Kweli wewe ni mbumbumbu. Umbali kutoka Nairobi to Naivasha ni 91 km. Dar to Chalinze 100km
Reli ikijengwa inakuwa na mzunguko.
So distance mliyo maliza ni 91km from Nairobi.
Naivasha to Malaba is 349km.
So reli mkianza kujenga itakuwa zaidi ya 500km.
Au na hapo huelewi!?
Hahahahaaa wao kinachomata ni GDP wanayoambiwa na mzungu hebu tusiwaamshe ili wakija shtuka wabak wanashangaa na middle income jina yaoJamaa wamepanic
kinacho nishangaza et Kanyimwa SGR ila Kapewa yakukarabati Kitu cha mkoloni
Yaani hadi chamkoloni Unaomba!!
Mnauchumi gani
Magu anajenga SGR ya umeme Kesh pesa yetu yabila mkopo
Pia anarekebisha Njia ya Mkoloni Bila taabu
Jamaa hawana uwezo wa Kujenga hata 1Km kwa pesa yao!!
Reli imeanza kujengwa 2018.wacha kutulisha matango pori. miaka minne ndio sasa munafika 50% kisha baada ya miezi sita inayokuja (Nov) mutakua munapokea nini wakati miaka minne sasa hamuelewekieleweki
Hapa nadhani tunaongea kitu kilekile katika degree tofauti.Nimejaribu kukuelimisha reli haifuati mkondo wa barabara, nakuacha maana mlivyo, hata tukikesha hapa haitokuja uelewe.
ThibitishaMkuu ccm wasikuumize akili, bora mchina achukue kuliko huyu jiwe wetu ametumia pesa zetu za mafao kwenye ujenzi usio na mbele wala nyuma halafu sasa wastaafu wanahangaishwa
Utaijenga SGR ipi isiyo pitia Morogoro
Faida sio lazima leo au uishuhudie wewe kwa wakati wako
Hakuna Reli itakayo toka Dar isipitie Morogoro
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Huyu alicho maanisha SGR haijakamilika na mkopo ndo unatakiwa kuanza kulipwaHivi Huyu Jamaa Alimaanisha nini Hii ndio Treni ya SGR karne Hiii
Sijamuelewa kwamba inamoshiView attachment 1084094
kubwa sanaRoute ya Dar - morogoro faida iko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahyi mchina kawapa jembe wakalime au sioNyie si mmepewa soko la maparachichi!ridhikeni na hilo soko but mkopo no,pambaneni na hali yenu,kwa taarifa yako tu jana jpm kafungua bonge la kiwanda cha parachichi ndani ya green city,nyang'au parachichi zenu pelekeni china
Hapo nilisha msoma sema nilikuwa nawaonyesha MoshiHuyu alicho maanisha SGR haijakamilika na mkopo ndo unatakiwa kuanza kulipwa
wacha kutulisha matango pori. miaka minne ndio sasa munafika 50% kisha baada ya miezi sita inayokuja (Nov) mutakua munapokea nini wakati miaka minne sasa hamuelewekieleweki
Ndio huwa Ujinga wakeYani stly ulio tumia kuandika huu uzi ulikuwa unataka upewe support na upinzan wa Tz maana umeegemea CCM tu ila ulicho ambulia nako kila kona
Ndio huwa Ujinga wake
Anatabia yakugeuza hoja kuipeleka kwenye siasa za Tanzania ili aungwe mkono na upinzani Kumbe upuuzi tu
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi mwenyewe mpinzani ila huwa siungi kauli za kijinga za KenyansNdio huwa Ujinga wake
Anatabia yakugeuza hoja kuipeleka kwenye siasa za Tanzania ili aungwe mkono na upinzani Kumbe upuuzi tu
Mizigo more than 60% ya Tanzania inaishia Dar es salaam,Utaijenga SGR ipi isiyo pitia Morogoro
Faida sio lazima leo au uishuhudie wewe kwa wakati wako
Hakuna Reli itakayo toka Dar isipitie Morogoro
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app