OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huu ni unyonyaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo ya pesa hayana umuhimu sana kama wachezaji hawalalamiki wanajaza makombe tu kabatini na wanamchinja mnyama Simba! hela ziende tu huko GSM burudani na raha ndo tubaki navyo mashabiki.Ikija misukule itaanza kukutukana matusi na kuanza kutaja makombe yao
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
mambo ya pesa hayana umuhimu sana kama wachezaji hawalalamiki wanajaza makombe tu kabatini na wanamchinja mnyama Simba! hela ziende tu huko GSM burudani na raha ndo tubaki navyo mashabiki...
Ngoja tuone kama atakupa Jibu. Maana hata iyo taarifa ya uzi ametoka kuiokota Twitter [emoji23]Hiyo nyingine inakwenda wapi ?
Ova
Hiyo nyingine inakwenda wapi ?
Ova
Mkuu binafsi sitaki kuingilia suala la mauzo ya jezi hilo ni makubaliano yao tu. Lakini napinga kuwa GSM anaweza kuwa ndo anapoteza.Nina waonea huruma zaidi GSM:-
Wanalipa Mishahara...
HaweziNgoja tuone kama atakupa Jibu. Maana hata iyo taarifa ya uzi ametoka kuiokota Twitter [emoji23]
Fanya analysis ya kina tujue ni kwanini kuna unyonyaji. Kama kuna malipo nje ya hiyo hela ianayoenda Yanga unayahesabu vipi?View attachment 2281734
Huu ni unyonyaji
Kwahivyo wewe fikra zako unadhani anayepaswa kujibu ni mtoa mada na si viongozi wa Yanga
Ngoja tuone kama atakupa Jibu. Maana hata iyo taarifa ya uzi ametoka kuiokota Twitter [emoji23]
Yanga hana cha kupoteza ikiwa wanachama na washabiki wenyewe hata kutoa buku kuichangia timu yao wanaona jambo la hatari kwao. Waacheni wawekezaji wafanye kazi zao,kama makombe yapo na furaha imerejea poa tu.Nina waonea huruma zaidi GSM:-
Wanalipa Mishahara.
Wanalipa ada za usajili.
Wanasimamia shughuli za uendeshaji wa klabu ya yanga sc bila malipo yeyote.
Nadhani mwisho wa siku tukipiga hesabu utakuta GSM amepoteza zaidi kuliko YANGA