Hili la Yanga SC kuanzia nyumbani kila mwaka kwenye CAF Champions League ni uonevu

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mimi kama mwanayanga kindakindaki naumia kwa kweli kwa nini kila msimu ni sisi tu ndio tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini?

Mbona wenzetu Simba wanapendelewa? Sisi ndio mabingwa wa nchi hii iweje tuanzie nyumbani? Timu kubwa zote zimeanzia ugenini kwa nini sisi tu? [emoji25][emoji25]



 
Ki africa Al hilal ni kubwa kuliko Yangaa !! Mimi ni mwananchi lakini hapo sawa tu ! Tutawapiga watatoka

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Karia atakuwa anahusika masta...tumpe lawama zake🤣🤣
 
Simba mnatabu sisi tunaanza na huyo na tuna malizia tarehe 23 na piga mbae wako na kumalizia Sudan na wewe.
 
Mbona mnalialia kwani nyie mmejipangaje......
Au nd mnabuku tu!!!
 
Your browser is not able to display this video.
 
Shukrani huleta maongezeko. Manung'uniko yatatuletea mikosi.
Mkuu acha timu ijipange, malalamiko tupo kuleee!
 
Hivi hujionei aibu mwanaume mzima wanaYanga wametulia unakuja hapa unajifanya mwanaYanga ili mradi tu watukanwe. Nyie jamaa ndio maana huwa mnapenda kujiliza liza sana mnatafuta tu sababu ili mradi kuonesha Umbumbumbu.

Aya tushajua we Mbumbumbu
Wacha kumshambulia kwa mawe mwa Yanga mwenzako
 
Sisi kama wana Yanga inatubidi tuende tukawashitaki CAF kwa mama...na ikishindikana kwa mama tutakwenda FIFA moja kwa moja...
 
Yanga mwaka huu tumepewa vibonde angalia Timu za Nigeria huko zote wamepewa Wydady na ndugu zake hao Wasudani wa kawaida sana sema wana fitina za waarabu weusi inachotakiwa mechi ya nyumbani kushinda goli nyingi...
 
Kuanzia home hakuna ubaya..

Na hakuna guarantee kua ukianzia home ndio lazima utoke.

Jwaneng galaxy alianzia home akamtoa Simba.

Kaizer chief alianzia nyumbani akamtoa simba..

UD SONGO alianzia nyumbani akamtoa simba..

Tuwe na subira Makolo,Muda ni mwalimu mzuri sana maana hata Pre season ya Yanga mliiponda Lakini mwisho wa siku ikawa hivi.

[emoji116]
 
Uchambuzi makini
Your browser is not able to display this video.
 
Wa upande wa kushoto wpte hapo wanatoka. Amini kwamba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi nyie jamaa mbona mna u kike sana tangu jana mnakuja na threads za kijinga jinga issue ya Yanga kwenda first round imewauma sana hakuna mwana Yanga yoyote alie lalamika kuanzia nyumbani sasa hivi mmegeuka kuwa wana Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…