Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

mnafiki tu ww, bahati mbaya hauna madhara yeyote kwa andiko lako.


Jibu hoja ya mleta mada,Police aliyefanya kazi nzuri ya kizalendo ya kupambana na Jambazi,akalishinda na kufanikiwa kulinyang'anya silaha atapelekwaje mahakamani tena?Kwa kosa gani?Au ni kwa ushujaa wake wa kizalendo wa kupambana na jambazi na kulishinda?

Au alimaanisha wale askari wa Kamanda Abdallah Zombe waliowaua wafanyabiashara watatu wa madini(hapa soma majambazi) pale sinza na kujikuta wanashtakiwa kwa kosa la mauwaji? Mauwaji ya aina hiyo ya majambazi wa Sinza(hapa soma wafanyabiashara wa madini) ndiyo polisi walipaswa wapande vyeo?

Binafsi sijaielewa hii kauli,ngoja nivute subira nimngoje tena msajili wa vyama vya siasa aje aitolee ufafanuzi hii kauli kama alivyoitolea ufafanuzi kauli ile ya awali,Karibu mheshimiwa Msajili utusaidie tena katika hili,ahsante.
 
Safi sana. Nitashangaa UKAWA watakapoanza kutetea majambazi lakini wananchi wakiuawa na majambazi wanailaumu serikali
 
Hakuna haja ya kuzunguka zunguka sana kutafuta ni nini hasa rais Magufuli alimaanisha jana. Simply ni kuwa rais Magufuli amewaagiza polisi kuua majambazi papo kwa papo na polisi atakayeua papo kwa papo atapandishwa cheo.

Naona watu mmajiumauma humu huku ujumbe ukiwa wazi kabisa. Rais ameagiza kuua majambazi yenye silaha hata kama likijisalimisha. Na polisi ukiua tu jambazi tayari una cheo mkononi.

Sasa sijajua polisi wataenda mbali kiasi gani ila ni kuwa hawataenda mahakamani ng'o!
Matokeo yake yanaweza kuwa hayo. Na hata pia yale ya akina Abdalah Zombe kule kwenye msitu wa pande ya kuwaua akina Sabinus Chigumbi na wenziye kisha kuja kutudanganya kuwa wameua majambazi.
 
Ni kweli hana madhara, ila wenye madhara wapo. Subiri utawasikia na wengine yawezekana utawaona pia. Once the can of worms, or the pandora box is opened and the hell breaks loose!
Utotole trust me, hiki ulichoandika nina hakika kwa asilimia 201 sir longo (longo longo?)hatakielewa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Hakuna haja ya kuzunguka zunguka sana kutafuta ni nini hasa rais Magufuli alimaanisha jana. Simply ni kuwa rais Magufuli amewaagiza polisi kuua majambazi papo kwa papo na polisi atakayeua papo kwa papo atapandishwa cheo.

Naona watu mmajiumauma humu huku ujumbe ukiwa wazi kabisa. Rais ameagiza kuua majambazi yenye silaha hata kama likijisalimisha. Na polisi ukiua tu jambazi tayari una cheo mkononi.

Sasa sijajua polisi wataenda mbali kiasi gani ila ni kuwa hawataenda mahakamani ng'o!

basi tuwaache majambazi waendelee kuua raia na polisi
 
Matokeo yake yanaweza kuwa hayo. Na hata pia yale ya akina Abdalah Zombe kule kwenye msitu wa pande ya kuwaua akina Sabinus Chigumbi na wenziye kisha kuja kutudanganya kuwa wameua majambazi.
Polisi atakayegeuka jambazi na yeye atanyang'anywa silaha kwa haraka.
 
Inaniuma sana hasa pale Majambazi wanapovamia vituo vya polisi, kuuwa askari wetu na kuwapokonya silaha. Sasa zamu yao. Yaani jambazi ukikutwa tu na silaha basi ujue mwisho wa maisha yako umefika. Watu walishaambiwa wakahakiki silaha zao. Sasa kama wewe unakaa nayo tu bila ya kuisajili yakikukuta ya kukukuta usije kujutia maisha yako
 
Hizo hela za kufanyia maandamano ,nawashauri chagadema wajenge ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha upinzani nchini.

Hii tabia ya kuandamanisha watoto wa wenzenu na kuwashindisha juani ikome Mara moja. @ Nyumbu
 
Jibu hoja ya mleta mada,Police aliyefanya kazi nzuri ya kizalendo ya kupambana na Jambazi,akalishinda na kufanikiwa kulinyang'anya silaha atapelekwaje mahakamani tena?Kwa kosa gani?Au ni kwa ushujaa wake wa kizalendo wa kupambana na jambazi na kulishinda?

Au alimaanisha wale askari wa Kamanda Abdallah Zombe waliowaua wafanyabiashara watatu wa madini(hapa soma majambazi) pale sinza na kujikuta wanashtakiwa kwa kosa la mauwaji? Mauwaji ya aina hiyo ya majambazi wa Sinza(hapa soma wafanyabiashara wa madini) ndiyo polisi walipaswa wapande vyeo?

Binafsi sijaielewa hii kauli,ngoja nivute subira nimngoje tena msajili wa vyama vya siasa aje aitolee ufafanuzi hii kauli kama alivyoitolea ufafanuzi kauli ile ya awali,Karibu mheshimiwa Msajili utusaidie tena katika hili,ahsante.[

mtaishia kuandika humu jf.
 
Hakuna haja ya kuzunguka zunguka sana kutafuta ni nini hasa rais Magufuli alimaanisha jana. Simply ni kuwa rais Magufuli amewaagiza polisi kuua majambazi papo kwa papo na polisi atakayeua papo kwa papo atapandishwa cheo.

Naona watu mmajiumauma humu huku ujumbe ukiwa wazi kabisa. Rais ameagiza kuua majambazi yenye silaha hata kama likijisalimisha. Na polisi ukiua tu jambazi tayari una cheo mkononi.

Sasa sijajua polisi wataenda mbali kiasi gani ila ni kuwa hawataenda mahakamani ng'o!
Kwa lugha ya kidiplomasia na kiutuuzima tafsiri yako ni sahihi: Mtu akikuambia hebu nipeleke uani, unaelewa na kumwonesha panapostahili.
 
Vyovyote vile watu watakavyo elewa
Kisha sema
Kama wamebeba bunduki lengo sio kuichezea au maonyesho.

Tumechoka
Dawa ya moto ni moto

Waje sasa wale walio poteza netwerk wakati wa kuzaliwa waanze kuwatetea Majambazi waone
 
Back
Top Bottom