Hili lilisemwa pale Tunduma: Eti msipowachagua wagombea wa chama changu sintoleta maji

Wewe ni mshenzi Sana! Hela ilikuwa ni ya Mama yake au alitoa mfukoni kwake? Shenzi type!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie huyo takataka ya ccm, tunalipa kodi, yule mwehu aliongea kichizi tu!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kweli wewe ni mtoto wa shule
 
Pole, tatizo ni Afya ya akili sio kosa lako kwamba ukiomba kura unatumia ubaguzi halafu baadae useme maendeleo hayana chama bado uaminike kuwa wewe ni kiongozi unayelifaa taifa. Hongera kwa kutumia kichwa chako vizuri kwa kazi nyepesi ya kubebea nywere.
 
Kwenye hiyo fluid ya ubongo kwako imebadilishwa na mavi
 
Asante Mungu kwa utukufu wako
 
Mungu alikuwa na makusudi yake kutuletea lile shetani kuwa litawala letu, lakini Mungu huyo huyo akaamua ugomvi Bahari imetulia, tumepata mtu anayeongoza kwa kujali utu, bwana APEWE sifa sana AMINA
 
Mkuu kichwa changu nabebea "NYWELE" kwenda shule. Kichwa chako ubabebea "NYWERE"!
 
Lakini si Mungu ameshawafariji ? "Au nasema uongo ndugu zanguuuuu" MUNGU FUNDI
 
Ndiyo maana Mungu aliingilia kati tarehe 17 03 2021
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…