Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Mange na makamba na mwamvita ni timu ya kufa na kuzikana


Mange hajawahi kumtukana makamba

Akili ndogo nyie
Unazungumza conspiracies yani vitu visivyokuwa na ushahidi. Kwa hiyo Mange alianza kumtukana January enzi za Kikwete akiwa hata hajajua kama JPM atakuwa rais wala Samia atakuwa rais ili aje amtumie baada ya Samia kuwa rais kumtukana samia na watu wasijue?
Enzi mange anamtukana January, ilikuwa ni enzi za JK ambapo january alikuwa ni mtu ambaye hajapitia matatizo na ikiaminika kuwa anaweza kuja kuwa rais.
Mnatafuta mtu wa kumuuzia kesi lakini hakuna connection. Bidada amekuwa akitukana toka enzi hizo na hulka na tabia yake. JK na serikali yake hawakuhangaika naye ndio maana haikuwa big deal. Serikali ya JK haikuwa na tabia ya kutolea matamko issue kama hizi za Mange. Wao walikuwa wadeal na akina Slaa ndio maana yalikuwa yanaishia tu huko huko.
 
Mange na makamba na mwamvita ni timu ya kufa na kuzikana


Mange hajawahi kumtukana makamba

Akili ndogo nyie
Umeanza kufuatilia haya mambo juzi huenda awamu hii au iliyopita au una kumbukumbu ndogo. Hakuna mtu amemtukana January kama Mange hasa kipindi cha Kikwete hasa baada ya kupitisha sheria mpya ay vyombo vya habari kabla ya uchaguzi. Kumbukumbu zenu fupi sana aisee.
 
Wewe elewa kuwa mange,mwamvita na uyo ndugu makamba ni pete na kidole

Na ndio waliomshawishi aje agomgee ubunge


Umeanza kufuatilia haya mambo juzi huenda awamu hii au iliyopita au una kumbukumbu ndogo. Hakuna mtu amemtukana January kama Mange hasa kipindi cha Kikwete hasa baada ya kupitisha sheria mpya ay vyombo vya habari kabla ya uchaguzi. Kumbukumbu zenu fupi sana aisee.
 
Wewe elewa kuwa mange,mwamvita na uyo ndugu makamba ni pete na kidole

Na ndio waliomshawishi aje agomgee ubunge
Yani una lazimisha kitu ambacho hata ushahidi huna na hata connection haipo. Inakufurahisha kutengeneza conspiracy amabyo haina supporting evidence. Kwanza umebisha kuwa hajawahi mtukana. Nikakukumbusha huenda si ajabu ulikuwa bado hujajua mitandao hukuwa unajua... Ungesema labda anamtuma amtukane mwigulu at least ingemake sense maana walau wanaweza kuja wote kuchukua form za urais 2030 lakini si Mama Samia maana hawezi shindana naye awamu hii ushaambiwa anayechukua fomu ni mmoja lazima amalize awamu zake.
 
Watu wanawaza 2025 wewe unawaza 2030 we ni eidha ni mjinga au ndio nyie proxy wa February mnatetea mkate wenu
Yani una lazimisha kitu ambacho hata ushahidi huna na hata connection haipo. Inakufurahisha kutengeneza conspiracy amabyo haina supporting evidence. Kwanza umebisha kuwa hajawahi mtukana. Nikakukumbusha huenda si ajabu ulikuwa bado hujajua mitandao hukuwa unajua... Ungesema labda anamtuma amtukane mwigulu at least ingemake sense maana walau wanaweza kuja wote kuchukua form za urais 2030 lakini si Mama Samia maana hawezi shindana naye awamu hii ushaambiwa anayechukua fomu ni mmoja lazima amalize awamu zake.
 
Watu wanawaza 2025 wewe unawaza 2030 we ni eidha ni mjinga au ndio nyie proxy wa February mnatetea mkate wenu
Wewe ndiye mjinga wa mwisho. Ni mjinga anayeweza kudhani hii mieizi iliyobaki kuna atakaye mpindua samia apeperushe bendera ya CCM. Ndiyo maana nakwambia unaongea conspiracy. January sio mjinga awaze anaweza kuwa rais kabla ya huyu mama kumaliza awamu zake, hata mwigulu hawezi waza hilo. Hizo ni fikra zako wewe mwenyewe na hao watu wako mnajaribu connect dots ambazo hata ushahidi hamna.
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Uhuru wa kutukana mtu haupo ,kwavyovyote vile hata sisi tusio ipenda ccm haiwezi kuwa jambo zuri kutukanwa na kumdharirisha mwanamke tena rais wa nchi vile .

Na mbo haya hayajaanza leo kama mnakumbuka kipindi cha uchaguzi mkuu 2015 kulivulumishwa matusi makubwa dhiidi ya Lowassa kutoka kambi ya vijana wa ccm na serikali na polisi kunyamazia.

Kama nchi ichukue hatua ya kuwekeza katika maadili ya watoto,vijana na taifa kwa ujumla
 
January ana sababu gani ya kumlipa amtukane mtu ambaye amemrudisha kwenye uongozi? Mange mwenyewe amemtukana sana January enzi za JK hadi urafiki wa Mwamvita na huyo dada ukafa.

Toa sababu moja inayokufanya ufikirie january anaweza kuwa ndiye anamtuma afanye hivyo.

Sioni sababu kwa sababu inaelekea hana shida na maza na maza ni mtu wa karibu wa January na Mzee wake kiasi kwamba miezi miwili nyuma alienda kwa Mzee Makamba wazo hapo kumtembelea na hii inaonyesha jinsi gani walivyo karibu.
Hapo January anaingia kwa sababu ni Waziri wa mambo ya nje.
 
Alitukanwa na kuchwapa vikoko Yesu kristo sembuse SAMIA ? Hii nchi ina idadi kubwa sana ya wapumbavu.

Ndio maana Nelson Mandela alisema "ni vema viongozi wajao wa Afrika kuwa na akili na uthubutu,kuliko wao walio pigania uhuru"
Wapumbavu ni wale ambao wanatakiwa kwenda mbele wao wanarudi nyuma na wanaotakiwa kurudi nyuma wanakwenda mbele.
 
Wao, wametudhalilisha kwa, kutufanya maskini kwa, kuibq pesa zetu, kwanini tusiwatukane?
Kuwatukana hakuwasaidii kitu. Amueni kuingia mtaani au kugoma. Unapomtukana mtu ni wewe unayejidhalilisha. Na matusi hayaui. Fanyieni kazi hoja.
 
Watu wanawaza 2025

Acha kuwa mjinga
Wewe ndiye mjinga wa mwisho. Ni mjinga anayeweza kudhani hii mieizi iliyobaki kuna atakaye mpindua samia apeperushe bendera ya CCM. Ndiyo maana nakwambia unaongea conspiracy. January sio mjinga awaze anaweza kuwa rais kabla ya huyu mama kumaliza awamu zake, hata mwigulu hawezi waza hilo. Hizo ni fikra zako wewe mwenyewe na hao watu wako mnajaribu connect dots ambazo hata ushahidi hamna.
 
Watu wanawaza 2025

Acha kuwa mjinga
Mjinga ni wewe ambaye unadhani kuna mjinga yeyote ambaye ni mteule wa Samia anaweza kudhubutu kuchukua fomu kumchallenge wakati akijua fika lazima Samia amalize vipindi viwili. Hizo ni fikra zako mwenyewe na fomu washasema inatoka moja.
 
Mkali kwa lipi? Soma mtililiko wangu. Nimesema huyu mtu wanayesema katumwa na January ameanza kutukana toka enzi za JK, tena alimtukana sana huyo January, ikaja enzi za JPM alianza anamsifu baadaye akaanza mtukana, same to Samia. Sasa kwanini wasema anatumwa na January...
Anatumiwa na wanasiasa hao hao.
 
Anatumiwa na wanasiasa hao hao.
So, wakati anamtukana Lowassa alikuwa anatumwa na CCM. Inawezekana maana aliwahi kusema alipoanza kuigeuka serikali ya JPM Nape alimtafuta na kumuuliza shida ni nini au anataka nini aendelee kuwaunga mkono, wakati huo bado nape alikuwa hajatumbuliwa na JPM, bado hawajapishana.
 
Back
Top Bottom