Hili la viongozi wa kisiasa kulalamika zaidi ya wananchi ni jipya

Hili la viongozi wa kisiasa kulalamika zaidi ya wananchi ni jipya

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Badala ya kua wakosoaji wakuuu na wabunifu kimawazo, mipango na mikakati mbadala wa kinacholalamikiwa na wanainchi, wao sasa ndio wamekua sehemu ya walalamikaji mahiri na hodari, na sasa wamepoteana na Kupoteza uelekeo kabisa mazima...
🐒


Hayati Edward N. Lowasa, aliwahi kusema, na nukuu "haiwezekani katika nchi kiongozi analalamika na mwananchi analalamika"

Aise viongozi wa kisiasa wamekua hodari kulalamika dah, hadi aibu!

Sifahamu ni wamesahau, wamechoka au wameamua kukimbia na kutelekeza wajibu wao wa msingi kukosoa serikali kwa sera, hoja na mipango mikakati mbadala itakayochochea uwajibikaji, uwazi, utawala bora na wa sheria, uhuru, haki, usawa n.k wa serikali iliyopo madarakani.

Lakini pia wameacha kabisaa kuisimamia serikali kutekeleza ahadi zake kwa wanainchi. Na zaidi sana wameacha hata kueleza dira, mikakati na uelekeo wa sera zao. Na kwenye hili kumekua hakuna chama kikubwa wala kidogo vyote vimekua na uwezo sawa. wamekua tu wakitaja majina ya viongozi hovyo hovyo kwa gubu zao binafsi bila kuzingatia maslahi mapana ya taasisi zao na wanainchi kwa ujumla. Hakuna tena credibility ya viongozi hao mbele ya wafuasi wao, lakini pia hakipo tena cha kuwaaminisha wananchi kwamba ati wanawatetea.
Viongozi wa kisiasa wamekua na sura za kilaghai, kitapeli, lakini pia za kippupet
🐒


Kwasababu ya nia na dhamira njema ya viongozi wa nchi,
kinachofanyika bayana hivi sasa, ni serikali inajisimamia yenyewe, inajikosoa yenyewe, inajitathimini yenyewe, inajisahihisha yenyewe na kujirekebisha yenyewe. Inapokea malalamiko na changamoto kidogo sana, kutoka kwa wanasiasa na wananchi na kushughulika nayo kadiri inavyoona inafaa. Inafanya kazi kwa weledi na uadilifu sana. Na kwasababu inawasikiliza wanainchi, inaaminika na kwakweli ndio maana inachagulika kila uchaguzi.

Hii imesaidia sana serikali kutekeleza majukumu na wajobu wake kwa wanainchi, vizuri sana comfortably na kwa Uhakika zaidi, with completely no pressure or deconstructive criticism from any party
🐒


Licha ya kukumbwa na ukata mkubwa wa kifedha, hali ya kukata tamaa, kukosekana dira, mipango, uelekeo na viongozi wasioeleweka na kukubalika kwa wananchi, bado jukumu la kuiwajibisha serikali ni lao, hawapaswi kulitoroka bali kulifanya ipasavyo. uhuru na haki ya kufanya hivi upo wazi kabisa nchi nzima.
 
Unaongelea Hawa viongozi wetu wa praise and Worship team .. ni weupe kichwani wanawaza kusifu tuu
 
Mpk rais analamika kuwa ubadhirifu wa mali ya umma umekithiri....(watu wanakula mpk wanavimbiwa).
 
Badala ya kua wakosoaji wakuuu na wabunifu kimawazo, mipango na mikakati mbadala wa kinacholalamikiwa na wanainchi, wao sasa ndio wamekua sehemu ya walalamikaji mahiri na hodari, na sasa wamepoteana na Kupoteza uelekeo kabisa mazima...
🐒


Hayati Edward N. Lowasa, aliwahi kusema, na nukuu "haiwezekani katika nchi kiongozi analalamika na mwananchi analalamika"

Aise viongozi wa kisiasa wamekua hodari kulalamika dah, hadi aibu!

Sifahamu ni wamesahau, wamechoka au wameamua kukimbia na kutelekeza wajibu wao wa msingi kukosoa serikali kwa sera, hoja na mipango mikakati mbadala itakayochochea uwajibikaji, uwazi, utawala bora na wa sheria, uhuru, haki, usawa n.k wa serikali iliyopo madarakani.

Lakini pia wameacha kabisaa kuisimamia serikali kutekeleza ahadi zake kwa wanainchi. Na zaidi sana wameacha hata kueleza dira, mikakati na uelekeo wa sera zao. Na kwenye hili kumekua hakuna chama kikubwa wala kidogo vyote vimekua na uwezo sawa. wamekua tu wakitaja majina ya viongozi hovyo hovyo kwa gubu zao binafsi bila kuzingatia maslahi mapana ya taasisi zao na wanainchi kwa ujumla. Hakuna tena credibility ya viongozi hao mbele ya wafuasi wao, lakini pia hakipo tena cha kuwaaminisha wananchi kwamba ati wanawatetea.
Viongozi wa kisiasa wamekua na sura za kilaghai, kitapeli, lakini pia za kippupet
🐒


Kwasababu ya nia na dhamira njema ya viongozi wa nchi,
kinachofanyika bayana hivi sasa, ni serikali inajisimamia yenyewe, inajikosoa yenyewe, inajitathimini yenyewe, inajisahihisha yenyewe na kujirekebisha yenyewe. Inapokea malalamiko na changamoto kidogo sana, kutoka kwa wanasiasa na wananchi na kushughulika nayo kadiri inavyoona inafaa. Inafanya kazi kwa weledi na uadilifu sana. Na kwasababu inawasikiliza wanainchi, inaaminika na kwakweli ndio maana inachagulika kila uchaguzi.

Hii imesaidia sana serikali kutekeleza majukumu na wajobu wake kwa wanainchi, vizuri sana comfortably na kwa Uhakika zaidi, with completely no pressure or deconstructive criticism from any party
🐒


Licha ya kukumbwa na ukata mkubwa wa kifedha, hali ya kukata tamaa, kukosekana dira, mipango, uelekeo na viongozi wasioeleweka na kukubalika kwa wananchi, bado jukumu la kuiwajibisha serikali ni lao, hawapaswi kulitoroka bali kulifanya ipasavyo. uhuru na haki ya kufanya hivi upo wazi kabisa nchi nzima.
Huyo ngedere kwenye Kila thread na comment, ni maelekezo ya mganga?
 
Badala ya kua wakosoaji wakuuu na wabunifu kimawazo, mipango na mikakati mbadala wa kinacholalamikiwa na wanainchi, wao sasa ndio wamekua sehemu ya walalamikaji mahiri na hodari, na sasa wamepoteana na Kupoteza uelekeo kabisa mazima...
🐒


Hayati Edward N. Lowasa, aliwahi kusema, na nukuu "haiwezekani katika nchi kiongozi analalamika na mwananchi analalamika"

Aise viongozi wa kisiasa wamekua hodari kulalamika dah, hadi aibu!

Sifahamu ni wamesahau, wamechoka au wameamua kukimbia na kutelekeza wajibu wao wa msingi kukosoa serikali kwa sera, hoja na mipango mikakati mbadala itakayochochea uwajibikaji, uwazi, utawala bora na wa sheria, uhuru, haki, usawa n.k wa serikali iliyopo madarakani.

Lakini pia wameacha kabisaa kuisimamia serikali kutekeleza ahadi zake kwa wanainchi. Na zaidi sana wameacha hata kueleza dira, mikakati na uelekeo wa sera zao. Na kwenye hili kumekua hakuna chama kikubwa wala kidogo vyote vimekua na uwezo sawa. wamekua tu wakitaja majina ya viongozi hovyo hovyo kwa gubu zao binafsi bila kuzingatia maslahi mapana ya taasisi zao na wanainchi kwa ujumla. Hakuna tena credibility ya viongozi hao mbele ya wafuasi wao, lakini pia hakipo tena cha kuwaaminisha wananchi kwamba ati wanawatetea.
Viongozi wa kisiasa wamekua na sura za kilaghai, kitapeli, lakini pia za kippupet
🐒


Kwasababu ya nia na dhamira njema ya viongozi wa nchi,
kinachofanyika bayana hivi sasa, ni serikali inajisimamia yenyewe, inajikosoa yenyewe, inajitathimini yenyewe, inajisahihisha yenyewe na kujirekebisha yenyewe. Inapokea malalamiko na changamoto kidogo sana, kutoka kwa wanasiasa na wananchi na kushughulika nayo kadiri inavyoona inafaa. Inafanya kazi kwa weledi na uadilifu sana. Na kwasababu inawasikiliza wanainchi, inaaminika na kwakweli ndio maana inachagulika kila uchaguzi.

Hii imesaidia sana serikali kutekeleza majukumu na wajobu wake kwa wanainchi, vizuri sana comfortably na kwa Uhakika zaidi, with completely no pressure or deconstructive criticism from any party
🐒


Licha ya kukumbwa na ukata mkubwa wa kifedha, hali ya kukata tamaa, kukosekana dira, mipango, uelekeo na viongozi wasioeleweka na kukubalika kwa wananchi, bado jukumu la kuiwajibisha serikali ni lao, hawapaswi kulitoroka bali kulifanya ipasavyo. uhuru na haki ya kufanya hivi upo wazi kabisa nchi nzima.
Sawa sawa Tla tlah wa Goweko!!wewe unajitahidi kutatua!!?au ndio una kinyongo na baadhi ya kata ambazo zinamkubali yule mtoto was waziri wazamani enzi za mkapa ambaye Hana mke na inasemekana vijana wanampumulia!!!?
 
Sawa sawa Tla tlah wa Goweko!!wewe unajitahidi kutatua!!?au ndio una kinyongo na baadhi ya kata ambazo zinamkubali yule mtoto was waziri wazamani enzi za mkapa ambaye Hana mke na inasemekana vijana wanampumulia!!!?
kiongozi wa wananchi ni kama baba au mama muwajibukaji wa familia...

mambo ni bam bam jimboni tunatatua malalamiko na changamoto za kila mwanainchi ambazo ziko ndani ya uwezo wa kijimbo. hata yale amabayo tulitegemea yafamywe na wakosoaji tunarekebisha wenyewe sasa...

naona wametuliza ball...
 
Tatizo ni kikundi tena kidogo sana katika Jamhuri yetu tukufu kujiona ndio wenye majibu sahihi ya kuingoza Tanzania n sio wengine.
Iwapo mambo yakienda mrama wanageuka popo,kwa kejeli na tambo za kinafiki mara wamepanda mikokoteni kuwahadaa wananchi eti ni wenzao.
Hii nchi ni ya wote hakuna aliye juu ya sheria.
 
Badala ya kua wakosoaji wakuuu na wabunifu kimawazo, mipango na mikakati mbadala wa kinacholalamikiwa na wanainchi, wao sasa ndio wamekua sehemu ya walalamikaji mahiri na hodari, na sasa wamepoteana na Kupoteza uelekeo kabisa mazima...
🐒


Hayati Edward N. Lowasa, aliwahi kusema, na nukuu "haiwezekani katika nchi kiongozi analalamika na mwananchi analalamika"

Aise viongozi wa kisiasa wamekua hodari kulalamika dah, hadi aibu!

Sifahamu ni wamesahau, wamechoka au wameamua kukimbia na kutelekeza wajibu wao wa msingi kukosoa serikali kwa sera, hoja na mipango mikakati mbadala itakayochochea uwajibikaji, uwazi, utawala bora na wa sheria, uhuru, haki, usawa n.k wa serikali iliyopo madarakani.

Lakini pia wameacha kabisaa kuisimamia serikali kutekeleza ahadi zake kwa wanainchi. Na zaidi sana wameacha hata kueleza dira, mikakati na uelekeo wa sera zao. Na kwenye hili kumekua hakuna chama kikubwa wala kidogo vyote vimekua na uwezo sawa. wamekua tu wakitaja majina ya viongozi hovyo hovyo kwa gubu zao binafsi bila kuzingatia maslahi mapana ya taasisi zao na wanainchi kwa ujumla. Hakuna tena credibility ya viongozi hao mbele ya wafuasi wao, lakini pia hakipo tena cha kuwaaminisha wananchi kwamba ati wanawatetea.
Viongozi wa kisiasa wamekua na sura za kilaghai, kitapeli, lakini pia za kippupet
🐒


Kwasababu ya nia na dhamira njema ya viongozi wa nchi,
kinachofanyika bayana hivi sasa, ni serikali inajisimamia yenyewe, inajikosoa yenyewe, inajitathimini yenyewe, inajisahihisha yenyewe na kujirekebisha yenyewe. Inapokea malalamiko na changamoto kidogo sana, kutoka kwa wanasiasa na wananchi na kushughulika nayo kadiri inavyoona inafaa. Inafanya kazi kwa weledi na uadilifu sana. Na kwasababu inawasikiliza wanainchi, inaaminika na kwakweli ndio maana inachagulika kila uchaguzi.

Hii imesaidia sana serikali kutekeleza majukumu na wajobu wake kwa wanainchi, vizuri sana comfortably na kwa Uhakika zaidi, with completely no pressure or deconstructive criticism from any party
🐒


Licha ya kukumbwa na ukata mkubwa wa kifedha, hali ya kukata tamaa, kukosekana dira, mipango, uelekeo na viongozi wasioeleweka na kukubalika kwa wananchi, bado jukumu la kuiwajibisha serikali ni lao, hawapaswi kulitoroka bali kulifanya ipasavyo. uhuru na haki ya kufanya hivi upo wazi kabisa nchi nzima.
Viongozi wa serikali ni wepi ni viongozi wa kisiasa ni wepi nisaidie mkuu!
 
Viongozi wa serikali ni wepi ni viongozi wa kisiasa ni wepi nisaidie mkuu!
mtu yeyote amabae ni active kwenye siasa za vyama na amaba anakusudia kuchaguliwa kwenye uchaguzi na kupata au kukosa mamalaka kupitia vyama vya siasa, huyo ni kiongozi wa kisiasa...

viongozi wa serikali ni watumishi wa umma na wanawajibika kwa umma...
 
Tatizo ni kikundi tena kidogo sana katika Jamhuri yetu tukufu kujiona ndio wenye majibu sahihi ya kuingoza Tanzania n sio wengine.
Iwapo mambo yakienda mrama wanageuka popo,kwa kejeli na tambo za kinafiki mara wamepanda mikokoteni kuwahadaa wananchi eti ni wenzao.
Hii nchi ni ya wote hakuna aliye juu ya sheria.
kila chama cha siasa kina haki na wajibu wa kujipanga, kujipamabanua, kujinasibu na kujianadaa kwa mipango, sera na mikakati yake ya kuwashawishi na kuwavutia wanainchi wawachague wao kuiongoza Tanzania.

sio kweli kwamba kuna kikundi kidogo kinajiona kina haki zaidi ya wengine kuingoza Tanzania...
mambo ya uongozi ni kujipanga tu...

sio kulalamika tu bila kua na mabadala wa sukuhu ya hayo malalamiko, haitasaidia sana...
sio kuzira au kususa...
 
Huyo ngedere kwenye Kila thread na comment, ni maelekezo ya mganga?
jambo la muhimu sana kama kiongozi wa kisiasa, ni kua mstahimilivu, lakini pia kuepuka mistakes ambazo hazukupi faida ispokua hasara. Mathalani kuzira, kugoma au kususia jambo fulani hasa, kwa maslahi binafsi....

hayo mengine ya ngedere hayana maana usibabaike na unyonge wangu....
 
kila chama cha siasa kina haki na wajibu wa kujipanga, kujipamabanua, kujinasibu na kujianadaa kwa mipango, sera na mikakati yake ya kuwashawishi na kuwavutia wanainchi wawachague wao kuiongoza Tanzania.

sio kweli kwamba kuna kikundi kidogo kinajiona kina haki zaidi ya wengine kuingoza Tanzania...
mambo ya uongozi ni kujipanga tu...

sio kulalamika tu bila kua na mabadala wa sukuhu ya hayo malalamiko, haitasaidia sana...
sio kuzira au kususa...
Weka mambo hadharani sio mambo ya James Bond for your eyes only.Wakija kuukwaa mkenge ndio utawasikia wanahaha,kwanini msiige ustaarabu wa mambo wazi yaani transparency,in the first place?
 
Weka mambo hadharani sio mambo ya James Bond for your eyes only.Wakija kuukwaa mkenge ndio utawasikia wanahaha,kwanini msiige ustaarabu wa mambo wazi yaani transparency,in the first place?
ushauri wako imezingatiwa japo transparency ndiyo hasa sura ya vyama vya siasa, hususan ccm na serikali yake...

mambo yanafanyika hadharani mchana kweupe. Penye mafanikio mambo yanawekwa wazi , penye mapungufu, dosari na kasoro panawekwa wazi vile vile. Na kisha wahusika kwenye uzembe maeneo mabalimbali wanawajibishwa kwa haki na uwazi...

vyama vyenye serikali visivyo na transparency huwezi ona mambo haya hadharani...
 
Back
Top Bottom