Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Status
Not open for further replies.
Ukweli mtupu
 
Namnukuu Mbowe

''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''

Mbowe.,
1.Magu aliajiri?
2.Biashara zilizoathirika ni za wachaga tu?
3.Kipindi wachaga wamejaa nafasi nyeti mlifanya nini ili na wenzenu wapate ama ilikua ni nyie tu ndio mliona mnastahili kula keki ya Taifa?
 
Reactions: mmh
Korona fundi. Imetuondolea karaha moja mbaya sana.
 
Namnukuu Mbowe

''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''

Ndugu mm nimeitafuta hiyo video you tube lkn sijaiyona. Samahani naomba uitupie humu Jamii forum Ili tuiyone ndo tutoe mawazo yetu.
 
CHAgga DEvelopment MAnifesto-CHADEMA
I love this na mimi ndo kiongozi wao mtarajiwa wait and see yani Manyara, Arusha na Kilimanjaro zinakuwa nchi alafu sasa tutatumia bandali ya Mombasa au ngoja nimalizie michakato yangu
 
Mbowe unayesema kuwa na kusema wakati wa huyo shujaa feki wenu ni Mbowe yupi? Umesahau alisimama mbele yake akamwambia huyo marehemu wenu?? Anaoza saa hizi
 
Kuna kabila lina ukabila kama wachaga, ilikuwaje wachaga walijazana sana kwenye ajira za baadhi ya mashirika kama TRA......hii ndo inaitwa mkuki kwa nguruwe....kuna mtu alileta hoja hapa wachaga kujazana CRDB wakaja na utetezi kuwa wao ndo wamesoma kozi za uhasibu sijui na biashara
 
Reactions: mmh
I love this na mimi ndo kiongozi wao mtarajiwa wait and see yani Manyara, Arusha na Kilimanjaro zinakuwa nchi alafu sasa tutatumia bandali ya Mombasa au ngoja nimalizie michakato yangu
Mtaota hadi siku mnaingia Kaburini
Na vile mnaongea wazi mtajua hamjui
 
Mbowe unayesema kuwa na kusema wakati wa huyo shujaa feki wenu ni Mbowe yupi? Umesahau alisimama mbele yake akamwambia huyo marehemu wenu?? Anaoza saa hizi
Sielewi hata unachoandika!Punguza hasira andika upya kama msomi. Tukio gani linampa ushujaa?
Naona jina la Mshana, ni mpare? Unafahamu mbele ya mchaga kama Mbowe wewe ni taka? Yes, taka! Hiyo tabia ya wachaga kiundani, acaha hizo hotuba za kukupa furaha.
 
Hahahaha huwezi kunielewa wala hustahili hata kujibiwa na Mimi kitu; basi tu! Nimejitahidi sana
 
Huyu ni zero brain.

Utashangaa ana wafuasi kweye chama chake alichopewa kama zawadi ya birthday na baba mkwe wake mzee Mtei.

Chadema ni birthday present ya Mtei kwa Mbowe. Ni chama cha wachaga.

Chadema-chagga development manifesto.
Aisee huyu Mbowe ni hatari kwa kweli...what is he smoking?!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…