Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Poliisi wakisha shuka magari yao nnakukabidhi silaha ukimkuta uraiani mwepesi sana sana sana unamchagua umchapaje Kwa panga jiwe mshale mitama shoka yani Wewe tuuu!!!na kumjua asikari aliyeua jamaa yako simple sana ! Mtafute askari yoyote WA kituo husika ya soo kupoa mtie bia za kutosha na mchemsho hasa wakuku wakienyeji ( Fanya hivyo for more than two weeks) utampata mlengwa kisha dili nae squarely
 
Ni mtu wa ajabu sana huyu! Uhai wa binadamu kwake hakuna thamani kabisa. Muuaji eti apandishwe cheo! Mauaji ya raia nchini yataongezeka kupita kiasi.

Baada ya maneno haya ni kwamba raisi ametangaza mauaji ya wazi wananchi tutafute mbinu bora za kukomesha mauaji holela inakuwajje Amri jeshi mkuu anatoa order kwa polisi kuuwa wananchi na kuwabatiza jina na kuwaita majambazi kweli huyu raisi ni yeye Yule aliyeaapa kulinda katiba wananchi wote tumkemee aondokane na pepo la uuaji
 
Kama wewe au nduguzo ni majizi lazma uanze kuhoji ujinga ila sisi tuliowahi kuibiwa wala tukikutana nao hatungoji polisi tunamaliza wenyewe
 
Hapa cha muhimu ni Acheni WIZI/UJAMBAZI.Hizo nyingine ni bla bla tu
Tuacheni mabifu na police na ikitokea wakachukua wake zetu tupige kimya nje ya hapo watakuua na kukubambikia silaha na ikitokea imechukua mke/awala yake hapo wewe ni zaid ya jambazi sugu
 
Hata Adofu alipoanza, alianza hivi hivi kwa kuwa a populist leader, anayeshangiliwa sana na umati wa watu!, ni baadae sana, ndipo watu wakaja kugundua, walimshangilia kila alichofanya akafikia kuwa unstoppable, by the time wanashtuka, it was too little too late, wakaishia kujuta!, kwa upande wetu, chonde chonde twendeni taratibu jamani, tufungue macho kuhusu hizi amri za mdomo ambazo hazijaandikwa popote, tushtuke mapema before it is too late , tusije kujuta!.
Too late.
 
Wamesharahisishiwa Kazi na sasa badala ya Kuzunguka kwa Waganga mbalimbali Tanzania Bara na Visiwani ili wapande Vyeo watakuwa ' wanatudungua ' tu hovyo hovyo Wahusika na Wasiohusika kila Uchao / Siku ili wapandishwe Vyeo kwa wingi. Naona Wauza ' Majeneza ' Tanzania sasa ama wata ' break even Profit ' au watapata ' Super Profit ' Kimauzo.
Kodi ya jeneza itapandishwa muda si mrefu
 
Bwana pascal, si alisema yeye ni kichaa, tukae mkao wa kuuawa na vichaa hadi 2020 tutakuwa tumenyooka na kufanya uamuzi sahihi
 
Ni kweli kabisa, Paskali unarejea ktk kiwango chako!..Pamoja na maelekezo ya No1, Polisi wanatakiwa kuyapima maelekezo hayo dhidi ya GPO, sheria za nchi na katiba. Najia ndani ya jeshi la Polisi kuna wanataaluma waliobobea na wanaojua wajibu wao
 
Back
Top Bottom