MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #81
Kweli wewe ni mbumbumbu. Umbali kutoka Nairobi to Naivasha ni 91 km. Dar to Chalinze 100km
Reli ikijengwa inakuwa na mzunguko.
So distance mliyo maliza ni 91km from Nairobi.
Naivasha to Malaba is 349km.
So reli mkianza kujenga itakuwa zaidi ya 500km.
Au na hapo huelewi!?
Nimejaribu kukuelimisha reli haifuati mkondo wa barabara, nakuacha maana mlivyo, hata tukikesha hapa haitokuja uelewe.