Hili la mkopo wa SGR hebu tuwekane sawa na MaCCM maana naona nyie ndio mumeumia sana

Nakumbuka nikiwa shule ya msingi, somo la GHC mwalimu alinifunza kutumia nyuzi kupima urefu wa barabara iliyo na corners. Hivi kina geza ulole hawajui kitu cha msingi kama hicho?
SGR nbi to mbsa ni 500km.
Kwanini huku endelea na masomo baada ya kumaliza shule ya msingi?
 
Humu jf bwana Kila mmoja yupo Juu
Hakuna Fukara
Na wote wamesha tembea nje[emoji1] [emoji1]

Ahaaa haaa haaa
Mfano ukiwa namanga ukaenda mpaka kajiado tayari uko nje ya nchi.
 
Yaan ww jamaa una kiwango DHAIFU sanaa cha kushawishi watu na kujenga HOJA swala la kuconnect SGR na MGR ni new alternatibe baada ya kukosa MKOPO nikukumbushe UK na RO walipeleka OMBI la mkopo kule china last week wakaambiwa economically iyo root haina faida uki compare na root ya mombasa to nairobi ambapo ili score 70% .. Ss usitape tape hapa maana kunyimwa mkopo sio KOSA
 

Construction of the 120km Nairobi-Naivasha standard gauge railway (SGR) is 90 percent complete, 16 months after work on the project started. https://www.businessdailyafrica.com...pc-complete/4003122-5032960-v964n9/index.html
 

Naskia kwenu neno dhaifu ni tusi kubwa sana hadi linababaisha bunge na spika wenu, sasa hapo sijui ndio umefika mwisho wa uwezo wako kimawazo.
Tukirudi kwenye hoja, wacha kusoma kimihemko ukikimbilia kujibu, soma uelewe kwanza ndio ujibu.
Mchina aligoma kutoa mkopo kwa ajili ya masharti ya rais Uhuru, na hili halijaanza kujadiliwa juzi, tangu hapo awali Uhuru alishamuomba Mchina alegeze na kutoa riba kwenye nusu ya mkopo na nusu ya pili iwe ruzuku maana SGR inaunga kwenye mkanda wa Road and Belt ya Mchina ambayo kufikia sasa amekusanya bilioni $50 kwa ajili ya ujenzi wake, hizo hela anakusudia kuzitumia kugharamia miundo mbinu yote itakayounga kwenye huo mkanda.
Hili liliwahi kufunguliwa uzi humu na likajadiliwa https://www.jamiiforums.com/threads/uhuru-wants-china-to-fund-half-of-sgr-for-free.1478414/
 
Mkuu ccm wasikuumize akili, bora mchina achukue kuliko huyu jiwe wetu ametumia pesa zetu za mafao kwenye ujenzi usio na mbele wala nyuma halafu sasa wastaafu wanahangaishwa
 
Route ya Dar - morogoro faida iko?
 
tuusan has gone rogue recently sijui ama ni account imekuwa hacked ama alianguka kichwa kikagongwa kiasi akapoteza fahamu
 
MaCCM ni mang'ombe.
 
Haijalishi labda muyazingire kwa ukuta, Wachina ni zaidi ya bilioni moja, hivyo maparachichi yetu hayatatosha, itatubidi kukusanya na ya TanzaGanda.

Ahaaa haaa haaa
Duu angalau sasa unaanza hata kuongea. Maana wikend ulikuwa hoi baada ya kusikia taarifa za kupigwa chini SGR pact na kuambiwa nendeni mkalete MAPARACHICHI tutanunua halafu mtapata hela ya kujenga SGR.
Teh teh teh tihiii
WaChina AKILI zao sometimes ni shidaa.
 
Route ya Dar - morogoro faida iko?
We na ww ni tayo kweli ...kwan SGR ya tz ina ishia Moro ? Ss iv wa turkey wapo makutubora ss we unasemeaje moro ? Au hujui lengo la SGR ya tz mzee mbaba tukusaidie
 
Construction of the 120km Nairobi-Naivasha standard gauge railway (SGR) is 90 percent complete, 16 months after work on the project started. https://www.businessdailyafrica.com...pc-complete/4003122-5032960-v964n9/index.html
Kweli wewe ni mbumbumbu. Umbali kutoka Nairobi to Naivasha ni 91 km. Dar to Chalinze 100km
Reli ikijengwa inakuwa na mzunguko.
So distance mliyo maliza ni 91km from Nairobi.
Naivasha to Malaba is 349km.
So reli mkianza kujenga itakuwa zaidi ya 500km.
Au na hapo huelewi!?
 
wacha kutulisha matango pori. miaka minne ndio sasa munafika 50% kisha baada ya miezi sita inayokuja (Nov) mutakua munapokea nini wakati miaka minne sasa hamuelewekieleweki
Wewe Ndio wanaokula Mapango pori. rejea jiwe msingi liliwekwa lini? Na JPM alishika uingozi lini. Ukumbuke, Kwanza Tanzania walianza mazungumuzo na wachina wakashindwana tangu 2016/17 Ndipo waliamua Tanzania wajenge Kwa pesa za ndani. Ndipo waliamua wakened Kwa kutumia waturuki. Wakwanza kujenga RELI 2018. Kwa Sasa Wapo 52%
 
Utaijenga SGR ipi isiyo pitia Morogoro
Faida sio lazima leo au uishuhudie wewe kwa wakati wako
Hakuna Reli itakayo toka Dar isipitie Morogoro

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app

Ya Tanga na Arusha imechepua pale Pugu, sio lazima Moro kwa Waluguru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…