Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,415
- Thread starter
-
- #141
Ila mna akili za ajabu maana ""alinitafuta anajutia na anataka tupashe kiporo""Hapo ndio utajua waliosema simba akizidiwa hula hata nyasi walimaanisha nini. Kifupi ni kwamba hakukupenda sema alikuwa anashida na akaona wewe uko tayar kumsaidia bila kujali dini wala kabila lako akaomba msaada. So next time be careful
Amen.Kuoa sio lazima ni hiari ila usiwe muhuni vile vile jifunze kutenda wema na kwenda zako/vile vile maisha ni wewe sio walezi wako!cha muhimu waheshimu na wasaidie wanapohitaji msaada/wanandoa wanaruhusiwa kumiliki Mali binafsi pia!zingatia kwenye mapenzi ya Sasa usiingie kichwa kichwa utaumia
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂relaxIla mna akili za ajabu maana ""alinitafuta anajutia na anataka tupashe kiporo""
Ila mi moja ya slogan zangu MKE WA MTU SUMU.
Maana wanawake wa siku hizi akikupenda wengi ni kwamba wanashida aidha ya hela au .......
Hapa ndio maana Zero IQ anakula sanaa papuchi..
Ngoja mabaharia waendelee kuvua hizo chupi..
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Okey mwenye IQ kubwa kama ISAQ NEWTON.Inasemekana wanaume wana chelewa kukua kiakili huu msemo naona unazidi kujithibitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Udini" ndiyo nini?Ndoa ya uke mwenza imemshinda..
Ex wangu bana! Mungu amsaidie tuu - JamiiForums
SORRY:-
Hivi wewe dada kwanini unapenda udini kiasi Kwani huwezi kucomment bila udini..??
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Nioe UKIMWI bro..!!!Kama alizaliwa nao haina shida sio kosa lake na unaweza kuwa nae tu maana usipozaa nae wewe nani mwingine atampa hata katoto...tena usingejutia huyo hachepuki zaidi yako wewe na ungepata maendeleo makubwa
Trust me... SISI ma X watamu sanaa..!!![emoji23][emoji23][emoji23]relax
Hongera.."Udini" ndiyo nini?
Mimi nimejibu posts zako tu.
Na imethibitishwa wanawake ni dhaifuInasemekana wanaume wana chelewa kukua kiakili huu msemo naona unazidi kujithibitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen.Kwanza naomba kukiri kwamba "UNA TAKO ZURI" Mahondaw sio umbo hapana "TAKO" hata kama dp uliyoweka sio ww .
Ok kuhusu kuoa mdau sioni kama ni issue kubwa sana kwa kuwa hakuna sehemu yyte kwenye dini yyte umefosiwa kuoa so ww angalia kwanza kama moyo wako na akili zimekubaliana ndiyo uoe mkuu vinginevyo utantesa huyo mwanamke .
Na kuhusu walenzi we endelea kuwapiga kalenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Most of the women are Crazy Dogs...
😂😂😂pamoja na utamu wako lakini bado akakuachaTrust me... SISI ma X watamu sanaa..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Ahahahah eti ajariNgoja nisubiri mke aje kama ajari..
Mungu yu mwema.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Alisema hawezi kuolewa na mkristo ila sasa hivi anataka mahaba ya mkristo...!!![emoji23][emoji23][emoji23]pamoja na utamu wako lakini bado akakuacha
Wanasema nimsubiri atakae nipenda ndio nioe... Sasa ndio namsubiri anipende tu kama ajali..!Ahahahah eti ajari
Wewe usioe mwaya.Alisema hawezi kuolewa na mkristo ila sasa hivi anataka mahaba ya mkristo...!!!
Ndoa ngumu...!!!
Sasa eti mi naona mke wangu anaanza kukumbuka ma x wake halafu wanalana, pia usiku ananiletea na Mimi papuchi ile jle nakula... Jamaniii iiiiii bagosha..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Nashukuru kwa ushauri wako..!!!Wewe usioe mwaya.
Pole sana mkuu you met a miserable world. Lakini ndio maisha.Kuna utofauti kati ya MISER na ECONOMIST.
I think am ECONOMIST.
Na majanga ya NDOA yapo kila sehemu mpaka social media..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Life is full of shit...Pole sana mkuu you met a miserable world. Lakini ndio maisha.