Hili la walimu kuchangishwa michango ya Mbio za Mwenge kwa lazima likomeshwe

Hili la walimu kuchangishwa michango ya Mbio za Mwenge kwa lazima likomeshwe

Mkurugenzi wa Halmshauri ya Ifakara ameandikia Barua Walimu wa shule kutaka walipe mchango wa kufanikisha shughuli za Mwenge. TAMISEMI mmeagiza Halmshauri kufanya hivi? Huo Mwenge hauna bajeti? Mbona hamna huruma na walimu nchi hii? Barua hii ibatilishwe, fedha zirudishwe kwa walimu.
Kuna genge linajiita Bunge linajilipwa mshahara wa Mwalimu kwa kila mshiriki kwa siku, linaona haya yote lakini halisemi kitu huu ni ukandamizaji wa wwzi kabisa
 
Na hii sio tuu ifakara, Gairo huko DMO anawalazimisha watumishi wa Afya kutoa mchango wa Mwenge, Morogoro DC Mkurugenzi anawalazimisha walimu kutoa michango ya Mwenge na hii inaonekana ni maeneo mengi nchini na sio mwaka huu tu, kila mwaka wakati wa mbio za Mwenge walimu na watumishi wa Umma walio chini ya TAMISEMI wanachangishwa fedha.
Mbali na mchango kuna kukesha kwa lazima na huo moto wakiushangilia usiku kucha aliyeondoka na akili zetu sijui ni nani
 
Suala hili linakela kwakwel I halafu watatokea watu Fulani kuwalazimisha WATUMISHI kununua sale za mwenge dah kama ni hivyo basi bajeti ya mwenge isiwepo wapeleke fedha hizo ikawanunulie dawa bibi zetu huko vijijini.
 
Kwamba mkuu hili hilijui kwamba lipo miaka na miaka..

Tumeshasema sana hapa . TUKACHOKA .
 
Wilaya ya RUFIJI limetoka agizo kuchangia kiwango ni 15000, wakuu wa idara 60000,
Ni kwa Kila mtumishi sio walimu tu!
Huu ni uonevu lkn nani atamfunga paka kengele
 
Bwana nondo inaonekana ujui Mambo next time ukikutana na kitu Cha hivyo Anza kufanya utafiti kwanza usikurupuke kuandika mitandaoni, bajeti ya kukimbiza mwenge katika halmashauri inapagwa na halmashauri serikali kuu haichangii chochote so ni mapato ya ndani katikati halmashauri ni mikakati yenu halmashauri so walimu kuambiwa wachangie si jambo Baya ubaya ni njia iliyotumika kuomba huo mchango walimu wangepewa somoo wakaelewa kwanini wanachangishwa nadhani kusingekuwa na taharuki kiasi hiki, ubaya viongozi uko juu kujiona Wana akili na kuja na mawazo ambayo yanaleta sitofahamu Kama hivi,
 
Bwana nondo inaonekana ujui Mambo next time ukikutana na kitu Cha hivyo Anza kufanya utafiti kwanza usikurupuke kuandika mitandaoni, bajeti ya kukimbiza mwenge katika halmashauri inapagwa na halmashauri serikali kuu haichangii chochote so ni mapato ya ndani katikati halmashauri ni mikakati yenu halmashauri so walimu kuambiwa wachangie si jambo Baya ubaya ni njia iliyotumika kuomba huo mchango walimu wangepewa somoo wakaelewa kwanini wanachangishwa nadhani kusingekuwa na taharuki kiasi hiki, ubaya viongozi uko juu kujiona Wana akili na kuja na mawazo ambayo yanaleta sitofahamu Kama hivi,
Yaani vyanzo vyoooooote vya mapato na kodi ambazo watumishi wanakatwa kila mwezi havitoshi mpaka wakamnyang'anye mtumishi hata kile kidogo alichopokea?

Mwenge wenyewe ni KERO,MNAONGEZA KERO YA KUWACHANGISHA WATU,KERO INAZAA KUKERANA.
 
Yaani vyanzo vyoooooote vya mapato na kodi ambazo watumishi wanakatwa kila mwezi havitoshi mpaka wakamnyang'anye mtumishi hata kile kidogo alichopokea?

Mwenge wenyewe ni KERO,MNAONGEZA KERO YA KUWACHINGISHA WATU,KERO INAZAA KUKERANA.
Ni ngumu kuelewa ukiwa nje ya maanunuzi na uongozi Ila ukiwa kwenye uongozi, ungejuw kwanini wakurugenzi wanachangisha walimu.
 
Ni ngumu kuelewa ukiwa nje ya maanunuzi na uongozi Ila ukiwa kwenye uongozi, ungejuw kwanini wakurugenzi wanachangisha walimu.
Km ni mzigo kwa nini wasikae nao maofisini kwao huko ili watakao hitaji kuushangaa wakachangie?

Nadhani kuna haja ya mtu km HAMZA YULE ALIYEFANYA YAKE PALE UBALOZI WA UFARANSA AMA YULE JAMAA WA TUNISIA ALIYE JIKOKA MOTO MBELE YA OFISI YA SERIKALI KUTOKEA TENA KTK HILI JAMBO HAPA TANZANIA,HUENDA UJUMBE UKAPOKELEWA NA UNYANYASAJI HUU KUKOMA.
 
Hapo uliposoma ni "HIYARI" si "LAZIMA" ni mtego kwa mtumishi wa umma.Kama wewe si mtumishi wa umma huwezi elewa.
Hakuna kitu kama hiko, mimi mtumishi wa serikali na sijawahi toa mchango wa mwebge labda mwaka huu nitatoa kwa kumuheshimu na kumuunga mkono DC wetu kwani ni very humble person na sio kuogopa vitisho.
 
Km ni mzigo kwa nini wasikae nao maofisini kwao huko ili watakao hitaji kuushangaa wakachangie?

Nadhani kuna haja ya mtu km HAMZA YULE ALIYEFANYA YAKE PALE UBALOZI WA UFARANSA AMA YULE JAMAA WA TUNISIA ALIYE JIKOKA MOTO MBELE YA OFISI YA SERIKALI KUTOKEA TENA KTK HILI JAMBO HAPA TANZANIA,HUENDA UJUMBE UKAPOKELEWA NA UNYANYASAJI HUU KUKOMA.
Kama jina lako tu halisi umelificha hayo maamuzi ya Hamza shekhe utayaweza
 
N
Hakuna kitu kama hiko, mimi mtumishi wa serikali na sijawahi toa mchango wa mwebge labda mwaka huu nitatoa kwa kumuheshimu na kumuunga mkono DC wetu kwani ni very humble person na sio kuogopa vitisho.
Na mimi hii ndo principle yangu,nasubiri wakuja kunilazimisha aone matokeo yake.
 
Matumizi ya amri ya michango yanaanzia mbali hebu tizama barua hiyo hapo na walioshindwa kuchanga awamu ile ya majambazi waliundiwa mizengwe ya kutosha hadi kupewa kesi za uhujumu uchumi.

Eti mtu aandae sherehe ya kutimiza miezi 6 ofisini halafu watu ndio wamchangie.

Kale kajambazi ni haki yake kuendelea kuwepo huko kalipo.
IMG_20210524_150421.jpg
 
Back
Top Bottom