Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Asiyetaka kufuata sheria mbona mkibolewa Nyumba kwa mujibu wa sheria mnalalamika.
Watu walimdhiaki Yesu na miujiza yote ile itakuja kuwa mwanadamu JPM .
Hamtutishi ubabe ni 28OCT tunaenda na JPM .
 
Hebu tuacheni kuichezea dini, siasa hii ya kibinafsi na dini hazina uhusiano. Tusifikie kukufuru, siasa kwenye Uislamu ruksa ila si ya aina hii iliyopo hapa
 
Muitikio wa Waisilamu kumpa kura zote walizokuwa nazo kwa Mhe Tundu Antipas Lissu umekuwa mkubwa sana tokea Sheikh mpenda HAKI na Maendeleo ya WATU Sheikh Ponda Issa Ponda alipopanda jukwaani na Tundu Lissu
 
Asiyetaka kufuata sheria mbona mkibolewa Nyumba kwa mujibu wa sheria mnalalamika.
Watu walimdhiaki Yesu na miujiza yote ile itakuja kuwa mwanadamu JPM .
Hamtutishi ubabe ni 28OCT tunaenda na JPM .

Aliyewakwapua watu mashamba yao kule Tanga na kuzila pesa za wale waliopata msiba wa tetemeko kule Kagera ??
 
Hebu tuacheni kuichezea dini, siasa hii ya kibinafsi na dini hazina uhusiano. Tusifikie kukufuru, siasa kwenye Uislamu ruksa ila si ya aina hii iliyopo hapa


Siasa ipi unayotaka kutuambia , au ya kuwaweka hawa aliotudhulumu muda mrefu ??? Ndugu zetu wako majela kwa makosa ya kubambikiziwa na Majambazi hawa , unataka tujikalie kimya ??
 

Sasa ulitaka awaambie watu wampigie kura ndugu wa kikwete katika kuuwa aitwaye Magufuli . Mtu ambaye anawaongoza watu wasiojulikana waliompiga risasi Lisu??
 
kwani anapelekeka mahakamani ?
Hivi wewe Magufuli anashika bunduki kwa nini msimtuhumu waziri wa ulinzi mwenye bajeti ya vifaru unatupa lawama kwa JPM wakati yeye yupo too busy kujenga nchi pigeni kelele sana Ikulu hamuingii .
Tumechelewa mnooo...Tanzania sasa Middle income msiturudishe nyuma.
 
Muitikio wa Waisilamu kumpa kura zote walizokuwa nazo kwa Mhe Tundu Antipas Lissu umekuwa mkubwa sana tokea Sheikh mpenda HAKI na Maendeleo ya WATU Sheikh Ponda Issa Ponda alipopanda jukwaani na Tundu Lissu
Labda Sheikh Ponda na Wahamadiya wachache lakini wale ninaowajua mimi ambao Wanaswara pia ni marafiki zao hawawezi kumuingia mfiraji Ikulu .
 
Asiyetaka kufuata sheria mbona mkibolewa Nyumba kwa mujibu wa sheria mnalalamika.
Watu walimdhiaki Yesu na miujiza yote ile itakuja kuwa mwanadamu JPM .
Hamtutishi ubabe ni 28OCT tunaenda na JPM .
..Na kule Mwanza hawakubomolewa kwasababu wamempiga kura Jiwe?

..Waliobomolewa Kimara ilikuwa ni kinyume na sheria kwasababu kulikuwa zuio la MAHAKAMA.

..Hakuna anayemdhihaki Jpm, ila tunasema ukweli kwamba ni mbaguzi, fisadi, na asiyejali utu na haki za waTz.

NB:

..Jpm anasema waziwazi bila kificho kwamba hapeleki maendeleo mahali ambapo hawajachagua CCM.

..Je, huyo siyo mbaguzi? Je, huyo anafuata sheria? Je, anajali haki? Kwanini viongozi wa DINI hawamkemei?
 
Shehe Ponda ndie muislam anae umizwa Zaidi na suala la mashehe kuwekwa magerezani kuliko shehe wowote nchi..Yaani Ponda wale mashehe ni kama wadogo zake au kaka zake wa tumbo moja..Kwa Misimamo ya shehe Ponda isinge wezekana yeye kujishusha na kujidhalilisha chini ya Lissu..Ila Shehe ni kama mashehe wa gerezani wanalilia sikioni mwake..
 
Haiwezekani mzee tulia tuu
Tatizo mshaingiza mambo ya udini mshaharibu tayari
 
Kama huelewi uliza tukueleweshe. Other wise wewe ni mnufaika wa mfumo wa dhuluma
Ni mtazamo wako binafsi pia, ila mimi sioni mfumo wa kizulumaji bali unaweza kuta mtawala ana madhaifu kadhaa ya kibinadamu kitu ambacho kipo kwa watawala wa mataifa yote ulimwenguni, nipe mfano ni mtawala gani wa sasa kwenye taifa lolote duniani ambae anatawala kwa kufata haki zote na raia wamemkubali, mtawala wa aina hiyo sidhani kama utampata duniani
 
Tumechoka kuona damu za watu
Hatupendi mauaji yanayofanywa na watu wasiojulikana
Hatupendi kuona watu wanafilisiwa
Hatupendi kuona masheikh wanateswa na kufia jela
Haya mambo watanzania hatujawahi kuona tangu uhuru
Stagnant mind kabisa we, mmechoka kuona damu za watu, hizo damu unaziona ww tu mbona watanzania wote million 60 hawazioni ni ww tu ndiyo unaziona, ukitaka kuona damu za watu nenda Syria huko, Iraq, Yemen, Libya na kwingineko ila usiwadanganye watu hapa Jf kuwa umechoka kuona damu za watu hapa Tanzania.
 
Ufisadi upi kwa mgombea yupi ulimsikia kasema kama kipindi kile kuwa CCM majizi.
Kelele zenu sasa hivi ni Haki .
Hilo halipingiki hata kama ni wewe mwanamke anaekupa Papuchi kiroho safi huwa unamfikiria hata kipindi unapopata pesa ila yule mwanamke mwingine anakuita ule papuchi kipindi una hela tu ,sasa hapo kwa ubinadamu kabisa wewe utakuwa radhi na yupi.
Mijitu inajua ipo kwenye Road Reserve na kuna Bicon na sheria inaeleza wazi ni mita ngapi kutoka upande wa barabara lakini wanaona kama walionewa wamesahau sheria iliyopo.
Ukimfurahisha kila mtu utaharibu nchi lazima wengine waji sacrify kwa ajili yetu kama JPM na ndugu yangu bahati ya mwenzio usiilale mlango wazi wana Mwanza acha wamlipe kwa mema yake na utambue Mbezi haiwezi kutuamulia 28oct 2020.
 
Ahaaaa, Cv ya Kilangi unaifahu? Unaongea kwa chuki tu.
CV yake siyo siri ana PhD na alikuwa Mwalimu SAUT. Anachopungukiwa ni kuto practice uwakili kwa miaka inayotakiwa kwenye Katiba. Ila kwa kuwa ni ndugu yetu amechukuliwa aje asimamie masilahi
 
Angela Merkel, Cyril Ramaphosa , Nana Akuffo Adoo, Abiy Mohamed, Emmanuel Macron, TRUDEAU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…