Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Kwanza mie sina ujinga wa kushabikia vyama hivyo huo upumbavu wenu wa masuala ya vyama mtaulizana wenyewe.

Mimi hapa nauliza kama Tundu Lissu amezungumzia kuhusu mahakama ya kadhi?tunaambiwa ni mpenda haki na tunajua hana unafki wala uoga,sasa amezungumzia hili la mahakama ya kadhi?
Zilizopo hazikutoshi ndugu MATAGA?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Waislam wa Tanzania wameshakataa utopolo wenu.

Andika aya ndeefu na mipasho kedekede lakini nyie mnawachafua waislam kwa ajenda zenu za kigaidi
Tundu Lissu ni mpango wa Mungu, ukimpinga kwa njia yeyote ile lazima utapata matatizo. Nawashauri TISS, NEC na Polisi au TPDF wafuate haki pekee. Kamwe wasikubali kupindisha sheria au kanuni au kubadili matokeo kumfurahisha Magufuri, kwa kuwa hasira ya Mungu juu yao itakuwa ni maangamizi kwao na vizazi vyao
 
Waislam watamchagua Lissu na sisi wakristo inabidi tuwaambie makardinali wetu kuwa watangaze kuwa kura zetu ni kwa Magufuli.

Katika watu ma-bogus huyo Sheikh ni mmoja wa wanaoingia kumi bora.
Magufuli anaingia makanisani lakini siyo Mkristo. Yawezekana alibatizwa na kusoma mpaka seminarian lakini yeye ni wa SHETANI. Mkristo safi hawezi kuwa muuaji, mzinzi, mbambikiaji kesi, mwongo na mwizi. Hizo ndiyo tabia za huyo Magufuli.

Kama Waisalamu wanahamasishwa kumchagua Lissu, Sisi tayari tulikwisha fanya maamuzi ya kumchagua Lissu.

Hata CCM kindakindaki akina Kikwette, Kinana na akina Yusuf Makamba hawawezi kumpigia kura Magufuli
 
unafiki wenu ni kuona mtu ni msomi,mkweli,msimamia haki,au ana akili sana kwa sababu tu anaipinga serikali.

hapa ndipo mnapoonekana wazandiki tu.
yaani leo hii hata makonda akiamua aunge juhudi za lissu anatakata on the spot.
Bashite tena
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli anaingia makanisani lakini siyo Mkristo. Yawezekana alibatizwa na kusoma mpaka seminarian lakini yeye ni wa SHETANI. Mkristo safi hawezi kuwa muuaji, mzinzi, mbambikiaji kesi, mwongo na mwizi. Hizo ndiyo tabia za huyo Magufuli.

Kama Waisalamu wanahamasishwa kumchagua Lissu, Sisi tayari tulikwisha fanya maamuzi ya kumchagua Lissu.

Hata CCM kindakindaki akina Kikwette, Kinana na akina Yusuf Makamba hawawezi kumpigia kura Magufuli
Haya ni mawazo ya kishetani sana
 
Kwenu Masheikh na wahadhiri wetu
Nawasalimien Assalam Aleikum.

Jana mmefanya press conference, mmezungumza na kutoa kauli yenu kuhusu hatua ya Sheikh Ponda kusimama na kuwataka Waislamu na wananchi wamchague mheshimiwa Lissu katika uchaguzi huu.

Mmepinga vikali kauli yake kuwa Waislamu wamekubaliana kumchagua Ndugu Lissu katika uchaguzi huu, naomba niwakumbushe yafuatayo.

1. Je mnafahamu kuwa kuna waraka wa shura ya maimamu unaoelezea mtu gani anafaa kuchaguliwa?
Kabla hamjamuita Sheikh Ponda muongo kwamba eti waislamu hawana makubaliano juu ya mtu gani wa kumchagua, ningependa muurejee waraka wa majuzi wa shura ya maimamu, umetoa orodha ya Sifa nyingi sana za mtu anayefaa kuchaguliwa sifa mojawapo awe mtu anayependa HAKI.

Sasa nyie Masheikh wetu hebu tuambieni, kama kwenye waraka wa Shura maimamu wamekemea suala la kutokuwepo kwa haki nchini katika utawala huu wa rais Magufuli, hapo Shura ya Maimamu ina maana gani inaposema waislamu wachague mtu wa HAKI?, Kiufupi shura inaelezea kuhusu kubadili utawala kwenye uchaguzi huu na hicho ndicho Sheikh Ponda anachokifanya sasa hivi, Yaani kujaribu kusimamia azimio la Shura la kuondoa utawala wa dhulma na kuleta nchini utawala wa HAKI. Waislamu tunasimama na wapenda haki wote nchini bila kujali dini zao.

2. Wahadhiri na Masheikh wetu mmeonyesha double standard
Kwenye hiyo press conference mliyofanya hapo jana, mlikuwa chumba kimoja na Masheikh wanaoipigia kampeni CCM waziwazi, mlikuwa na Alhadi (huyu siyo sheikh anyway ni mjanjamjanja tu aliyesoma dini), Pia alikuwepo Sheikh Majini, wote hawa wameipigia kampeni CCM waziwazi, Tena huyo Alhadi amefanya kufuru kubwa kwa kuomba kwa jina la asiye ALLAH, na mnafahamu Qur'an imefundisha nini kuhusu wale wafanyao shirki kwana hukumu gani mbele ya ALLAH.

Kwenye hiyo press conference nilitegemea Ustaadh Mazinge umpe kwanza huyo Alhadi vifungu vya Bible na Qur'an kuonyesha kuwa amekosea kwa sababu wewe ni mtaalamu wa elimu ya Comparative religions (yaani malinganisho ya dini mbalimbali kwa kutumia vitabu vyao) na tunakupenda na kukuheshimu sana kwa kazi uliyoifanya kwa Takriban zaidi ya miaka 25 sasa. Tulitegemea umuambie Alhadi auombe radhi umma wa Waislamu kwa kuidunisha dini yetu, wakati inapaswa iwe juu na kusiwepo kuchanganya haki na batili hata kidog katika dini. Sasa utamnyoosheaje Kidole Ponda wakati pembeni yenu wamekaa wakosaji wa wazi?

3. Waislamu tunaumizwa sana na Masheikh wetu walioko jela kiuonevu
Leo hii sisi ni wakiwa, Masheikh wetu wako jela, wako jela Dar, Arusha, Mtwara, wako Jela kila mahali. Sisi waumini tunaumia, nyoyo zetu zimepigwa ganzi, tumejishika tama, tunahuzunika sana. Ni nani atakayetufundisha neno la ALLAH, ni nani atakayetupa faraja ya mtume wetu, ni nani atakayetufundisha mema tupate faida za duniani na mbinguni kama siyo Masheikh wetu walio jela?. Wamewekwa ndani na serikali ya CCM, wananyakuliwa mmoja mmoja kama mwewe anyakuavyo kifaranga na kuswekwa ndani. Sasa kweli nyie wahadhiri Mnamnyooshea kidole Ponda mtu anayetaka aingie madarakani mtu wa HAKI ili awatoe jela Masheikh wetu?.
Uislamu umefundisha, ukiona Jambo baya liondoe kwa mkono wako, ukishindwa kemea, na ukishindwa hata kukemea basi chukia, ila hiyo option ya mwisho ni udhaifu wa Imani. Hebu nyie wahadhiri wetu mnaomnyooshea kidole Sheikh Ponda leo, Mmekemea lini mbele ya hadhara ya Watanzania suala la Masheikh wetu kukaa ndani bila haki?

4. Sheikh Ponda yuko sahihi, hatua yake ni kwa maslahi ya umma wa kiislamu
Katika nchi hii vyama vya siasa, chaguzi na haki za kikatiba ni vitu halali na vya kisheria. Ni mfumo wa kubadili uongozi ili kila mtu au kundi fulani la jamii kuweka utawala ambao wanahisi watanufaika au kupata ahueni, fursa na manufaa fulanifulani. Napenda kuwafahamisha wahadhiri wetu kuwa kumekuwepo kilio katika jumuia za kiislamu kuhusu Udini wa wazi katika awamu hii, Shura ya maimamu ilitoa waraka wenye kuonyesha kisayansi kabisa teuzi zilizofanywa na awamu hii zinavyonuka udini. Teuzi zimelalia upande wa imani moja mpaka aibu almost kwa uwiano wa 80:20.

Haya kwanza kabisa aliyakemea Sheikh Khalifa na baadae Shura ya maimamu ikatoa waraka mzito, wa kishujaa na wa kukumbukwa juu ya jambo hili. Sasa kwa ubaguzi huu wa dhahiri kabisa usio na aibu nyie wahadhiri wetu mnaanza kumpiga mishale mtu ambaye anatumia taratibu halali zilizoko nchini ili kusimika utawala utakaotenda haki kwa wote?

Hatua anayoichukua leo Sheikh Ponda ni hatua kama ambazo Masheikh wetu walichukua kumsaidia Nyerere ili kumtoa mkoloni ili kusimika utawala mpya utakaoheshimu maslahi yao na haki yao. Sheikh Ponda hana tofauti na masheikh akina Tambaza, Ramia, Chaurembo na wengineo waliosimama bega kwa bega na Nyerere kung'oa utawala dhalimu na kuleta utawala wa haki.

5. Masheikh na wahadhiri wetu tunaomba mtuache, tarehe 28 tuna jambo letu
Dhulma huondolewa kwa mkono na kauli. Kauli yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU na mkono wetu ni Kura zetu. Tunawaomba wahadhiri wetu mtuache, hii ni nafasi adimu na adhimu ya kuondoa Dhulma na Uonevu katika nchi. Huyu Tundu Lissu anayetetea haki zetu Si Muislamu lakini ni Mtu wa Haki, huyu hana tofauti na Annaajashi (King Negus of the ancient Ethiopia), alikuwa ni Mfalme Mkiristo lakini mpenda Haki na muadilifu, huyu ndiye aliyeunusuru Uislamu na Waislamu kwa kuwapa hifadhi katika himaya yake wanafunzi wa mtume waliokimbia mateso na manyanyaso ya wapagani wa Makka. Tundu Lissu ni mkiristo mpenda haki, huyu ndiye anayetufaa na siyo yule ambaye hatupi nafasi za kutosha kwenye serikali yake halafu anatuhadaa kutujengea misikiti, lini sisi tumewahi kuwa na shida ya kujengewa msikiti na mtawala?. Sisi Shida yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU!

Mwisho kabisa nitoe nasaha kwa Watanzania wenzangu
Hatua ya Sheikh Ponda ni hatua ya kizalendo sana, Si hatua ya Udini hata kidogo, Maana kama Ponda angekuwa mdini maana yake angemuunga mkono Hashim Rungwe au Lipumba ambao ni waislamu wenzie. Ponda kamuunga mkono Lissu ambaye yeye Lissu na Magufuli ni wa Imani moja na dhehebu moja ila tofauti yao kuu ni kuwa Lissu ni mtu wa Haki wakati Mgombea wa CCM si mtu wa haki hata kidogo (Ana double standard na ndimi mbili). Tuungane kumuweka Lissu madarakani ili atuondolee dhulma ya kutisha katika nchi!
Penye ukweli uongo hujitenga umeongea kweli tupu Ustadh Hakika Mungu atasema na nafsi zao na zitawakera Duniani na kiama
 
Hizi Habari zote zinakuja baada ya sheikh Ponda kujitokeza hadharani Lakini wakati mashekh wanafiki wa BAKWATA waliyokuwa wanampigia kampeni yule katili mlikua hamna shida kuchanganya dini na siasa. Sisi waislamu tunasema kuna mashekh wetu wapo jela bila kufikishwa mahakamani na wanateswa Sana mpaka wengine wamehasiwa kwa kuminywa korodani.

Hatusemi waachiwe wala hatutaki kuishi na magaidi ila tunaomba serikali iwapeleke mahakamani na kama wanakosa wahukumiwe na kama la waachiwe. Hicho ni kilio chettu kwa miaka. Tundu lissu ni mwana siasa pekee amesema atalishughulikia swala Hilo.

Waislamu wote wa kweli kura zetu kwa Lissu.

Waislamu wanafiki kura zao kwa kiongozi katili.
Wewe jamaa inaonekana una dharau sana, una dhubutu hadi kuliita baraza lako BAKWATA wanafiki.
Si muandame sasa hata hilo baraza livunjwe kama mnaliona la kinafiki, Anyway labda ni mtazamo wako binafsi siyo wa waislamu walio wengi.
Ndiyo maaana mimi huwa naona bora hata katiba ya hii nchi wangeweka kipengele kwamba mtu anaegombea urais asiwe kabisa na dini.
Maana akichaguliwa mkristo waislamu wanasema wanaonewa ama Rais anawapendelea wakristo.
lakini akichaguliwagwa rais muislam sijawahi kuona wakristo wakisema kuwa wanaonewa, sijui ni kwanini ni ninyi tu waislam rais akishachaguliwagwa mkristo ninyi mnasema mnaonewa ama wakristo wanapendelewa.
Lakini nakumbuka mfano mashehe wa uamsho ambao wako mahabusu hadi sasa walikamwatwa kipindi ambacho rais alikuwa ni muislam (Kikwete) lakini sasihivi lawama anapewa magufuli kuwa anawatesa, sielewi vizuri wapi shida.
 
Wewe jamaa inaonekana una dharau sana, una dhubutu hadi kuliita baraza lako BAKWATA wanafiki.
Si muandame sasa hata hilo baraza livunjwe kama mnaliona la kinafiki, Anyway labda ni mtazamo wako binafsi siyo wa waislamu walio wengi.
Ndiyo maaana mimi huwa naona bora hata katiba ya hii nchi wangeweka kipengele kwamba mtu anaegombea urais asiwe kabisa na dini.
Maana akichaguliwa mkristo waislamu wanasema wanaonewa ama Rais anawapendelea wakristo.
lakini akichaguliwagwa rais muislam sijawahi kuona wakristo wakisema kuwa wanaonewa, sijui ni kwanini ni ninyi tu waislam rais akishachaguliwagwa mkristo ninyi mnasema mnaonewa ama wakristo wanapendelewa.
Lakini nakumbuka mfano mashehe wa uamsho ambao wako mahabusu hadi sasa walikamwatwa kipindi ambacho rais alikuwa ni muislam (Kikwete) lakini sasihivi lawama anapewa magufuli kuwa anawatesa, sielewi vizuri wapi shida.
Thank you very much
Waislamu wakisema Rais mkristo anawafanyia waislamu dhulma tunatoa vielelezo mfano mkapa aliua mamia ya wapemba na waumini wa mwembechai msikitini
Kweli mashekh wa muamsho walikamatwa na SMZ 2014 kule Zanzibar kabla huyu kafiri haja kua Rais lakini Mara baada ya yeye kua Rais akaagiza waletwe Tanganyika ili aweze kuwatesa bila huruma na hao ni 72 tu
Sisi tunazungumzia mashekh wengine zaidi ya 200 ambao wamekamatwa kuanzia mwaka 2016 wakati kaffir tayari ni Rais
Kuhusu BAKWATA ni wanafiki wanafanya ubadhirifu Mali za waislamu ulisema kidogo wanakubambikizia kesi ya ugaidi
Je wajua miaka mitano ya kafiri watanzania wengi wamekamatwa kwa tuhuma za ugaidi kuliko hata Afghanistan!!!
Ndugu zetu wanateswa Sana kwenye magereza bila kufikishwa mahakamani
Huyu kafiri anachuki Sana na anatuchukia bila sababu
 
Hakuna mkristo wa kweli anayemjua Mungu - Jehova - Yahweh, Yesu Kristo na Roho Mtakatifu, na kuijua biblia vyema kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu anayeweza kumchagua JPM.
Hakuna
Hakunaaaaaa.
Hakunaaaaaaaaaaaa.
Hakuna muislam anayejielewa sawa sawa kichwani kwake anayeweza kumpigia kura Lissu mwenye urafiki na Amsterdam.
 
Magufuli anaingia makanisani lakini siyo Mkristo. Yawezekana alibatizwa na kusoma mpaka seminarian lakini yeye ni wa SHETANI. Mkristo safi hawezi kuwa muuaji, mzinzi, mbambikiaji kesi, mwongo na mwizi. Hizo ndiyo tabia za huyo Magufuli.

Kama Waisalamu wanahamasishwa kumchagua Lissu, Sisi tayari tulikwisha fanya maamuzi ya kumchagua Lissu.

Hata CCM kindakindaki akina Kikwette, Kinana na akina Yusuf Makamba hawawezi kumpigia kura Magufuli
Msema kweli ni tarehe 28 Oktoba, hakuna haja ya kuandikia mate wakati wino upo.
 
Hao masheikh wanaopingana na Sheikh Ponda wakae wakijua kwenye Shura viongozi ni wazee lakini huku nyuma tupo vijana tunaounga mkono Shura na idadi yetu sote sio chini ya milioni 10.

Tarehe 28.10.2020 tuna jambo letu. Kama hawawezi kuwasemea masheikh wanaosota magerezani wakae kimya mengine yote watakayonena ni pumba tu kwa sasa!
 
Kwenu Masheikh na wahadhiri wetu
Nawasalimien Assalam Aleikum.

Jana mmefanya press conference, mmezungumza na kutoa kauli yenu kuhusu hatua ya Sheikh Ponda kusimama na kuwataka Waislamu na wananchi wamchague mheshimiwa Lissu katika uchaguzi huu.

Mmepinga vikali kauli yake kuwa Waislamu wamekubaliana kumchagua Ndugu Lissu katika uchaguzi huu, naomba niwakumbushe yafuatayo.

1. Je, mnafahamu kuwa kuna waraka wa shura ya maimamu unaoelezea mtu gani anafaa kuchaguliwa?
Kabla hamjamuita Sheikh Ponda muongo kwamba eti waislamu hawana makubaliano juu ya mtu gani wa kumchagua, ningependa muurejee waraka wa majuzi wa shura ya maimamu, umetoa orodha ya Sifa nyingi sana za mtu anayefaa kuchaguliwa sifa mojawapo awe mtu anayependa HAKI.

Sasa nyie Masheikh wetu hebu tuambieni, kama kwenye waraka wa Shura maimamu wamekemea suala la kutokuwepo kwa haki nchini katika utawala huu wa rais Magufuli, hapo Shura ya Maimamu ina maana gani inaposema waislamu wachague mtu wa HAKI?, Kiufupi shura inaelezea kuhusu kubadili utawala kwenye uchaguzi huu na hicho ndicho Sheikh Ponda anachokifanya sasa hivi, Yaani kujaribu kusimamia azimio la Shura la kuondoa utawala wa dhulma na kuleta nchini utawala wa HAKI. Waislamu tunasimama na wapenda haki wote nchini bila kujali dini zao.

2. Wahadhiri na Masheikh wetu mmeonyesha double standard
Kwenye hiyo press conference mliyofanya hapo jana, mlikuwa chumba kimoja na Masheikh wanaoipigia kampeni CCM waziwazi, mlikuwa na Alhadi (huyu siyo sheikh anyway ni mjanjamjanja tu aliyesoma dini), Pia alikuwepo Sheikh Majini, wote hawa wameipigia kampeni CCM waziwazi, Tena huyo Alhadi amefanya kufuru kubwa kwa kuomba kwa jina la asiye ALLAH, na mnafahamu Qur'an imefundisha nini kuhusu wale wafanyao shirki kwana hukumu gani mbele ya ALLAH.

Kwenye hiyo press conference nilitegemea Ustaadh Mazinge umpe kwanza huyo Alhadi vifungu vya Bible na Qur'an kuonyesha kuwa amekosea kwa sababu wewe ni mtaalamu wa elimu ya Comparative religions (yaani malinganisho ya dini mbalimbali kwa kutumia vitabu vyao) na tunakupenda na kukuheshimu sana kwa kazi uliyoifanya kwa Takriban zaidi ya miaka 25 sasa. Tulitegemea umuambie Alhadi auombe radhi umma wa Waislamu kwa kuidunisha dini yetu, wakati inapaswa iwe juu na kusiwepo kuchanganya haki na batili hata kidog katika dini. Sasa utamnyoosheaje Kidole Ponda wakati pembeni yenu wamekaa wakosaji wa wazi?

3. Waislamu tunaumizwa sana na Masheikh wetu walioko jela kiuonevu
Leo hii sisi ni wakiwa, Masheikh wetu wako jela, wako jela Dar, Arusha, Mtwara, wako Jela kila mahali. Sisi waumini tunaumia, nyoyo zetu zimepigwa ganzi, tumejishika tama, tunahuzunika sana. Ni nani atakayetufundisha neno la ALLAH, ni nani atakayetupa faraja ya mtume wetu, ni nani atakayetufundisha mema tupate faida za duniani na mbinguni kama siyo Masheikh wetu walio jela?. Wamewekwa ndani na serikali ya CCM, wananyakuliwa mmoja mmoja kama mwewe anyakuavyo kifaranga na kuswekwa ndani. Sasa kweli nyie wahadhiri Mnamnyooshea kidole Ponda mtu anayetaka aingie madarakani mtu wa HAKI ili awatoe jela Masheikh wetu?.
Uislamu umefundisha, ukiona Jambo baya liondoe kwa mkono wako, ukishindwa kemea, na ukishindwa hata kukemea basi chukia, ila hiyo option ya mwisho ni udhaifu wa Imani. Hebu nyie wahadhiri wetu mnaomnyooshea kidole Sheikh Ponda leo, Mmekemea lini mbele ya hadhara ya Watanzania suala la Masheikh wetu kukaa ndani bila haki?

4. Sheikh Ponda yuko sahihi, hatua yake ni kwa maslahi ya umma wa kiislamu
Katika nchi hii vyama vya siasa, chaguzi na haki za kikatiba ni vitu halali na vya kisheria. Ni mfumo wa kubadili uongozi ili kila mtu au kundi fulani la jamii kuweka utawala ambao wanahisi watanufaika au kupata ahueni, fursa na manufaa fulanifulani. Napenda kuwafahamisha wahadhiri wetu kuwa kumekuwepo kilio katika jumuia za kiislamu kuhusu Udini wa wazi katika awamu hii, Shura ya maimamu ilitoa waraka wenye kuonyesha kisayansi kabisa teuzi zilizofanywa na awamu hii zinavyonuka udini. Teuzi zimelalia upande wa imani moja mpaka aibu almost kwa uwiano wa 80:20.

Haya kwanza kabisa aliyakemea Sheikh Khalifa na baadae Shura ya maimamu ikatoa waraka mzito, wa kishujaa na wa kukumbukwa juu ya jambo hili. Sasa kwa ubaguzi huu wa dhahiri kabisa usio na aibu nyie wahadhiri wetu mnaanza kumpiga mishale mtu ambaye anatumia taratibu halali zilizoko nchini ili kusimika utawala utakaotenda haki kwa wote?

Hatua anayoichukua leo Sheikh Ponda ni hatua kama ambazo Masheikh wetu walichukua kumsaidia Nyerere ili kumtoa mkoloni ili kusimika utawala mpya utakaoheshimu maslahi yao na haki yao. Sheikh Ponda hana tofauti na masheikh akina Tambaza, Ramia, Chaurembo na wengineo waliosimama bega kwa bega na Nyerere kung'oa utawala dhalimu na kuleta utawala wa haki.

5. Masheikh na wahadhiri wetu tunaomba mtuache, tarehe 28 tuna jambo letu
Dhulma huondolewa kwa mkono na kauli. Kauli yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU na mkono wetu ni Kura zetu. Tunawaomba wahadhiri wetu mtuache, hii ni nafasi adimu na adhimu ya kuondoa Dhulma na Uonevu katika nchi. Huyu Tundu Lissu anayetetea haki zetu Si Muislamu lakini ni Mtu wa Haki, huyu hana tofauti na Annaajashi (King Negus of the ancient Ethiopia), alikuwa ni Mfalme Mkiristo lakini mpenda Haki na muadilifu, huyu ndiye aliyeunusuru Uislamu na Waislamu kwa kuwapa hifadhi katika himaya yake wanafunzi wa mtume waliokimbia mateso na manyanyaso ya wapagani wa Makka. Tundu Lissu ni mkiristo mpenda haki, huyu ndiye anayetufaa na siyo yule ambaye hatupi nafasi za kutosha kwenye serikali yake halafu anatuhadaa kutujengea misikiti, lini sisi tumewahi kuwa na shida ya kujengewa msikiti na mtawala?. Sisi Shida yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU!

Mwisho kabisa nitoe nasaha kwa Watanzania wenzangu
Hatua ya Sheikh Ponda ni hatua ya kizalendo sana, Si hatua ya Udini hata kidogo, Maana kama Ponda angekuwa mdini maana yake angemuunga mkono Hashim Rungwe au Lipumba ambao ni waislamu wenzie. Ponda kamuunga mkono Lissu ambaye yeye Lissu na Magufuli ni wa Imani moja na dhehebu moja ila tofauti yao kuu ni kuwa Lissu ni mtu wa Haki wakati Mgombea wa CCM si mtu wa haki hata kidogo (Ana double standard na ndimi mbili). Tuungane kumuweka Lissu madarakani ili atuondolee dhulma ya kutisha katika nchi!
Anayeipenda Tanzania na anayeipenda imani yake, ni lazima apende kutenda haki. Kama unaipenda Tanzania, ni lazima upiganie haki za makundi yote katika jamii yetu.

Kama wewe ni mkristo, unaipenda imani yako, basi hakikisha imani nyingine zote zinatendewa haki. Amani, furaha na utulivu wako unategemea zaidi amani, furaha na utulivu wa wanaokuzunguka. Kama unaipenda sana CCM, upiganie haki ya vyama vingine vya siasa. Amani na utulivu wa CCM utategemea jinsi vyama vingine vinavyotendewa haki.

Kosa kubwa alilolifanya Magufuli mara baada ya kuapishwa kuwa Rais mwaka 2015 ni kuamini kuwa kuyanyima haki baadhi ya makundi na vyama vya upinzani, ndiyo kutampa utulivu na urahisi wa kutawala. Jibu amelipata. Utawala wake ukaishia kulalamikiwa, kupingwa na kulaaniwa ndani na nje ya nchi. Nanukuu maneno ya Gavana yule wa Kenya, "utawala wa Maguguli umekuwa aibu kwa Afrika nzima".

Tukitaka tuishi kwa amani, furaha na upendo, siku zote, kila mmoja atende haki. Rais Magufuli inaonekana hajajifunza chochote na wala hajabadilika. Kwenye kampeni hizi zinazoendelea, bado anaongelea kuendeleza utawala wa kibaguzi na upendeleo. Huyu ni adui wa Taifa. Mtu wa namna hii, anaweza kuja kuliangamiza Taifa. Yeye bado anaongelea eti watu wasipomchagua mgombea wa CCM, watanyimwa miradi ya maendeleo! Kama mtu ametamka hivyo wazi, kweli kuna haja ya kumpa kura mtu wa namna hiyo? Huyu anaelewa juu ya haki ya raia kuwachagua viongozi wanaowataka? Huyu anaelewa juu ya kiapo cha Rais cha kuwatendea watu wote haki bila ya ubaguzi wa namna yoyote ile?

Naamini CCM, kwa kadiri ya katiba yetu ya nchi, ina mgombea mbaya kuliko wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom