Hili la Wabunge 50 kutoka Zanzibar yenye wapiga kura wasiozidi laki tano, wakati Temeke wapiga kura 1.5M Wabunge 6 limewaliza Watanzania

Hili la Wabunge 50 kutoka Zanzibar yenye wapiga kura wasiozidi laki tano, wakati Temeke wapiga kura 1.5M Wabunge 6 limewaliza Watanzania

Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
 
Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
Kabisa, kuna watu wanakurupuka tu kuandika hata hawatumii akili kidogo
 
Kwahiyo Tundu anataka Temeke iongezwe 'majimbo' au sivyo?
 
Zanzibar inatakiwa iongozwe na mwenyekiti wa mtaa tu hamna haja ya kuwa na Rais, mawaziri wala mbunge ukipiga filimbi nchi nzima wanakuskia
🤣🤣🤣 dogo pimbi kweli wewe
 
Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
Kaka kama huoni shida basi jipige kifuani useme mimi shule yangu ni ya kudesa. Kama hauoni shida katika muktadha wa kiuchumi basi una political syndrome unatazama mambo kisiasa. Acha kulitazama kisiasa litazame kiuchumi.
 
Kaka kama huoni shida basi jipige kifuani useme mimi shule yangu ni ya kudesa. Kama hauoni shida katika muktadha wa kiuchumi basi una political syndrome unatazama mambo kisiasa. Acha kulitazama kisiasa litazame kiuchumi.
Muungano wa aina hii haufai, haufai, haufai.
Mtanganyika yeyote mwenye madaraka anayesapoti aina hii ya muungano basi siku Tanganyika ikirudi hastahili kushika nafasi yeyote ya madaraka hata nafasi ya mtendaji wa mtaa Tanganyika.
 
Kaka kama huoni shida basi jipige kifuani useme mimi shule yangu ni ya kudesa. Kama hauoni shida katika muktadha wa kiuchumi basi una political syndrome unatazama mambo kisiasa. Acha kulitazama kisiasa litazame kiuchumi.
Hawatazami kihasibu.....wanaangalia vyeo tu hawa.
 
Wakati Watanzania wanaendelea kula Dozi ya Ubongo( Brain Vitamins) kutoka kwa Wakili Nguli na Mpigania haki Mh Makamu Mwenyenyekiti wa Chadema kwenye ziara zake.

Mh Lissu ambaye yuko ziarani ktk harakati zake za Kuendesha Maandamano mikoa yote Tanzania na mikutano ya kisiaaa ametoa Takwimu zilizoacha midomo wazi watanzania.

Hizi ni Takwimu ambazo zilikuwa hazifahamiki kwa wengi.

Kwamba Zanzibar inachangia idadi ya Wabunge wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania takribani 80 wakati ina idadi ndogo ya wapiga kura na ukubwa wa majimbo mdogo sana.

Amesema kuna baadhi ya majimbo yanawapiga kura elfu 7 tu huku Temeke jimbo moja lina wapiga kura zaidi ya Laki nne.

Taarifa hizi zimewaliza watanzania wengi waliokuwa mkutanoni na wengi waliofikiwa na taarifa hizi kupitia mitandao ya kijamii na vyomvo vya habari.

Mh Lissu hoja yake ilikuwa kufafanua namna serikali inayotumia pesa nyingi za walipa kodi kunemeesha baadhi ya watu bila sababu za msingi badala ya kuwaletea maendeleo Watanzania.

Haichukui nafasi ya Mhasibu Mkuu wa Benki kutambua kuwa kimahesabu Kama Nchi tunakula Hasara.

Kwamba Nchi yenye malengo inawezaje kutumia pesa nyingi kiasi hiki ku secure vyeo na anasa wakati ni Nchi maskini inayotegemea mikopo kwa asilimia kubwa?

Kwa nini unasema 50 wakati Lissu kasema 80?
 
Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
Wewe ndio hujui lolote na unaonesha ulivyo mweupe Tume inatumia Sheria kugawa majimbo na Sheria inaeleza Majimbo yatagawanywa kwa kutegemeana na ukubwa wa Ardhi( eneo)
 
Kwahiyo Tundu anataka Temeke iongezwe 'majimbo' au sivyo?
Fikiri sawa sawa. Wewe huoni kuna umuhimu wa marekrbisho? Mfano, koo mbili zimeungana, moja ina ng'ombe 1000 nyingine 10 sasa wakiuzwa ng'ombe 100 wagawane sawasawa? Ni lazima muundo wa muungano urekebishwe kuwe na serikali 3 kuondoa huu upuuzi, period!
 
Back
Top Bottom