Ilikuwa vyema kutoruhusu ujenzi wowote kwa machinga na kufanya yafuatayo
1. kupasawazisha pote kwa kuweka kifusi na kupashindilia vizuri
2. kuweka mitaro ya maji machafu na hata mifumo ya maji masafi
3. kugawa vizimba/plots na kuweka barabara ka walivyo weka kwa sasa
4. kuwaandikisha wote na kuanza kuwatambua ktk mfumo wa kodiii 🤣
5.