matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kabisa, kuna watu wanakurupuka tu kuandika hata hawatumii akili kidogoHapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
🤣🤣🤣 dogo pimbi kweli weweZanzibar inatakiwa iongozwe na mwenyekiti wa mtaa tu hamna haja ya kuwa na Rais, mawaziri wala mbunge ukipiga filimbi nchi nzima wanakuskia
Kaka kama huoni shida basi jipige kifuani useme mimi shule yangu ni ya kudesa. Kama hauoni shida katika muktadha wa kiuchumi basi una political syndrome unatazama mambo kisiasa. Acha kulitazama kisiasa litazame kiuchumi.Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
Inaliwa na wenye meno yaliyochongokaNchi inaliwa na wenye meno na kujengwa na wenye moyo.
Acha tuendelee kulipa tozo
Muungano wa aina hii haufai, haufai, haufai.Kaka kama huoni shida basi jipige kifuani useme mimi shule yangu ni ya kudesa. Kama hauoni shida katika muktadha wa kiuchumi basi una political syndrome unatazama mambo kisiasa. Acha kulitazama kisiasa litazame kiuchumi.
Watanganyika wengi ni mbumbumbu katika masuala ya muungano wewe ni mmoja wa hao mbumbumbu munaifananisha Zanzibar na temeke poleni sana WatanganyikaYaani ni huzuni, Zanzibar ilitakiwa itoe wabunge watano tu
Mimi bado najua faida za muungano endapo uadilifu ukifatwaNaona Muungano umepitwa na wakati. Urusi iliachia nchi na sasa inapigana na NATO na inawapiga
Hata mimi nafikiri ni hivyo kama kweli tunajali matumizi ya fedha za umma.Yaani ni huzuni, Zanzibar ilitakiwa itoe wabunge watano tu
HahahaInaliwa na wenye meno yaliyochongoka
Hawatazami kihasibu.....wanaangalia vyeo tu hawa.Kaka kama huoni shida basi jipige kifuani useme mimi shule yangu ni ya kudesa. Kama hauoni shida katika muktadha wa kiuchumi basi una political syndrome unatazama mambo kisiasa. Acha kulitazama kisiasa litazame kiuchumi.
Wakati Watanzania wanaendelea kula Dozi ya Ubongo( Brain Vitamins) kutoka kwa Wakili Nguli na Mpigania haki Mh Makamu Mwenyenyekiti wa Chadema kwenye ziara zake.
Mh Lissu ambaye yuko ziarani ktk harakati zake za Kuendesha Maandamano mikoa yote Tanzania na mikutano ya kisiaaa ametoa Takwimu zilizoacha midomo wazi watanzania.
Hizi ni Takwimu ambazo zilikuwa hazifahamiki kwa wengi.
Kwamba Zanzibar inachangia idadi ya Wabunge wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania takribani 80 wakati ina idadi ndogo ya wapiga kura na ukubwa wa majimbo mdogo sana.
Amesema kuna baadhi ya majimbo yanawapiga kura elfu 7 tu huku Temeke jimbo moja lina wapiga kura zaidi ya Laki nne.
Taarifa hizi zimewaliza watanzania wengi waliokuwa mkutanoni na wengi waliofikiwa na taarifa hizi kupitia mitandao ya kijamii na vyomvo vya habari.
Mh Lissu hoja yake ilikuwa kufafanua namna serikali inayotumia pesa nyingi za walipa kodi kunemeesha baadhi ya watu bila sababu za msingi badala ya kuwaletea maendeleo Watanzania.
Haichukui nafasi ya Mhasibu Mkuu wa Benki kutambua kuwa kimahesabu Kama Nchi tunakula Hasara.
Kwamba Nchi yenye malengo inawezaje kutumia pesa nyingi kiasi hiki ku secure vyeo na anasa wakati ni Nchi maskini inayotegemea mikopo kwa asilimia kubwa?
Wewe ndio hujui lolote na unaonesha ulivyo mweupe Tume inatumia Sheria kugawa majimbo na Sheria inaeleza Majimbo yatagawanywa kwa kutegemeana na ukubwa wa Ardhi( eneo)Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
Wa kuchaguliwa majimbo......wengine wanaongezeka kwa teuzi kutoka baraza la wawakilishi n.kKwa nini unasema 50 wakati Lissu kasema 80?
Fikiri sawa sawa. Wewe huoni kuna umuhimu wa marekrbisho? Mfano, koo mbili zimeungana, moja ina ng'ombe 1000 nyingine 10 sasa wakiuzwa ng'ombe 100 wagawane sawasawa? Ni lazima muundo wa muungano urekebishwe kuwe na serikali 3 kuondoa huu upuuzi, period!Kwahiyo Tundu anataka Temeke iongezwe 'majimbo' au sivyo?
Mpaka dakika hii nalia!Nimelia sana