Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Miaka yote CCM imewatumia Waislam kama daraja lao kufikia matamanio yao ya kutawala milele, safari hii wamekwama lazima tuwafurushe wahuni hawa.
 

unafiki wenu ni kuona mtu ni msomi,mkweli,msimamia haki,au ana akili sana kwa sababu tu anaipinga serikali.

hapa ndipo mnapoonekana wazandiki tu.
yaani leo hii hata makonda akiamua aunge juhudi za lissu anatakata on the spot.
 
Kila mtu asimamie anachokiamini.

Mambo ya kusemeana sio jukumu la ponda wala kiongozi yeyote wa kiislamu.
Sisi Waislamu tunafurahi kusemewa na Sheikh Ponda, na kwa hakika tunakubaliana na kile tunachoambiwa na Sheikh Ponda!! Sasa wewe usie Muislamu unapata wapi mamlaka ya kujaribu kutupangia Waislamu kuhusu mwenye jukumu la kutusemea?!
 
Sisi Waislamu tunafurahi kusemewa na Sheikh Ponda, na kwa hakika tunakubaliana na kile tunachoambiwa na Sheikh Ponda!! Sasa wewe usie Muislamu unapata wapi mamlaka ya kujaribu kutupangia Waislamu kuhusu mwenye jukumu la kutusemea?!

kama sheikh ponda anaweza kuwasemea,basi yeyote anaweza kuwasemea pia.

hilo la kufurahi ama kutofurahi,inategemea anayekusemea mna mahusiano yepi.
 
unafiki wenu ni kuona mtu ni msomi,mkweli,msimamia haki,au ana akili sana kwa sababu tu anaipinga serikali.

hapa ndipo mnapoonekana wazandiki tu.
yaani leo hii hata makonda akiamua aunge juhudi za lissu anatakata on the spot.
Uwezo wako mdogo wa kufikiri, kaa kimya.
Lowasa je yupo wapi kwa sasa?
Alipokuwa upinzani mlisema anajinyea jukwaani kwenye kampeni, leo hii mmemchamba kwa maji ya kijani? Makonda kwetu ni zwazwa tu
 
NDIYOOOOOOOOOOOOO!!! Nimegonga meza X1000 kama wabunge wenu mjengoni
 
Waislam watamchagua Lissu na sisi wakristo inabidi tuwaambie makardinali wetu kuwa watangaze kuwa kura zetu ni kwa Magufuli.

Katika watu ma-bogus huyo Sheikh ni mmoja wa wanaoingia kumi bora.
 
kama sheikh ponda anaweza kuwasemea,basi yeyote anaweza kuwasemea pia.

hilo la kufurahi ama kutofurahi,inategemea anayekusemea mna mahusiano yepi.
Waislamu tunasemewa na Sheikh Ponda, na hao wengine acha wakusemehe wewe manake sie Sheikh Ponda anatosha!!
 
Aalim wa Ustadhi wangu juzi aliomba dua kwa kusema

"Ewe Mungu mlezi wa ulimwengu wote tunakushukuru kwa rehma zako ulizotupatia! Tunakuomba utusamehe madhambi yetu na madhambi ya ndugu zetu waliyotangulia na uwasamehe masheikh zetu waliyotangulia, na tunakuomba utunufaishe kwa urithi waliyorithi kutoka kwa Mtume. Utupe amani na salama katika nchi yetu! Amani na salama kipindi hiki cha uchaguzi ndani ya nchi yetu na utupatie kiongozi mwenye manufaa kwenye nchi....."
 
Uwezo wako mdogo wa kufikiri, kaa kimya.
Lowasa je yupo wapi kwa sasa?
Alipokuwa upinzani mlisema anajinyea jukwaani kwenye kampeni, leo hii mmemchamba kwa maji ya kijani? Makonda kwetu ni zwazwa tu

lowassa huyu huyu ambaye upinzani ulimnadi ni fisadi papa,halafu 2015 akawa wa mabadiriko.

au kuna mwingine,ulikiwa hujazaliwa mkuu??
 
Waislam watamchagua Lissu na sisi wakristo inabidi tuwaambie makardinali wetu kuwa watangaze kuwa kura zetu ni kwa Magufuli.

Katika watu ma-bogus huyo Sheikh ni mmoja wa wanaoingia kumi bora.
Hakuna mkristo wa kweli anayemjua Mungu - Jehova - Yahweh, Yesu Kristo na Roho Mtakatifu, na kuijua biblia vyema kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu anayeweza kumchagua JPM.
Hakuna
Hakunaaaaaa.
Hakunaaaaaaaaaaaa.
 
na ndiye atawapigia kura.
Kutusemea ndo kutupigia kwenyewe huko!!

Btw, mbona ni kama unaumia sana kuona Waislamu wanaona Sheikh Ponda ndie msemaje wao?!

Mbona ni kama unaumia sana kuona Waislamu wanakubaliana zaidi na Sheikh Ponda kuliko hao wengine?!
 
Kwa hiyo siku hizi wa Tz tunapiga kura kwa makundi, ya kiislamu, kikristo, kihindi, halfu linakuja la kikabilia n.k .
 
Ni kumsikiliza ponda hao wakae na matamko yao ile kauli haifutiki hata wakae vikao vyote ingawaje huko mbele Ponda atakamatwa kwa kusingiziwa kutoa kauli za uchochezi yote hayo tunayafahamu...
Ila tuseme ukweli! Ile kauli ya Ponda eti Raia wailazimishe tume ya Uchaguzi kumtangaza Lissu kua Raisi ni ya vitisho na Uchochezi!!
 
Kutusemea ndo kutupigia kwenyewe huko!!

Btw, mbona ni kama unaumia sana kuona Waislamu wanaona Sheikh Ponda ndie msemaje wao?!

Mbona ni kama unaumia sana kuona Waislamu wanakubaliana zaidi na Sheikh Ponda kuliko hao wengine?!

mimi siumii na sheikh ponda kuwasemea waislamu.

naumia na waislamu kutanabaishwa kienyeji tu kwamba wao ni chadema.uislamu hauna mafungamano na chama chochote cha siasa,ila muislam ni mfuasi wa chama.

ni busara msomi huyu na mwanazuoni kukumbuka hilo.
 
Kutusemea ndo kutupigia kwenyewe huko!!

Btw, mbona ni kama unaumia sana kuona Waislamu wanaona Sheikh Ponda ndie msemaje wao?!

Mbona ni kama unaumia sana kuona Waislamu wanakubaliana zaidi na Sheikh Ponda kuliko hao wengine?!
Bakwata iko mfukoni mwa CCM,so Ponda ni sauti ya nyikani na Waislam wanaitii sauti hiyo.
 
mimi siumii na sheikh ponda kuwasemea waislamu.

naumia na waislamu kutanabaishwa kienyeji tu kwamba wao ni chadema.uislamu hauna mafungamano na chama chochote cha siasa,ila muislam ni mfuasi wa chama.
Utajua hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…