Ukishaona mtu anaanza kuhesabu garama za kitu ambacho hajakichangia na waka hajui uzalishaji wake ni shilingi ngapi huyo kashavuka kwenye level ya unaskini ni mchawi bingwa.
Wewe unashani hiyo 35,000 wanayouza ni faida tupu, kumbuka na wao wamenunua kwa mzalishaji ili nao wapate faida wagawane na timu.
Kumbuka kati ya jezi walizonunua kuna zinazokula faida karibia zote kwa kuto kuuzika kama zile wachezaji wa azogawa bure kwenye mechi
Tambua hizi jezi wanaopata faida ni wale wazaliji wa jezi feki zenye low quality ambao ndio nyingi zipo mitaani na zimekuwa zikishindana na original