Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Ni kumsikiliza ponda hao wakae na matamko yao ile kauli haifutiki hata wakae vikao vyote ingawaje huko mbele Ponda atakamatwa kwa kusingiziwa kutoa kauli za uchochezi yote hayo tunayafahamu...
Ila tuseme ukweli! Ile kauli ya Ponda eti Raia wailazimishe tume ya Uchaguzi kumtangaza Lissu kua Raisi ni ya vitisho na Uchochezi!!
 
Ila tuseme ukweli! Ile kauli ya Ponda eti Raia wailazimishe tume ya Uchaguzi kumtangaza Lissu kua Raisi ni ya vitisho na Uchochezi!!

waislamu wa maulid na hitma wa humu hawawezi kuelewa.


ila waislamu makini wanamweka kundi moja sheikh ponda na wale wahuni wa mtwara.
 
Wameingiziwa mpunga milion 20 kila mmoja ili wabalance hali ya mambo baada ya Ponda kubalidili mwelekeo wa siasa.
CCM wana hali ngumu sana mwaka huu maana kila mbinu wanayopanga kuhujumu inawafikia Chadema dakika sifuri.
 
Ponda anasikilizwa na waislamu kuliko bakwata. Ameteswa Sana kwa kuwapigania waislamu kuliko bakwata. Hapo nani mwenye nguvu sasa, hakuna asiyejua awamu hii imewabagua Sana waislamu kwenye teuzi Hadi Ponda akawekwa ndani
 
Po
Hahaha sheikh mandazi alianza ku beep Kawe.

Sheikh Ponda anawapigia sasa wanaanza kulialia.
Ponda aende akaiponde ponde ccm kusini kunusuru shangazi zao na malipo ya dhuluma dhidi ya korosho zao
 
Vijana mimi nawashauri jambo moja,jambo hili litatuoa kwenyw dhima.

Nawausia nyinyi na kujiusia mimi pia,tusomeni dini yetu ya Kiislamu. Kwanini nasena hivi hao wote walio kaa hapo mbele na kutoa hiyo press si wasomi wa dini, ndiyo maana wana semana wao kwa wao.

Alhad alisema mambo yaliyo katazwa na Uislamu na Ponda kadhalika alisema mambo yanayo pingaba na Uislamu. Hawa wote si wasomi wa dini.

Uislamu umekamilika, na huwezi kupata kheri kupitia mfumo wa Demokrasia sababu mfumo wenyewe unaupiga vita Uislamu.

Mathalani hao masheikh ili uone kama ni wajinga, jana wameweka hiyo "Press" badala ya kuongelea Uislamu unasemaje juu ya jambo alilo ongea Ponda na Alhad, wao wabamshambulia Ponda, sasa uongozi wao wa dini uko wapi ?

Ponda alisema maneno mazito yenye kumpelekea kwenye kufru ba alhaad alisema mfano wa maneno hayo hayo.
 
Ponda anatetea waislamu bakwata inatetea ccm kwann wakereke kila mtu abaki na mgombea wake
 

Attachments

  • FB_IMG_1603096116166.jpg
    30.1 KB · Views: 1
Uchambuzi uliosheheni madini, busara, elimu, na lugha iliyo barabara. Kama ningekuwa Muislamu ningependekeza uwe ndiyo WARAKA WA MWAKA na usomwe kwenye misikiti yote. KEY WORD ni HAKI ndiyo Waislamu wnataka bila kujali mgombea ni wa dini gani, chama gani au kabila gani.

Hongera nyingi kwako Missile of the Nation
 
Waislam wa Tanzania wameshakataa utopolo wenu.

Andika aya ndeefu na mipasho kedekede lakini nyie mnawachafua waislam kwa ajenda zenu za kigaidi
 
Mwisho ni kumwaga pombe na kumpa Mh Lissu kura za ndio

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Bandiko nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…