Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Kusema ukweli Sh Ponda kashatufungua macho waislamu wengi wanamuamini 90% kuliko Bakwata, akiendelea hizi siku zilio baki za kampeini, CCM ni kwaheri, kumbukeni CCM kwa mda mrefu imetumia ignorance ya waislamu kozoa kura zao, tena kumbukeni waislamu tuko 60% ya watanzania.......na tuna Imani na Ponda kuliko Bakwata
Mnasema wapiga kura wengi mwaka huu ni vijana. Sidhani kama vijana wengi wa kiislam wamezama sana kwenye mambo ya BAKWATA au Ponda kiasi cha kuthiri matokeo ya uchaguzi.
 
CV yake siyo siri ana PhD na alikuwa Mwalimu SAUT. Anachopungukiwa ni kuto practice uwakili kwa miaka inayotakiwa kwenye Katiba. Ila kwa kuwa ni ndugu yetu amechukuliwa aje asimamie masilahi
Unao uhakika hajawahi kupractice uwakili zaidi ya miaka inayotakiwa? Au una kariri uharo wa Fatma Karume?
 
Sheikh Issa Ponda na kizazi chako chote, popote ulipo na utakapokuwa Ulinzi wa Kimungu uwe Juu yako nyote! AMIN
 
Kusema ukweli Sh Ponda kashatufungua macho waislamu wengi wanamuamini 90% kuliko Bakwata, akiendelea hizi siku zilio baki za kampeini, CCM ni kwaheri, kumbukeni CCM kwa mda mrefu imetumia ignorance ya waislamu kozoa kura zao, tena kumbukeni waislamu tuko 60% ya watanzania.......na tuna Imani na Ponda kuliko Bakwata
Sheikh Ponda ni man of the match mpaka dakika hii..
 
Angela Merkel, Cyril Ramaphosa , Nana Akuffo Adoo, Abiy Mohamed, Emmanuel Macron, TRUDEAU
Wewe ni hewa kweli kweli, Ramaphosa watu wanakatwa vichwa south africa kila kukicha alafu unasema utawala hauna doa, Wasauzi wabaguzi vile wanaua weusi wenzao ambao si wasauzi alafu unasema eti utawala safi ule.

Abiy wa ethiopia ni msafi yule, kama ni msafi unadhani kwanini wamoroni wanaandamana kila kukicha wakitaka haki sawa.

Na umesahau juzi tu hapa miezi miwili iliyopita yule msanii wa Ethiopia aliyekuwa anaimbaga nyimbo za kiu wanaharakati alikutwa umeuwawa kikatili mno hadi watu waethiopia waliandama nchi nzima kutaka haki itendeke.

una fikiri kama abiy anaiongoza vizuri nchi bila madhaifu ni kwanini mara kwa mara waethiopia wanakamatwa kwenye malori na mafuso huku kwetu Tanzania wakiwa wahamiaji haramu wanaikimbia Ethiopia.

Believe me, hakuna mtawala ambaye yuko perfect hapa chini ya jua, narudia tena hayupo.

Wapo watawala ambao wameongoza nchi zao zikafanikiwa sana lakini si kwamba wao ni watenda haki sana.

Kuna watawala kama Jin Ping wa china, amaongoza nchi imefanikiwa sana na wanamkubali sana lakin bado unaona china ndiyo nchi inayoongoza kunyonga watu duniani hadi sasa kuliko taifa jingine lolote.

Kuna Mtu kama putin wa Urusi ameipa heshima Urusi kwenye dunia lakini mzingue uone kama hajakukata kichwa.

Tunae Jirani yetu hapa Kagame wa rwanda ameifanya rwanda imeonekana kwenye dunia lakini nafikiri unaona wapinzani wanavokalia kuti kavu.

Kulikuwa na Gadaffi ambae alikuwa anawapa Walibya kila kitu lakini angalia waliokuwa wanampinga walichokuwa wanakutana nacho.

My take : Mtu kama lissu hapaswi kuranda randa hapa Tanzania zaidi anafarakanisha watanzania tu.
 
Stagnant mind kabisa we, mmechoka kuona damu za watu, hizo damu unaziona ww tu mbona watanzania wote million 60 hawazioni ni ww tu ndiyo unaziona, ukitaka kuona damu za watu nenda Syria huko, Iraq, Yemen, Libya na kwingineko ila usiwadanganye watu hapa Jf kuwa umechoka kuona damu za watu hapa Tanzania.
Kama unasubiri TBC ikutangazie pole Sana
Wewe hujui mauaji yanayofanywa na watu wasiojulikana?
Hata kule Syria kuna watu wanapinga ukweli
Kila kunapo itwa Leo kuna watu wanauwawa na tanapa, watu wasiojulkjana, polisi n, k
Pole kwa kukanusha ukweli unaoujua
 
Wewe ni hewa kweli kweli, Ramaphosa watu wanakatwa vichwa south africa kila kukicha alafu unasema utawala hauna doa, Wasauzi wabaguzi vile wanaua weusi wenzao ambao si wasauzi alafu unasema eti utawala safi ule.
Abiy wa ethiopia ni msafi yule, kama ni msafi unadhani kwanini wamoroni wanaandamana kila kukicha wakitaka haki sawa.
Na umesahau juzi tu hapa miezi miwili iliyopita yule msanii wa Ethiopia aliyekuwa anaimbaga nyimbo za kiu wanaharakati alikutwa umeuwawa kikatili mno hadi watu waethiopia waliandama nchi nzima kutaka haki itendeke.
una fikiri kama abiy anaiongoza vizuri nchi bila madhaifu ni kwanini mara kwa mara waethiopia wanakamatwa kwenye malori na mafuso huku kwetu Tanzania wakiwa wahamiaji haramu wanaikimbia Ethiopia.
Believe me, hakuna mtawala ambaye yuko perfect hapa chini ya jua, narudia tena hayupo.
Wapo watawala ambao wameongoza nchi zao zikafanikiwa sana lakini si kwamba wao ni watenda haki sana.
Kuna watawala kama Jin Ping wa china, amaongoza nchi imefanikiwa sana na wanamkubali sana lakin bado unaona china ndiyo nchi inayoongoza kunyonga watu duniani hadi sasa kuliko taifa jingine lolote.
Kuna Mtu kama putin wa Urusi ameipa heshima Urusi kwenye dunia lakini mzingue uone kama hajakukata kichwa.
Tunae Jirani yetu hapa Kagame wa rwanda ameifanya rwanda imeonekana kwenye dunia lakini nafikiri unaona wapinzani wanavokalia kuti kavu.
Kulikuwa na Gadaffi ambae alikuwa anawapa Walibya kila kitu lakini angalia waliokuwa wanampinga walichokuwa wanakutana nacho.
My take : Mtu kama lissu hapaswi kuranda randa hapa Tanzania zaidi anafarakanisha watanzania tu.
Kwa Tundu Lissu umechelewa, treni imekwishawaka hairudi rivasi. Ndiye Rais wetu kuanzia 29/ 10/ 2020.

Mwaka 2015 akina Modest Kapilimba, Januari Makamba, Kinana na Nape wanajua walikomba kura ngapi za Lowassa kumpa Magufuli.

Mwaka 2020 haibiwi mtu
 
Binafsi huwa nachukia sana mtu anaeingiza mambo ya dini kwenye utawala wa umma/serikali ama kuhusianisha siasa na dini. Serikali yetu hainaga dini ila wenye dini ni sisi wananchi, sasa habari za mashehe kuanza kuongelea siasa zinatokaga wapi?

Kazi yao ni kuhubiri neno la Mungu ili watu tumjue na kumtumikia Mungu, habari ya sijui serikali ya ccm imewafunga mashehe inatoka wapi, kama mtu unakiuka maadili ya nchi na kutaka kusababisha amani ya nchi kutoweka kwanini usichukuliwe hatua. Nakupa mfano tu maana naona umeegemea upande wa dini moja tu (uislam).

Hebu itokee hapa mhubiri yeyote wa kikristo iwe Gwajima, mwamposa, mwakasege au yeyote yule unae mjua wewe ambae ni mkristo alafu aanze kuhubiri maada ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa nchi, trust me nao watawafata mashehe huko huko segerea.

Serikali haiwezi kuvumilia watu ambao wanaweza kuivuruga aman ya nchi kwa kupandikiza sumu miongoni mwa waumini wao. sisi hapa tanzania hatupo kama Saudia arabia, ama Iran ama wapi huko kwingineko ambako Serikali inaongoza kwa misingi ya kidini, tanzania hatuko hivo kila mtu aabudu dini anayoijua yeye na wala hairuhusu kuibeza dini ya mwenzio, mtu dini yake anaijua yeye mwenyewe wewe uikosoe dini ya mtu unakuhusu nini.

Tumwabudu Allah wetu mmoja,tutende mema ila usikiuke misingi ya amani ya nchi yako
Hujielewi.
 
Kwa Tundu Lissu umechelewa, treni imekwishawaka hairudi rivasi. Ndiye Rais wetu kuanzia 29/ 10/ 2020.

Mwaka 2015 akina Modest Kapilimba, Januari Makamba, Kinana na Nape wanajua walioomba kura ngapi za Lowassa kumpa Magufuli.

Mwaka 2020 haibiwi mtu
Nitakutafta baada ya october 28
 
Kama unasubiri TBC ikutangazie pole Sana
Wewe hujui mauaji yanayofanywa na watu wasiojulikana?
Hata kule Syria kuna watu wanapinga ukweli
Kila kunapo itwa Leo kuna watu wanauwawa na tanapa, watu wasiojulkjana, polisi n, k
Pole kwa kukanusha ukweli unaoujua
Ninyi ndiyo wenye zile akili kwamba hata majambazi wakiua mnasema serikali imeua, ndiyo ninyi ambao Mbowe alikunywa pombe akalewa akaanguka pale Dodoma alafu nyie mkakimbilia kusema ameshambuliwa na wasiojulikana, ndiyo ninyi ambao majambazi walikuwa wanaua pale kibiti alafu mnakimbilia kusema serikali inawaua watu wasio na hatia.Akili za kipuuzi kama zako haziwezi kuleta mabadiliko kwenye jamii inayohitaji mageuzi ya maana.
 
Endelea kuitukuza dini badala ya Kumtukuza Mungu
Walevi kama ww waliomba kwa Jpimu amuachie Baraba mlevi mwenzao kisha Yesu akafungwe..HUIJUI DUNIA MDOGO WANGU..BILA SHAKA BADO UNANYONYA VIDOLE UKIKUMBUKIA MAZIWA..Inatosha HUJIELEWI
 
"Kuna mada niliwahi kuchangia kuwa Alhadi Musa Salum alikuwa ni mvuta bangi hodari wa Makadara Zanzibar na disco pale Bwawani hotel alikuwa havundi watu walinitolea macho sana na kusema kuwa namwongelea uongo!! Kidogo kidogo tu tutaelewana. Ila pale hakuna shekhe!!
 
Hivi wewe Magufuli anashika bunduki kwa nini msimtuhumu waziri wa ulinzi mwenye bajeti ya vifaru unatupa lawama kwa JPM wakati yeye yupo too busy kujenga nchi pigeni kelele sana Ikulu hamuingii .
Tumechelewa mnooo...Tanzania sasa Middle income msiturudishe nyuma.
Middle income na tunaibiwa mashamba
 
Ninyi ndiyo wenye zile akili kwamba hata majambazi wakiua mnasema serikali imeua, ndiyo ninyi ambao Mbowe alikunywa pombe akalewa akaanguka pale Dodoma alafu nyie mkakimbilia kusema ameshambuliwa na wasiojulikana, ndiyo ninyi ambao majambazi walikuwa wanaua pale kibiti alafu mnakimbilia kusema serikali inawaua watu wasio na hatia.Akili za kipuuzi kama zako haziwezi kuleta mabadiliko kwenye jamii inayohitaji mageuzi ya maana.
Sisi hatutaki watu wanaosikiliza TBC
Halafu wanaamini ndo mwisho
Kile kijiji karibu na chato watu 9 wameuwea wiki iliopita na tanapa halafu unasema walikua majambazi
Tuombe uhai ipo siku huyu katili atakua sio Rais Ndio utasikia mengi
Ukiona serikali inabana Sana vyombo vya Habari ujue kuna maovu mengi anafanya kimya kimya
 
Back
Top Bottom