ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hakuna timu kubwa ime anzia hatua za awaliTimu kubwa zinaheshima yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna timu kubwa ime anzia hatua za awaliTimu kubwa zinaheshima yake.
Simba alienda pre season kwasababu ya Caf champions league na sio kwa ajili ya utopolo kenge ww.Kuanzia home hakuna ubaya..
Na hakuna guarantee kua ukianzia home ndio lazima utoke.
Jwaneng galaxy alianzia home akamtoa Simba.
Kaizer chief alianzia nyumbani akamtoa simba..
UD SONGO alianzia nyumbani akamtoa simba..
Tuwe na subira Makolo,Muda ni mwalimu mzuri sana maana hata Pre season ya Yanga mliiponda Lakini mwisho wa siku ikawa hivi.
[emoji116]View attachment 2361862
Muhimu hapa nyumbani asiruhusu kufungwa hata goli moja.Yanga mwaka huu tumepewa vibonde angalia Timu za Nigeria huko zote wamepewa Wydady na ndugu zake hao Wasudani wa kawaida sana sema wana fitina za waarabu weusi inachotakiwa mechi ya nyumbani kushinda goli nyingi...
Haki ujinga ni laana na imekupata vizuriSimba alienda pre season kwasababu ya Caf champions league na sio kwa ajili ya utopolo kenge ww.
Hii sio hoja bali vioja unless uwe haujui maana ya pre season kiufundi.Simba alienda pre season kwasababu ya Caf champions league na sio kwa ajili ya utopolo kenge ww.
Mbumbumbu'sWacha kumshambulia kwa mawe mwa Yanga mwenzako
Unapata faida gani mkuu si ukae huko au kama unatamani kuwa mwananchi ni jambo dogo mkuu. Usisite site karibu chamani upate furaha ya maisha yakoSisi kama wana Yanga inatubidi tuende tukawashitaki CAF kwa mama...na ikishindikana kwa mama tutakwenda FIFA moja kwa moja...
Mkuu hawa jamaa wanazidi kuthitisha umbumbumbu wao. Wenyewe hatuna shobo ila wao sasa kutwa kutuanzishia thread huku wakijifanya wao ndio sisiHivi nyie jamaa mbona mna u kike sana tangu jana mnakuja na threads za kijinga jinga issue ya Yanga kwenda first round imewauma sana hakuna mwana Yanga yoyote alie lalamika kuanzia nyumbani sasa hivi mmegeuka kuwa wana Yanga
Cha kushangaza mkiitwa mbumbumbu, eti mnakasirika!Mimi kama mwanayanga kindakindaki naumia kwa kweli kwa nini kila msimu ni sisi tu ndio tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini?
Mbona wenzetu Simba wanapendelewa? Sisi ndio mabingwa wa nchi hii iweje tuanzie nyumbani? Timu kubwa zote zimeanzia ugenini kwa nini sisi tu? [emoji25][emoji25]
View attachment 2361757
Mtoa mada ameshasahau mechi za juzi yanga kaanzia ugenini kwa zalanKi africa Al hilal ni kubwa kuliko Yangaa !! Mimi ni mwananchi lakini hapo sawa tu ! Tutawapiga watatoka
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Yanga na zalan nani alianzia geto kwake?Mimi kama mwanayanga kindakindaki naumia kwa kweli kwa nini kila msimu ni sisi tu ndio tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini?
Mbona wenzetu Simba wanapendelewa? Sisi ndio mabingwa wa nchi hii iweje tuanzie nyumbani? Timu kubwa zote zimeanzia ugenini kwa nini sisi tu? [emoji25][emoji25]
View attachment 2361757
Niwemkweli huyo jamaa alipata bahasha ya kaki toka GSM, hiyo game toka kipindi cha kwanza alitaka kujipatisha kadi nyekunduKuanzia home hakuna ubaya..
Na hakuna guarantee kua ukianzia home ndio lazima utoke.
Jwaneng galaxy alianzia home akamtoa Simba.
Kaizer chief alianzia nyumbani akamtoa simba..
UD SONGO alianzia nyumbani akamtoa simba..
Tuwe na subira Makolo,Muda ni mwalimu mzuri sana maana hata Pre season ya Yanga mliiponda Lakini mwisho wa siku ikawa hivi.
[emoji116]View attachment 2361862