Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Aisee Kisiwaga! Huna huruma kbs!Mwendazake alitakiwa apigwe machine haswa kabla ya kuuliwa kinyama maana sio kwa ukolo ule
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee Kisiwaga! Huna huruma kbs!Mwendazake alitakiwa apigwe machine haswa kabla ya kuuliwa kinyama maana sio kwa ukolo ule
Wewe ni mshenzi Sana! Hela ilikuwa ni ya Mama yake au alitoa mfukoni kwake? Shenzi type!Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Safi Tajiri Kichwa!Yule hakufaa ata kua class monitor
Kuna walioko lindo tena!Subiri wafuasi wake wakitoka lindoni huko kaburini chato waje kukushukia kama mwewe, usikimbie lakini[emoji23][emoji23]
Hao ni malaika wa ajabu Sana km watakubali kuongozwa na yule kiumbe. Mi sikumtaka ni malaika tena!Afadhali amekwenda kuwaongoza malaika wa mchongo huko kwenye mbingu ya mchongo
Mwambie huyo takataka ya ccm, tunalipa kodi, yule mwehu aliongea kichizi tu!Wewe ndio mpumbavu wa mwisho, vyama vya siasa vipo kwa mujibu wa katiba na sheria na kila mtu ana uhuru na haki ya kuchagua mgombea na chama anachokipenda
Serikali kuwapelekea wananchi huduma ni wajibu sio ombi au huruma za mtawala ñdio maanaa kila mtu analipa kodi kuchangia maendeleo ya nchi
Sio lazima kila mtu ajue kwamba wewe ni mpumbavu jaribu kujistiri kilaza wewe
Kweli wewe ni mtoto wa shuleKwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Pole, tatizo ni Afya ya akili sio kosa lako kwamba ukiomba kura unatumia ubaguzi halafu baadae useme maendeleo hayana chama bado uaminike kuwa wewe ni kiongozi unayelifaa taifa. Hongera kwa kutumia kichwa chako vizuri kwa kazi nyepesi ya kubebea nywere.Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Kwenye hiyo fluid ya ubongo kwako imebadilishwa na maviKwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Asante Mungu kwa utukufu wakoHii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania nikiwemo tukivuka na madumu kwenda kudoea maji (kodi za wazambia) upande wa pili mpaka.
Bila aibu kabisa mchana kweupe kiongozi mkuu mgombea uraisi wa ccm bila kujali anavunja katiba ya inchi nakuondoa kabisa matumaini ya walipa kodi wa tunduma kueletewa maji na bila kujali hayo maneno ya aibu yanavuka na kusikika hadi upande wa zambia tunakodoea waji mgombea huyo bwana pombe alitamka kwamba wakazi wa tunduma wasipo chagua ccm hatokuja alete maji kwenye mji manaake bora tuendelee kudoea maji zambia (nakonde) ambako maji safi yapo tangu miaka ya themanini.
Mwendazake Mungu amlipe kadri ya matendo yoke.
Alikuwa ni mgonjwa wa akili, wengi hawakulibaini hilo mapema.Mi nafikiri Alikuwa Sahihi Tu Maana Unapokuwa Kwny Kampeni Hauko Kwa Ajili Kunadi Serikali Bali Nikuki Nadi Chama Chako So Mwendazake Alikuwa Sahihi Tu.
Mungu alikuwa na makusudi yake kutuletea lile shetani kuwa litawala letu, lakini Mungu huyo huyo akaamua ugomvi Bahari imetulia, tumepata mtu anayeongoza kwa kujali utu, bwana APEWE sifa sana AMINAHii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania nikiwemo tukivuka na madumu kwenda kudoea maji (kodi za wazambia) upande wa pili mpaka.
Bila aibu kabisa mchana kweupe kiongozi mkuu mgombea uraisi wa ccm bila kujali anavunja katiba ya inchi nakuondoa kabisa matumaini ya walipa kodi wa tunduma kueletewa maji na bila kujali hayo maneno ya aibu yanavuka na kusikika hadi upande wa zambia tunakodoea waji mgombea huyo bwana pombe alitamka kwamba wakazi wa tunduma wasipo chagua ccm hatokuja alete maji kwenye mji manaake bora tuendelee kudoea maji zambia (nakonde) ambako maji safi yapo tangu miaka ya themanini.
Mwendazake Mungu amlipe kadri ya matendo yoke.
Sawa sawa. Ila zinasomwa na kuchangiwa na maprofesa kama wewe! Ahahahahaha!Hoja za watoto wa shule
Mkuu kichwa changu nabebea "NYWELE" kwenda shule. Kichwa chako ubabebea "NYWERE"!Pole, tatizo ni Afya ya akili sio kosa lako kwamba ukiomba kura unatumia ubaguzi halafu baadae useme maendeleo hayana chama bado uaminike kuwa wewe ni kiongozi unayelifaa taifa. Hongera kwa kutumia kichwa chako vizuri kwa kazi nyepesi ya kubebea nywere.
Umefikiri vibayaMi nafikiri Alikuwa Sahihi Tu Maana Unapokuwa Kwny Kampeni Hauko Kwa Ajili Kunadi Serikali Bali Nikuki Nadi Chama Chako So Mwendazake Alikuwa Sahihi Tu.
Lakini si Mungu ameshawafariji ? "Au nasema uongo ndugu zanguuuuu" MUNGU FUNDIHii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania nikiwemo tukivuka na madumu kwenda kudoea maji (kodi za wazambia) upande wa pili mpaka.
Bila aibu kabisa mchana kweupe kiongozi mkuu mgombea uraisi wa ccm bila kujali anavunja katiba ya inchi nakuondoa kabisa matumaini ya walipa kodi wa tunduma kueletewa maji na bila kujali hayo maneno ya aibu yanavuka na kusikika hadi upande wa zambia tunakodoea waji mgombea huyo bwana pombe alitamka kwamba wakazi wa tunduma wasipo chagua ccm hatokuja alete maji kwenye mji manaake bora tuendelee kudoea maji zambia (nakonde) ambako maji safi yapo tangu miaka ya themanini.
Mwendazake Mungu amlipe kadri ya matendo yoke.
Ndiyo maana Mungu aliingilia kati tarehe 17 03 2021Hii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania nikiwemo tukivuka na madumu kwenda kudoea maji (kodi za wazambia) upande wa pili mpaka.
Bila aibu kabisa mchana kweupe kiongozi mkuu mgombea uraisi wa ccm bila kujali anavunja katiba ya inchi nakuondoa kabisa matumaini ya walipa kodi wa tunduma kueletewa maji na bila kujali hayo maneno ya aibu yanavuka na kusikika hadi upande wa zambia tunakodoea waji mgombea huyo bwana pombe alitamka kwamba wakazi wa tunduma wasipo chagua ccm hatokuja alete maji kwenye mji manaake bora tuendelee kudoea maji zambia (nakonde) ambako maji safi yapo tangu miaka ya themanini.
Mwendazake Mungu amlipe kadri ya matendo yoke.
Ndiyo maana yalimkuta ya kumkuta, asante MunguMi nafikiri Alikuwa Sahihi Tu Maana Unapokuwa Kwny Kampeni Hauko Kwa Ajili Kunadi Serikali Bali Nikuki Nadi Chama Chako So Mwendazake Alikuwa Sahihi Tu.