Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
".....Na huyo polisi atakayemnyang'anya jambazi silaha msimpeleke mahakamani bali mpandisheni cheo...!'
Polisi katimiza wajibu wake kafanikiwa kumnyang'anya jambazi silaha! Ni ujasiri ni jambo jema sasa kwanini apelekwe mahakamani tena?[emoji15] [emoji144]
Uone kama ni ujumbe wa kawaida uone kama ni ujumbe unaomaanisha majambazi tunayofahamu
Tafakari kifo cha Mwangosi RIP
Tafakari matendo ya Lameck M. huko alikotoka aliyoyafanya na nafasi aliyo nayo sasa
Sijawahi kuona askari akitimiza wajibu wake kwa usahihi na weledi kisha ashtakiwe. ..kuna jambo lingine baya kabisa lilimaanishwa hapa.....taratibu rangi halisi za mkakasi zinajifunua
Polisi katimiza wajibu wake kafanikiwa kumnyang'anya jambazi silaha! Ni ujasiri ni jambo jema sasa kwanini apelekwe mahakamani tena?[emoji15] [emoji144]
Uone kama ni ujumbe wa kawaida uone kama ni ujumbe unaomaanisha majambazi tunayofahamu
Tafakari kifo cha Mwangosi RIP
Tafakari matendo ya Lameck M. huko alikotoka aliyoyafanya na nafasi aliyo nayo sasa
Sijawahi kuona askari akitimiza wajibu wake kwa usahihi na weledi kisha ashtakiwe. ..kuna jambo lingine baya kabisa lilimaanishwa hapa.....taratibu rangi halisi za mkakasi zinajifunua