tu.
 
Huenda hujui ulichoandika; sikulaumu. Wakati mwingine tulia na ufikiri kwanza.

Sasa changu na kolekole wameenda wapi? Kwa nini Kisiwa kilichozungukwa na bahari wale Kambale wa mtoni?
 
Mwakishi huyu yuko sahihi sana, bamoja na kutumia luga ya ukakasi,lakini ukweli ni huo.
Zanzibar tumezungukwa na bahari,
Zanzibar haina Maziwa wala mito ya maji matamu.
Zabnzuibar haina soko la Kambale na sato.
Uwekezaji ambao Serikali ingelipaswa kuwekeza ni uvuvi wa Bahari kuu na Vitalu vya Ngisina samaki wa bahareini.
Kiulweli hii ni Miradi ya Kiupigaji hela, na itawawia ghali kuiendesha na uzalishaji utakuwa expensive na hatuna mazingira ya kujenga mabwawa ya aina hiyo yatakayoweza kuleta tija ZNZ.
Hii ndiyo context ya Mwakilishi.
 


Mimi sipingi usahihi wa hoja yake, kinachokera ni njia aliyotumia kuwasilisha hiyo hoja yake, huwezi kuita vyakula HALALI wanavyokula watu kuwa ni vyakula vya "ajabu ajabu" tena kwa ukali na jazba, ni hiyo kauli hasa ndio inayotia doa hoja yake.

Huwezi kupakua chakula safi katika sahani chafu na bado udai kwamba hicho chakula ni safi, chakula safi ni hoja yake na sahani chafu ni maneno yake aliyotumia ku present hiyo hoja.
 
Nasikia kiti moto unakipenda sana
Endelea kusikia, ukishasikia, soma Biblia...

Kumbukumbu la Torati Mlango 14
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
 
Endelea kusikia, ukishasikia, soma Biblia...

Kumbukumbu la Torati Mlango 14
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
Ushapitwa na wakati wewe kigagula
 
Huyo mbunge hana akili za kumtosha.
Anafikiri kama mla urojo.
Na hilo ndio tatizo la makuzi mabaya na ukosefu wa exposure.
Huyo jamaa akienda nchi za nje atarudi na povu akishangaa vinavyoliwa kwingine.

Mtu mjinga aliyejiwekea ukomo wa kufikiri tuna mwacha alivyo.
Let sleeping dogs lie.
 
Usipoteze muda kushangaa watu wasio na visogo

They have no brains
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…