Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

".....Na huyo polisi atakayemnyang'anya jambazi silaha msimpeleke mahakamani bali mpandisheni cheo...!'
Polisi katimiza wajibu wake kafanikiwa kumnyang'anya jambazi silaha! Ni ujasiri ni jambo jema sasa kwanini apelekwe mahakamani tena?[emoji15] [emoji144]
Uone kama ni ujumbe wa kawaida uone kama ni ujumbe unaomaanisha majambazi tunayofahamu
Tafakari kifo cha Mwangosi RIP
Tafakari matendo ya Lameck M. huko alikotoka aliyoyafanya na nafasi aliyo nayo sasa
Sijawahi kuona askari akitimiza wajibu wake kwa usahihi na weledi kisha ashtakiwe. ..kuna jambo lingine baya kabisa lilimaanishwa hapa.....taratibu rangi halisi za mkakasi zinajifunua
 
".....Na huyo polisi atakayemnyang'anya jambazi silaha msimpeleke mahakamani bali mpandisheni cheo...!'
Polisi katimiza wajibu wake kafanikiwa kumnyang'anya jambazi silaha! Ni ujasiri ni jambo jema sasa kwanini apelekwe mahakamani tena?[emoji15] [emoji144]
Uone kama ni ujumbe wa kawaida uone kama ni ujumbe unaomaanisha majambazi tunayofahamu
Tafakari kifo cha Mwangosi RIP
Tafakari matendo ya Lameck M. huko alikotoka aliyoyafanya na nafasi aliyo nayo sasa
Sijawahi kuona askari akitimiza wajibu wake kwa usahihi na weledi kisha ashtakiwe. ..kuna jambo lingine baya kabisa lilimaanishwa hapa.....taratibu rangi halisi za mkakasi zinajifunua

mnafiki tu ww, bahati mbaya hauna madhara yeyote kwa andiko lako.
 
mnafiki tu ww, bahati mbaya hauna madhara yeyote kwa andiko lako.
ukweli unauma
20160622_155647.png

swissme
 
wewe si mwanga, endelea kujifunza uchawi,
kama una ndugu anaeyefanya ujambazi, mpatie tu mbegu za ufuta akalime
 
".....Na huyo polisi atakayemnyang'anya jambazi silaha msimpeleke mahakamani bali mpandisheni cheo...!'
Polisi katimiza wajibu wake kafanikiwa kumnyang'anya jambazi silaha! Ni ujasiri ni jambo jema sasa kwanini apelekwe mahakamani tena?[emoji15] [emoji144]
Uone kama ni ujumbe wa kawaida uone kama ni ujumbe unaomaanisha majambazi tunayofahamu
Tafakari kifo cha Mwangosi RIP
Tafakari matendo ya Lameck M. huko alikotoka aliyoyafanya na nafasi aliyo nayo sasa
Sijawahi kuona askari akitimiza wajibu wake kwa usahihi na weledi kisha ashtakiwe. ..kuna jambo lingine baya kabisa lilimaanishwa hapa.....taratibu rangi halisi za mkakasi zinajifunua
Siku hizi watu wanazungumza kwa "parables!" karibu mtaa huu
Hili la Polisi Kuruhusiwa 'Kuwanyanganya' Silaha Majambazi!, na Kupandishwa Vyeo, Limekaaje?!...

Pasco
 
Unaandika maandishi meengi na marefu wakati ungeweza kuyafupisha tu, Raisi Magufuli anatumia metaphor anachokisema kina mlengwa na mlengwa siku zote huelewa raisi anamaanisha nini, nitakupa mfano Raisi alivyosema kwamba wanaotumia br. ta DART wakamatwe na magari yao yang'olewe matairi sasa hiyo ni metaphor na wahusika walielewa alichomaanisha kwamba wachukuliwe sheria kali lkn watu mkafanya ikawa ishu kuuubwa wkt ni kitu kidogo tu lkn matokeo yake leo hii wanaovunja hii sheria ni wachache na watu wameanza kustaarabika!

Hivyo raisi Magufuli ni kipimo cha IQ TanZania asiyemuelewa ni kwamba IQ yake haitoshi ni rahisi kihivyo tu ndiyo maana unaona watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama Mbowe, Msigwa, Sugu &Co. wanapata shida sana kumuelewa raisi anachomaanisha, watu kama ninyi mmezoea mtu awape jibu kwamba 2 +5 =7 lkn akikwambia kinyume na hapo unashindwa kupata jibu na ndiyo maana mnakuja na tafsiri zenu za ajabu ajabu lkn leo hii ukienda kuongea na wahusika wakuu wa Askari wetu watakwambia Raisi alichomaanisha, na kazi itafanyika na matokeo yataonyekana wote tutakuwa mashahidi!

Mkuu heshima kwako. Bila shaka una kipaji au IQ ya kipekee. Nikiri kuwa mimi ni mmoja wa wenye kufikiri kuwa kauli za rais au kiongozi yeyote wa umma lazima ziwe katika mfumo wa 1+1=2 au 2+5=7 (kwa mfano wako) ili kutoruhusu mikanganyiko yoyote ya uelewa kwa wananchi. Ndivyo tulivyozoea kwa awamu zilizopita na kwa viongozi wa nchi nyingine.

Safari hii itabidi niwe nasoma mabandiko yako kuelewa kauli za Magufuli. Lakini unao uhakika kuwa Mheshimiwa huyu hana mielekeo ya kuachia "gaffes" katika "haraka" zake za kutoa maagizo ya kuvutia wanyonge?
 
Ana maana "wananchi wenye hasira kali walimkabili jambazi"
 
Back
Top Bottom